Jacqueline Mengi: Maneno ya kashfa na kumchafua mume wangu yamesemwa mahakamani, sikubali usuluhishi hadi yakafutwe

Jacqueline Mengi: Maneno ya kashfa na kumchafua mume wangu yamesemwa mahakamani, sikubali usuluhishi hadi yakafutwe

At
Court battle! That will lead her victory
Wala
Point of correction, hao ndugu hawajawahi kumuomba suluhu yoyote huyo dada tena hawatakagi hata stori nae wanakutana mahakamani tu, ni jamaa na marafiki wa pembeni wa mengi ndo wanamwambia jack akae na ndugu wa mengi wayamalize. Pili, kama hao ndugu imekula kwao iweje huyo jack ambae haijala kwake na anauhakika wa kushinda ndo anahangaika kubwabwaja mitandaoni kutafuta huruma za wananchi lakini hao ambao imekula kwao wako calm?
Ndugu hawana cha kupoteza tena. Waje mitandaoni kutafuta nini, wewe umekuja unainterst zako hapa social network, wao they got nothing here.

Zari atakuja kuona watoto ni mzigo awaachie aende zake akaliwe yaishe, unacheza na wanawake wewe
 
Wanawake wakichaga mnajifanyaga wababe kwa wanaume wa makabila mengine waliowaoa kwa kuwaua wakiwa na mali mnajiita mapalestina. Kibao kimewageukia sasa tena kwa Tajiri yenu mkubwa chezea karma acheni mnyooshwe mmedhulumu sana waume wa makabila mengine na wengi wanawake mnaolialia humu jamvini ni wachaga acha Jaq awaanyooshe
 
Mrangi anajua mpaka kitanda anacholalia naniliu wallah
Kuna siku nlikuwa napiga story na mama mmoja wa mjini mjini sanaaa ila ni muda sana akanipa namna gani Hao walivyokutana. Aise Kuna watu Wanajua kugonganisha magari. Na pia kumbe Kuna mtandao wa uwindaji[emoji23]
Ili fulani awe na fulani, unawekwaaaa

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa wa mke mdogo ndio watakuwa balaa si kwa kizazi chake tu hata kwa jamii nzima. Kama kweli huyo mwanaume alitaka kizazi cha maaana basi angetafuta mwanamke mwenye maadili mazuri tu. Lakini huyu Jezebel alikosea. Na afadhali amejifia maana angeona fedheha sana kwa hao watoto wa mke mdogo.
Wanawake bhn tunayaona mabaya ya mwenzetu huku yakwetu hatuyaoni. Wengi wenu mna mabwana wawili watatu hamjioni,wanadanga kwa wanaume zao hawajioni.Tofauti yenu na Jack ni kuwa yeye kadanga kwa tajiri nyie mnadanga kwa masikini. Yeye matendo yake yanamulikwa yakwenu hayamulikwi!

Tofauti na hapo wanawake ni wale wale!.Mnamsema Jacky yeye huyo Mengi kapita na wanawake wangapi mpk kufika kwake.Unahisi mzee Mengi alikuwa hana mafaili ya Jacky?

Cha msingi dada wa watu bahati ilimuangukia yeye kupendwa na mzee period.Na alijitahidi atleast kutuliza mihemko maana of course Mengi umri ulikuwa umeenda. Hata nyie mngepewa mdate na huyo mzee msingeweza kumaintain image kama alivyojitahidi yeye.I wish kesi iende fresh haki ipatikane over......
I have generalized don't take it personal
 
Bufa,
Unaongelea scenarios za Ulaya na USA hapa Tz? Ulishaona wapi hapa Tanzania mbwa akaachiwa Urithi na ikawa hivyo? Ukiona mtu anapiga yowe kwenye mitandao wakati wenzie wako kimya ujue maji yako shingoni! Kwamba kwakuwa watoto wakubwa walipewa shares za Mama yao basi hawana haki ya shares za Baba yao,hapo ndipo penye mtihani,kama unazijua vizuri sheria za mirathi za Tanzania! Yeye apunguze tamaa,haki yake na watoto wake atapata lkn sio kama anavyowish yeye.

Kwa nilivyoelewa Jacq hajataka kuongeza au kupunguza mgawanyiko wa mali anataka kila kitu kibaki kama Mengi alivyotaka.

Jacq kasema mirathi wameandikiwa watoto ambao wapo under 18 yeye ni msimamizi tu, hilo mosi.

Pili, kwanini kesi afungue kaka wa marehemu badala ya watoto wake wakubwa wenyewe?

Ndo maana nasema hii kesi atashinda sababu mke na watoto under age ndo immediate relatives kwa mujibu wa sheria na kama Mengi aliandika mirathi na mgawanyiko wa shares zake haiwezekani kaka yake aje kubatilisha.

Mambo ya Jacq alikuwa na Mengi kimaslahi au Mengi hakuwa timamu wakati anaandika can't hold water in the courtroom.
 
sirikirusi,

Watoto wake ( kylin )wanasoma International school of Tanganyika ( IST) kuja kuishi na uleginald ni lazima itakua hivyo hawajui Shida na mama Yao ndio huyo hamna kitu kichwani

Kaka na dada yao walisoma Muhimbili Primary School shule za kawaida walitengeneza sana Pen nyumbani za kuuza na wazazi wao ndio maana hawana uleginald ni wa kawaida sana ukiwaona hauwezi jua kama ni matajiri , sema ni vichwa wana akili kweli kweli REGINA MENGI ana CPA
 
Mnaosema huyo mzee alijivunjia heshima kutoka na Jackie angetoka na mwanamke wa umri gani ambae angeweza kuzaa miaka 60?55?45?em jifikirieni yeye mwenyewe ni dhahiri alitaka watoto maana hakuona tumaini kwenye kizazi chake.Hivyo mlaumuni huyo mzee na siyo huyo binti
Kuna ukweli Hapo Rita alilamba chake akasepa
 
Bufa,
Nijuavyo Mimi na kwa kesi nilizoshuhudia Wosia ukitenguliwa,haijalishi umri wa Watoto,wote wana haki ya kupata urithi kutoka kwa Baba yao! Nimeshuhudia kesi tatu na zote wosia ulitenguliwa! Hapo pa Benjamini kufungua kesi haijalishi,msingi wa kesi ni urithi kwa Watoto wote!
 
Nijuavyo Mimi na kwa kesi nilizoshuhudia Wosia ukitenguliwa,haijalishi umri wa Watoto,wote wana haki ya kupata urithi kutoka kwa Baba yao! Nimeshuhudia kesi tatu na zote wosia ulitenguliwa! Hapo pa Benjamini kufungua kesi haijalishi,msingi wa kesi ni urithi kwa Watoto wote!

Sasa kazi ya mirathi ni nini na kwa nini watu wanashauriwa kuandika mirathi mapema.

Kama mali lazima zigawashwe kwa watoto wote evenly kwanini ndugu huwa wanagombania kama that's a known fact.
 
Back
Top Bottom