Huyu Dada Unaambiwa kwa Muonekano wa Nje unaweza kudhani Malaika.. Wanaomfahamu Wanakwambia ni Mafia hakuna.
Unakumbuka kile kipindi Alienda Kubatiza Watoto Machame? Na Mama Mercy alikuwepo kipindi hicho.Unaambiwa mambo aliyoyafanya Huko hayaelezeki.
Wazee wa Kichagga wakawa Wanaongelea Pembeni tu.. Ila Kumshauri mzee Mengi wakawa Hawawezi kwani yeye ndiyo kashika kwenye Mpini.
Na Haya anayoyapitia Sasa ni Ile Wanaita "KARMA"Hana namna hicho kikombe lazima akinywee tu. Maana hata Kina Regina walikosa Upendo wa Baba yao Punde tu baada ya Jack kuanza kuwa na Mzee.
Sent using
Jamii Forums mobile app