snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,065
- 24,559
ahahahhahahaahha nikusaidie kucheka!hahahahahhahahahhaa u r so funny
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ahahahhahahaahha nikusaidie kucheka!hahahahahhahahahhaa u r so funny
😂 😂 😂af Director wa movie zake anajifanya mjanja mjanjaaa!
kwamba hataki mumewe adhalilishwe na yeye ndo wa kumtetea!
hicho anachosema kinamdhalilishwa na kifutwe ni kuwa mzee hakuwa timamu alipoandika wasia!
HAHAHAHAHHAHAHAHHAA kwamba paaap wafute kauli, iwe mzee alikuwa timamu!
af paap wosia uwe valid!
We jackieeee wewe, heb tuache kidogo tuko busy na tamko la Aristotee
Raynavero mrsleo Dinazarde
Anapotoshwa na tule tushoga twake tu Miss Tanzania.Bi dada atakua anapotoshwa na jamaa mwenye njaa
kweli atuache kwanza!😂 😂 😂
Kalagabao waswahili wanasema!Hizo probability tu ,ila NDUGU YAKO NI NDUGU YAKO na MWANAO NI MWANAO TU.
Unadhani kwanini ndoa Yao walienda kufungia nje ya nchi ???Ninachojua mm.. ndoa ya kikristo.. baada ya kifu cha mzazi mmoja... ndio basi.. aliyebaki anauhuru wa kuoa au kuolewa....
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]af Director wa movie zake anajifanya mjanja mjanjaaa!
kwamba hataki mumewe adhalilishwe na yeye ndo wa kumtetea!
hicho anachosema kinamdhalilishwa na kifutwe ni kuwa mzee hakuwa timamu alipoandika wasia!
HAHAHAHAHHAHAHAHHAA kwamba paaap wafute kauli, iwe mzee alikuwa timamu!
af paap wosia uwe valid!
We jackieeee wewe, heb tuache kidogo tuko busy na tamko la Aristotee
Raynavero mrsleo Dinazarde
Kalagabao huyo anaye lalamika na kutia huruma social networks.
Yani niliwahi mkomesha mtu na hii hali!Hakuna Vita mbaya Yani wewe unapost mitandaoni weee... Unafanyiwa interview Kama zote halafu upande wa Pili wako kimya Kama maji kwenye mtungi utatamani ujiue ...
Walioko kando ya K-Lyin wamuangalie asimfuate mzee...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha Ndio anafanyiwa Huyo mtusiYani niliwahi mkomesha mtu na hii hali!
Ile unajua kabisa kuwa anahaha, anapest, anaumia, watu wanacomment!
wakija kwenye page yako umepost kilimo cha matikiti!
ooooh sijui nini sijui nini!
unapost kuhamasisha mBio za Mwenge
Unajua ilibidi wanifuate watu, usifanye hivo huyu mtu atakufa!
Nawaambia kwani kuna nini?
Yaani wanavyomchamba sasa na kushadadia!Nyie wanawake kwenye huu uzi mnamwonea wivu sana Jackline, hivi hizo gene za wivu kwa wanawake wenzenu ni asilimia ngapi?
Wanawake pendaneni acheni ukuda
Lakini naona anapumliwa mgongoni huyu si bureSiku zote nlikuwa najua we ni mwanamke ndo nimejua Leo we ni baharia mwenzetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado haujajua tuu wanawake kua wanalogana wenyewe kwa wenyewe? Hawapendi waone mwenzao kafanikiwa uchawi mwingiNyie wanawake kwenye huu uzi mnamwonea wivu sana Jackline, hivi hizo gene za wivu kwa wanawake wenzenu ni asilimia ngapi?
Wanawake pendaneni acheni ukuda