Jacqueline Mengi: Maneno ya kashfa na kumchafua mume wangu yamesemwa mahakamani, sikubali usuluhishi hadi yakafutwe

Jacqueline Mengi: Maneno ya kashfa na kumchafua mume wangu yamesemwa mahakamani, sikubali usuluhishi hadi yakafutwe

Hata wagawanaje bado bilioni kazaa hakosi.. na ukiwa na bilioni wewe unaingia katika mabilionea.. ha ha ha

Mengi ana mpunga wa kutosha.. k lyn kalamba dume..

Kumbuka bilioni moja ni sawa na milioni 1 ziwe 1000.. yaani ukisema kila siku utumie laki moja itakuchukua miaka karibu 30 ndio bilioni moja iishe
Matatizo hapo katikati tamaa ataingia. Utatamani kwenda Dubai shopping ile budget ya laki kwa siku utakua umeivuruga
 
kitu nilichogundua baada ya kusoma hii habari na kusoma ruling ya mahakama ni 1. Watu wachache sana ambao hawapendi watoto wa kishua ndo wanaosupport huyo dada,yaani wanaona dada huko sawa kupokea Mali zote za marehemu kuliko watoto maaana wanatamaa na maisha ya kina Abdiel na Regina, baba kawajengea msingi na aaache kampuni kede kede ilhali wakiangalia maisha yao hawana kitu kwahiyo kwa macho yao wanaona Jacki yuko sawa kupokea Mali za Mzee zote maana wakina Regina washafaidi vya kutosha. 2. ni mtu mwenye roho ya kimaskini tu ataekusupport baba kuacha Mali zake zote kwa mke mdogo na watoto kutopata kitu.

Tuanze hapo, kwanini watu wana roho za chuki hivi kushangilia watoto wa mengi kutoachiwa urithi sababu ni moja tu. HAMNA MTU ANAMPENDA MTOTO WA KISHUA. Klyinn kawa kama heri sababu ni mdada mrembo ambae yupo famous kila mtu anataka kunywa nae chai lakini watoto wa kishua hawana mda na mtu wao ni wao na biashara yao. hawaoni club wala Instagram wala huwaoni popote, anga zao mbali na zako kyliin ni celeb anajipenyeza huku na kule kupata videal vya hapa na pale kwahiyo social sympathy kwake inafanya kazi sababu huyo tu, she is a celeb.

3. Mahakama haina upendeleo wa namna hii, hanna will inayoandikwa nusu nusu, nadhani ndo mana imekataliwa na mahakama, nimesoma vizuri ruling kwamba wosia ukiandikwa ambao unamuumiza mtu flani haufatwi, wosia umeawaumiza ndugu na watoto hivyo wamesema hauwezi tumia kama ushahidi wa mgao wa Mali.

4. Kama upo hapa unamtetea Klyinn kwamba Baba na mama walitengana mama akapewa asilimia 50 yake ambayo inajumuisha na watoto, kumbuka sio Mali za mama zote zinaenda kwa watoto, yule mama alikuwa na familia pia na wao wamegawana Mali za yule mama na sio automatic yeye Mali zake kagawa zote kwa watoto...pia haiwezekani babaa.

kutowaachia kitu watoto wake, hapo ndipo uonevu ulipo na ndio mana jaji ametupilia mbali, hauwezi wewe baba yako akafa kisa walitengana na mama yako akakuambia mali nilimpa mama yako tulivotengana...hizo zilikuwa mali zake halali yule mama maaana alisaidia kufungua hizo kampuni zote.. ilipaswa iwe hivi share zipo 100, 50 za mama, 50 za baba...mama katika share zake 25 kawapa watoto...baba katika share zake 25 kawapa watoto ...maisha yaendelee...ndio maaana uhalisia ya mirathi..kama umeoa tena usitegemee mali ulizochuma na watoto wako na mke wa kwanza umgawie mke mpya na watoto wake halafu ukategemea kutakuwa na amani. Ndio mana wenzetu waislamu wanafanya hivi, akioa wake wawili kila mke ana nyumba yake, biashara yake..hawaingiliani kabisa

nimekaa na Waze wangu wahaya na wote wanamsema vibaya huyo dada kwamba anawaaaibisha, vijana wenzangu, Mali hazipatikani kirahisi hivyo kwamba unaolewa na kibabu tajiri anakufa anakuachia kila kitu, msimuidolize huyu dada na mwisho wake hautakuwa mzuri maaana hamna mtu alie na mamlaka wanaosupport huo ujinga anaofanya. sisemi asipate kitu la hasha, ila Mali agawane na watoto wakubwa asitake kuwadhulumu, kaa ukijua serikali inamuangalia tu na hamna anaefurahishwa nae, sasa wewe endelea kussupport huo uchuro in public ndugu yangu, utajua haujui
Huyu dada ni tamaa zinamponza. Angetulia tu wale Wachaga wasingemuacha, kwanza welfare ya wale watoto ingemtosha kuishi mbali na hapo wangemkumbuka kwa muda aliikua anamfulia na kumpigia pasi baba yao.
 
Jack hana akili kabisa,anataka wafute kuwa Mengi alikuwa na cognitive problems ili ashinde kesi ya urithi? Yaani ameishi na Mengi kwa miaka 9 basi anajiona kama kashiriki kutafuta mali na Mengi. Jack anataka Mengi asiwagawie hata mia wanae wakubwa eti kisa walipata share kwa mama yao. Sasa hawastahili kupata share kutoka kwa baba yao?
Haaaahaa ila huyu manzi ni imbecile...yaani anaonyesha kabisa kuwa anatamaa ya Mali
 
Jack anajichanganya maelezo.
Angalia dakika ya 31 ameulizwa kuhusu Hospital dubai.

Akasema

*mme wangu alidondoka hotelini walikuwa wanatembea, wakapiga reception wakaitiwa Ambulance....
Baadae akasema aliwauliza reception wawaelekeze hospital maana hazijui. Je ambulance inaweza isijue hospital?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaaa
 
naona upande wa pili wanakimbiza mwizi kimya kimya mwisho wa siku mwizi anaanza kupiga kelele kuomba msaada
Hahaa jamaa ni silent killers kama ninja assassin ...hawaongei..mpaka adui anaita press....kesi Ipo mahakamani kwanini asiichie mamlaka ifanye kazi yake...masikini kupenda penda papuchi kumemfanya mengi asababishe majanga katika family
 
Jack hana washauri? Hajui kuwa hiyo mali wakina Regina wameweka nguvu zao mpaka yeye kuvutiwa nayo?
Hiyo ya kusema walishachukua ya mama yao haina nguvu na ni kutaka kushindana nao tu.
Ni ujinga kuwa na bilionea ushindwe kuwa na kikampuni hata cha kuuza karanga za 50 Tanzania nzima ukawa unasambaza.


Sent using Jamii Forums mobile app
Haaha hiyo para ya mwisho nimecheka..inategemea na akili ya ntu na ntu
 
Vipi nyinyi kwenye UKOO na familia yenu ndugu wanazamishana dudu ?

Kama kigezo kuzamisha dudu,Mengi kazamisha kwa wangapi au ww unamwonea huruma Jack sababu ya kuzamisha dudu ya Mengi? au kwa huo mtizamo wako unamtofautishaje na Kahaba.

Kwa hiyo wewe kipimo cha kuwa na uchungu na mtu ni kuzamishwa dudu,je ww mpaka sasa washazamisha dudu ngapi kwako ?
haahaa jf raha sana
 
Huwa napata shida sana kuamini kama huyu Jamaa ni “Learned Brother” Honestly anaekwenda kwake kutafuta msaada wa Kisheria atakuwa na matatizo kichwani! Hili la Jack hata sie tusiokuwa wanasheria tuliliona mapema! But ujuaji wa huyu Bush Lawyer ulikuwa unachekesha sana kwenye comments zake! Ngoja aje uone pumba zake
Bushlawyer ni mweupe sana kichwani,nadhani labda ccm ndio wanamtumia kwenye kumshauri polepole na kumuandikia hotuba bashiru[emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
C&P



JACQUELINE MENGI AGONGA MWAMBA MALI ZA MAREHEMU MENGI:

Mahakama imetupilia mbali kesi ya Jacqueline Mengi aliyokuwa amefungua dhidi ya watoto wa marehemu Mengi kutokumiliki mali za marehemu baba yao.

Sasa watoto wana haki na mali za baba yao mwanzo jack alikua kawawekea vipangamizi hakuna kushika Mali wala kufanya kazi kwenye kampuni za Baba yao. Huku mwanamke huyo akidai kuwa Marehemu Mengi alimmilikisha majengo yote yakiwemo nyumba zote za kuishi na zile za biashara.

Hii ni sehemu ya mahojiano ya jacq na Mahakama:

Mahakama ; Jacky Unaushahidi wowote ( Evidence ) mzee kakuachia Urithi Nyumba zote za familia na za biashara Ni zako ?? .
.
Jacky ; Mzee aliniambia Alivoachana na Partner wake ( X mke wake ) kila mtu alianza Mahusiano Mapya na waligawana Mali , Ambazo Mali hizo za Mkewe zimeachiwa watoto wakubwa !!!! .
.
Mahakama : Unaushahidi wowote wa hayo Maneno Mzee aliyokuambia .
.
.
Jacky ; Hapana ila hata Doctor ****** Aliniambia , na Mzee alipopata stroke alisema Mojengo yote nichukue mimi .
.
.
Mahakama ; Katika Maisha yako na Mengi , Ulishawahi kuona divorce Document za Mengi na Mkewe ?? .
.
Jacky ; Hapana ila mimi ndo mke halali na aliye hai wa Mzee Mengi .
.
.
Mahakama : So hauna Uhakika kama Mengi na Mkewe walifanya Official divorce , au walitengana tu ! .
Jacky , Mengi aliniambia waliachana 10 yrs Ago . .
.
.

Jacky ; siwezi kukubali Maneno aliyoniambia Marehemu Mume wangu , Yatenguliwe na hao ndugu waliopata Mgao kwa mke mkubwa na wako na shares kwenye makampuni .
.
.
Mahakama , Katika maneno Aliyokwambia Mumeo , Unaushahidi wa Sauti au Maandishi ??? .
.
Jacky : Ninaushahidi wa Mirathi .
.
Mahakama ; Ushahidi wa Mirathi ulipigwa stamp ya notary republic Marehemu akiwa Hai ????? .
.
Jacky ; Hapana .
.
Mahakama , Kwanini Uliachia Mirathi public huku case Iko Mahakamani .
.
Jacky ; nilitaka watanzania waujue Undani ili hata nikiuwawa watoto wangu wasaidiwe .
.
.
Mahakama , Ulishapewa tishio lolote na familia au wamekupa sababu ya kuhisi hauko salama ? .
.
.

Jacky ; Hapana but ni mambo , Ukiwa Mama lazima Uyaangalie kwa Upana , sababu Chokochoko zilianzia Dubai , wakidai nimemuua Marehemu mume wangu .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
C&P



JACQUELINE MENGI AGONGA MWAMBA MALI ZA MAREHEMU MENGI:

Mahakama imetupilia mbali kesi ya Jacqueline Mengi aliyokuwa amefungua dhidi ya watoto wa marehemu Mengi kutokumiliki mali za marehemu baba yao.

Sasa watoto wana haki na mali za baba yao mwanzo jack alikua kawawekea vipangamizi hakuna kushika Mali wala kufanya kazi kwenye kampuni za Baba yao. Huku mwanamke huyo akidai kuwa Marehemu Mengi alimmilikisha majengo yote yakiwemo nyumba zote za kuishi na zile za biashara.

Hii ni sehemu ya mahojiano ya jacq na Mahakama:

Mahakama ; Jacky Unaushahidi wowote ( Evidence ) mzee kakuachia Urithi Nyumba zote za familia na za biashara Ni zako ?? .
.
Jacky ; Mzee aliniambia Alivoachana na Partner wake ( X mke wake ) kila mtu alianza Mahusiano Mapya na waligawana Mali , Ambazo Mali hizo za Mkewe zimeachiwa watoto wakubwa !!!! .
.
Mahakama : Unaushahidi wowote wa hayo Maneno Mzee aliyokuambia .
.
.
Jacky ; Hapana ila hata Doctor ****** Aliniambia , na Mzee alipopata stroke alisema Mojengo yote nichukue mimi .
.
.
Mahakama ; Katika Maisha yako na Mengi , Ulishawahi kuona divorce Document za Mengi na Mkewe ?? .
.
Jacky ; Hapana ila mimi ndo mke halali na aliye hai wa Mzee Mengi .
.
.
Mahakama : So hauna Uhakika kama Mengi na Mkewe walifanya Official divorce , au walitengana tu ! .
Jacky , Mengi aliniambia waliachana 10 yrs Ago . .
.
.

Jacky ; siwezi kukubali Maneno aliyoniambia Marehemu Mume wangu , Yatenguliwe na hao ndugu waliopata Mgao kwa mke mkubwa na wako na shares kwenye makampuni .
.
.
Mahakama , Katika maneno Aliyokwambia Mumeo , Unaushahidi wa Sauti au Maandishi ??? .
.
Jacky : Ninaushahidi wa Mirathi .
.
Mahakama ; Ushahidi wa Mirathi ulipigwa stamp ya notary republic Marehemu akiwa Hai ????? .
.
Jacky ; Hapana .
.
Mahakama , Kwanini Uliachia Mirathi public huku case Iko Mahakamani .
.
Jacky ; nilitaka watanzania waujue Undani ili hata nikiuwawa watoto wangu wasaidiwe .
.
.
Mahakama , Ulishapewa tishio lolote na familia au wamekupa sababu ya kuhisi hauko salama ? .
.
.

Jacky ; Hapana but ni mambo , Ukiwa Mama lazima Uyaangalie kwa Upana , sababu Chokochoko zilianzia Dubai , wakidai nimemuua Marehemu mume wangu .

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye kuulizwa endapo kama amewahi kuona document za divorce kati ya mengi na mkewe akajibu hapana kisha nikiunganisha dots kwanini walienda kufunga nje napata ukakasi. Yaan awe makini sana asiojikute looser totally. Usikute hawakupeana talaka bali walitengana tuu. Mbeleni tutajua mengi aisee.
Umalaya mbaya sana hasa ukiwa na tamaa ya mali za watu. Eti niliutoa in case nikiuwawa wanangu wasaidiwe[emoji23][emoji23][emoji119]
Yaan anajitetea kitoto kwa hearsay.

Halaf yule bush lawyer sijui ruta nini huko yuko wapi. Ama ndo yuko semister ya kwanza chuo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
C&P



JACQUELINE MENGI AGONGA MWAMBA MALI ZA MAREHEMU MENGI:

Mahakama imetupilia mbali kesi ya Jacqueline Mengi aliyokuwa amefungua dhidi ya watoto wa marehemu Mengi kutokumiliki mali za marehemu baba yao.

Sasa watoto wana haki na mali za baba yao mwanzo jack alikua kawawekea vipangamizi hakuna kushika Mali wala kufanya kazi kwenye kampuni za Baba yao. Huku mwanamke huyo akidai kuwa Marehemu Mengi alimmilikisha majengo yote yakiwemo nyumba zote za kuishi na zile za biashara.

Hii ni sehemu ya mahojiano ya jacq na Mahakama:

Mahakama ; Jacky Unaushahidi wowote ( Evidence ) mzee kakuachia Urithi Nyumba zote za familia na za biashara Ni zako ?? .
.
Jacky ; Mzee aliniambia Alivoachana na Partner wake ( X mke wake ) kila mtu alianza Mahusiano Mapya na waligawana Mali , Ambazo Mali hizo za Mkewe zimeachiwa watoto wakubwa !!!! .
.
Mahakama : Unaushahidi wowote wa hayo Maneno Mzee aliyokuambia .
.
.
Jacky ; Hapana ila hata Doctor ****** Aliniambia , na Mzee alipopata stroke alisema Mojengo yote nichukue mimi .
.
.
Mahakama ; Katika Maisha yako na Mengi , Ulishawahi kuona divorce Document za Mengi na Mkewe ?? .
.
Jacky ; Hapana ila mimi ndo mke halali na aliye hai wa Mzee Mengi .
.
.
Mahakama : So hauna Uhakika kama Mengi na Mkewe walifanya Official divorce , au walitengana tu ! .
Jacky , Mengi aliniambia waliachana 10 yrs Ago . .
.
.

Jacky ; siwezi kukubali Maneno aliyoniambia Marehemu Mume wangu , Yatenguliwe na hao ndugu waliopata Mgao kwa mke mkubwa na wako na shares kwenye makampuni .
.
.
Mahakama , Katika maneno Aliyokwambia Mumeo , Unaushahidi wa Sauti au Maandishi ??? .
.
Jacky : Ninaushahidi wa Mirathi .
.
Mahakama ; Ushahidi wa Mirathi ulipigwa stamp ya notary republic Marehemu akiwa Hai ????? .
.
Jacky ; Hapana .
.
Mahakama , Kwanini Uliachia Mirathi public huku case Iko Mahakamani .
.
Jacky ; nilitaka watanzania waujue Undani ili hata nikiuwawa watoto wangu wasaidiwe .
.
.
Mahakama , Ulishapewa tishio lolote na familia au wamekupa sababu ya kuhisi hauko salama ? .
.
.

Jacky ; Hapana but ni mambo , Ukiwa Mama lazima Uyaangalie kwa Upana , sababu Chokochoko zilianzia Dubai , wakidai nimemuua Marehemu mume wangu .

Sent using Jamii Forums mobile app


Huyu dada anasikitisha soon ataanza kuokota makopo mpaka sasa ameshakua chizi fresh
 
C&P



JACQUELINE MENGI AGONGA MWAMBA MALI ZA MAREHEMU MENGI:

Mahakama imetupilia mbali kesi ya Jacqueline Mengi aliyokuwa amefungua dhidi ya watoto wa marehemu Mengi kutokumiliki mali za marehemu baba yao.

Sasa watoto wana haki na mali za baba yao mwanzo jack alikua kawawekea vipangamizi hakuna kushika Mali wala kufanya kazi kwenye kampuni za Baba yao. Huku mwanamke huyo akidai kuwa Marehemu Mengi alimmilikisha majengo yote yakiwemo nyumba zote za kuishi na zile za biashara.

Hii ni sehemu ya mahojiano ya jacq na Mahakama:

Mahakama ; Jacky Unaushahidi wowote ( Evidence ) mzee kakuachia Urithi Nyumba zote za familia na za biashara Ni zako ?? .
.
Jacky ; Mzee aliniambia Alivoachana na Partner wake ( X mke wake ) kila mtu alianza Mahusiano Mapya na waligawana Mali , Ambazo Mali hizo za Mkewe zimeachiwa watoto wakubwa !!!! .
.
Mahakama : Unaushahidi wowote wa hayo Maneno Mzee aliyokuambia .
.
.
Jacky ; Hapana ila hata Doctor ****** Aliniambia , na Mzee alipopata stroke alisema Mojengo yote nichukue mimi .
.
.
Mahakama ; Katika Maisha yako na Mengi , Ulishawahi kuona divorce Document za Mengi na Mkewe ?? .
.
Jacky ; Hapana ila mimi ndo mke halali na aliye hai wa Mzee Mengi .
.
.
Mahakama : So hauna Uhakika kama Mengi na Mkewe walifanya Official divorce , au walitengana tu ! .
Jacky , Mengi aliniambia waliachana 10 yrs Ago . .
.
.

Jacky ; siwezi kukubali Maneno aliyoniambia Marehemu Mume wangu , Yatenguliwe na hao ndugu waliopata Mgao kwa mke mkubwa na wako na shares kwenye makampuni .
.
.
Mahakama , Katika maneno Aliyokwambia Mumeo , Unaushahidi wa Sauti au Maandishi ??? .
.
Jacky : Ninaushahidi wa Mirathi .
.
Mahakama ; Ushahidi wa Mirathi ulipigwa stamp ya notary republic Marehemu akiwa Hai ????? .
.
Jacky ; Hapana .
.
Mahakama , Kwanini Uliachia Mirathi public huku case Iko Mahakamani .
.
Jacky ; nilitaka watanzania waujue Undani ili hata nikiuwawa watoto wangu wasaidiwe .
.
.
Mahakama , Ulishapewa tishio lolote na familia au wamekupa sababu ya kuhisi hauko salama ? .
.
.

Jacky ; Hapana but ni mambo , Ukiwa Mama lazima Uyaangalie kwa Upana , sababu Chokochoko zilianzia Dubai , wakidai nimemuua Marehemu mume wangu .

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawezi kujibu hivi maana kila jibu atakuwa anajitega sana "walisema nimemuua ndugu yao" kina nani na ushahidi uko wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuseme mfano Mtu ambaye haifahamu hii issue akiingia humu ndani anaweza kusema anayeongelewa ni sidechik/kamalaya kumbe ni mtu aliyeolewa na ana watoto.Watu wanaomsema sasa hivi hata wakati akiwa na Mengi wengi wao walikuwa wanamsema.

Mzee aliachana na mke wake longtime na hapo katikati kapita na wengi akaamua kutulia na bidada ilikuwa kosa. Cha msingi haki itendeke that's all chuki binafsi na wivu tuache jmn

Tupe ushahidi wa Mengi kuachana na Mke wake wa kwanza.

Jack atapewa urithi lakini unaolingana na mchango wake katika utajiri wa Mengi.
 
Back
Top Bottom