Yoranda
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 341
- 338
At
Zari atakuja kuona watoto ni mzigo awaachie aende zake akaliwe yaishe, unacheza na wanawake wewe
WalaCourt battle! That will lead her victory
Ndugu hawana cha kupoteza tena. Waje mitandaoni kutafuta nini, wewe umekuja unainterst zako hapa social network, wao they got nothing here.Point of correction, hao ndugu hawajawahi kumuomba suluhu yoyote huyo dada tena hawatakagi hata stori nae wanakutana mahakamani tu, ni jamaa na marafiki wa pembeni wa mengi ndo wanamwambia jack akae na ndugu wa mengi wayamalize. Pili, kama hao ndugu imekula kwao iweje huyo jack ambae haijala kwake na anauhakika wa kushinda ndo anahangaika kubwabwaja mitandaoni kutafuta huruma za wananchi lakini hao ambao imekula kwao wako calm?
Zari atakuja kuona watoto ni mzigo awaachie aende zake akaliwe yaishe, unacheza na wanawake wewe