miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Ni malaya hao achana nao. Mbususu ndo msingi wa mtaji wao.Wanawake hawa wa mjini ni takataka kabisa yani wanashupaza shingo kwenye wizi hawajui mwenzao anaweza kupewa kesi nyingine mbaya hapo!!
We nawe mk kweli wewe. Wewe mchagga na nani? Boya kweli wewe. We mdangaji nini? Ama shangazi yako?Anyway. Ninachoamini kulazimisha kumiliki Mali isiyo haki yako hasa URITHI huwa inaambatana na anguko na mikosi. Hasa iwapo ilitolewa USIA.
Pia ninavyojuwa Kule kwetu uchagani linapokuja suala la Mali na Mali hizo zionekane zitakwenda nje ya jamii husika nakuambia hata Mlima Kilimanjaro utaitwa ni ziwa ili mradi Mali ibaki.
Naendelea tu kusoma comment za kina Manka na Bwashee
Shida ni kufoji usia na sahihi ya Marehemu wala hakuna kitu kingine hapa!!..Mnaomuita mdangaji huyo babu yenu alishikiwa bunduki? Yes alifwata hela na yes mzee alifwata uzuri so?? Kuna men wanamuonea wivu wanatamani wangeolewa wao.
Hapa kama imedhibitika ivyo iyo ni kesi nyingine. Nachopinga ni upande mmoja kuonekana unamakosa kwenye hayo mahusiano.Shida ni kufoji usia na sahihi ya Marehemu wala hakuna kitu kingine hapa!!..
Ndio maana umeandika bila ya kusoma kuna nini??!!..Huyo Dada ambae unasema ana haki kashindwa mahakamani kwasababu usia umeonekana sio Sawa na pia alifoji sahihi za marehemu!!.. Lakini mbaya zaidi ni nature ya Biashara za family ya huyu Mzee na Dada wa Mjini!!..Ina onyesha Dada alikua kwenye mahusiano lakini hakujua ana ishi na Nani?!!..Hadi kuzalishwa bado hakujua Tu!!..Ni aibu hiiHapa kama imedhibitika ivyo iyo ni kesi nyingine. Nachopinga ni upande mmoja kuonekana unamakosa kwenye hayo mahusiano.
Tutajuaje kama wewe sio ndio Jack mwenyewe au ndugu yake?Huyu Mjane atendewe Haki.
Nashangaa kwa nini taasisi za kutetea haki za wanawake haswa wajane wamekaa kimya?!
Huyu mjane ananyanyaswa na ndugu wa marehemu mchana kweupe!!
Anafanyiwa figisu na faulo kibao ili tu asipate haki zake.
lkn naamini vyovyote vile itakavyo kuwa lazima Haki zake zitapatikana
Wewe ndo mhusika mwenyewe , Pole ila kaa ukijua hakuna haki kwa Mali ulizozikuta ridhika na ulichopewa tamaa sio nzuri dada.Haki zake na watoto zipo ktk wosia wa Marehemu Mume wake.
kuna wosia halali wa marehemu ambao ndio unampa uhalali wa haki hizo.
Mjane huyo ana haki.
nitasimama naye mpaka mwisho.
NonsenseMimi niseme tu kuwa yule Mzee Mengi alikuwa na sababu ni kwanini aliamua kumrithisha Jack na sio watoto wake wakubwa.
Maisha ktk familia zetu yana siri nyingi sana. Huenda watoto wake wakubwa HAWAKUMPA AMANI KABISA. Na huenda FARAJA NA FURAHA yake ilibaki kwa Jack na haijalishi penzi la Jack lilikuwa halisi au fake.
Cha msingi ktk miaka ya uzee wake ndiye pekee alionyesha kumpa tabasamu, na kwa kuzingatia tayari anafaida ya kupata watoto na jack.
WANAUME WENZANGU HUMU TUSISHANGAE NI KWANINI MZEE Reginald aliamua Kumrithisha Jack na mapacha wake. Sometime unawasoma vijana wako unagundua hayakutambui na yanasubiri uondoke yaendee kivyao.
I gues Mr Mengi wrote with sound mind
Na mke alikuwa na watoto ndo wanastahili asa anaetaka asimamie kila kitu kafailMali harithi hawara mengi alikua na mke ambae hakumtaliki ndio mwenye mali sio huyo kibaka
Tena mikosi mikubwa mnooooAnyway. Ninachoamini kulazimisha kumiliki Mali isiyo haki yako hasa URITHI huwa inaambatana na anguko na mikosi. Hasa iwapo ilitolewa USIA.
Pia ninavyojuwa Kule kwetu uchagani linapokuja suala la Mali na Mali hizo zionekane zitakwenda nje ya jamii husika nakuambia hata Mlima Kilimanjaro utaitwa ni ziwa ili mradi Mali ibaki.
Naendelea tu kusoma comment za kina Manka na Bwashee
This is Family issue sidhani kama watakataa, serikali haiwezi ingilia hapa
Akitokea mtu serikalini akazuia Basi huyo ndio atakua nyuma ya kyln wana panga kutapeli wagawane
Bado asingetoboa. Kwani si mwaka jana tu wakati wa uchaguzi aling'atuka? AsingewezaDAB alikuwa nyuma ya mchezo sema baada ya kitumbua chake kuingia mchanga, ile taasisi ya kutembelea wajane nayo ikafa. DAB amechangia sana kumshauri huyu dada ujinga.
Ngoja kwanza; yaani Jack kaolewa mwaka 2006 wakati Mengi tayari alikua kwenye top 10 ya mabilionea wa bongo, kaupata ubilionea na wanae kwa mkewe wa kwanza, so wewe kwa AKILI yako kabisa unayosema inatetea HAKI unaunga MKONO Jack kuchukua kila kitu halafu kina Regina wabaki bila KITU!? Unatetea HAKI au WIZI mkuu!?Silipwi chochote wala sinahaja ya kulipwa, hanijui simjui ila naguswa sana jinsi anavyo taabika kupigania haki yake, mimi ni mtetezi wa Haki ya mtu yeyote yule mwenye haki.
If that was the case then, why mzee Mengi alimpa ukurugenzu binti yake Regina wa East African Television? Kwanini yule kijana wake alimpa kua director of finance wa makampuni yake? Again, ni kwanini wosia ulisajiriwa kwa mwana sheria baada ya KIFO chake? Halafu na wewe unaamini kabisa mzee Mengi aandike wosia halafu mwana sheria wake atokee kabila moja na Jack? Mkuu unless na wewe uwe mfaidika wa hicho anacho kidai Jack nje ya hapo akili ya kawaida INAKATAA labda tu tuwe sio watu tunao fikiria vizuriMimi niseme tu kuwa yule Mzee Mengi alikuwa na sababu ni kwanini aliamua kumrithisha Jack na sio watoto wake wakubwa.
Maisha ktk familia zetu yana siri nyingi sana. Huenda watoto wake wakubwa HAWAKUMPA AMANI KABISA. Na huenda FARAJA NA FURAHA yake ilibaki kwa Jack na haijalishi penzi la Jack lilikuwa halisi au fake.
Cha msingi ktk miaka ya uzee wake ndiye pekee alionyesha kumpa tabasamu, na kwa kuzingatia tayari anafaida ya kupata watoto na jack.
WANAUME WENZANGU HUMU TUSISHANGAE NI KWANINI MZEE Reginald aliamua Kumrithisha Jack na mapacha wake. Sometime unawasoma vijana wako unagundua hayakutambui na yanasubiri uondoke yaendee kivyao.
I gues Mr Mengi wrote with sound mind
Mbaya zaidi Wana mwanasheria wa family ambae hata huo usia hakuonaIf that was the case then, why mzee Mengi alimpa ukurugenzu binti yake Regina wa East African Television? Kwanini yule kijana wake alimpa kua director of finance wa makampuni yake? Again, ni kwanini wosia ulisajiriwa kwa mwana sheria baada ya KIFO chake? Halafu na wewe unaamini kabisa mzee Mengi aandike wosia halafu mwana sheria wake atokee kabila moja na Jack? Mkuu unless na wewe uwe mfaidika wa hicho anacho kidai Jack nje ya hapo akili ya kawaida INAKATAA labda tu tuwe sio watu tunao fikiria vizuri
Mtu pekee anae kubaliana na Jack kuhusu madai/wosia wake ni either mfaidika au mjinga na mpumbavu tu, nje ya hapo haiwezekani. Historia ya Mengi inajulikana, sio siri. Kwanza hata kitendo cha Jack kwenda mahakamani ni vile tu watu hawanaga mshipa wa aibuMbaya zaidi Wana mwanasheria wa family ambae hata huo usia hakuona
Mnaomuita mdangaji huyo babu yenu alishikiwa bunduki? Yes alifwata hela na yes mzee alifwata uzuri so?? Kuna men wanamuonea wivu wanatamani wangeolewa wao.
Miss Pablo nina shaka na wewe kwa jinsi unavyohemka na Matusi kwa mtu asiyekutukana. Itakuwa wewe ni kati ya wanafamilia ya Reginald.We nawe mk kweli wewe. Wewe mchagga na nani? Boya kweli wewe. We mdangaji nini? Ama shangazi yako?
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Mzee alikua na familia kubwa hebu Fikiria watu wenye ulemavu waliokua wanapewa misaada na Mzee hebu Fikiria speech za Viongozi wa serikali na Taasisi nyingine kuhusu Maisha yake!!..Uliwahi kuona Chozi la Amiri jeshi mkuu wewe (JPM alitoa Chozi wakati ana muaga)Miss Pablo nina shaka na wewe kwa jinsi unavyohemka na Matusi kwa mtu asiyekutukana. Itakuwa wewe ni kati ya wanafamilia ya Reginald.
Hebu Muheshimuni huyo Dada ni Mama yenu pia. Hivyo tu yaani!