Acha wamnyime hela ni ngumu, kwanza aliwadhalilisha ku Post mambo ya mzee na vi drama vya kiki ka kina diamond, halafu hakumu care vizuri huyo mzee, she was after money, unfortunately hakuwa smart kufanya mambo ya maendeleo yeye alitegemea miradhi.Haha Ukute watoto wa Mengi wanamnyima Kyln hela ili kumkomoa, labda wanampa vihela vya kula tu...ukute kyln akiuliza vipi, anaambiwa kampuni zote zimepata hasara cariha
[emoji23][emoji23][emoji23]angenunua hata dildo mengi naye alizingua klyn alikuwa mbichi sasa cheating zake kwanini zisimuue, pia alikuwa anahitaji care kubwa sasa kylin alikuwa hana mda, kina Regina ingebidi wafanye rescue mapema aisee.Jaman nyege zinatesa nyie hasa ukishakua 40s pengine dada watu alikua anashindwa kunyanduliwa hapa kutokana na umaarufu wake ikabid atafute safar ili iwe rahis..mie namsifu yule dada ooh! Kwanza hata hiyo nahis alifanyakaz sana kuitegesha..maana hadi mshidodo uje usimame hlf apate hizo nguvu za kuzungusha kiuno mchezo??
Mbona haki inatendekeka. Maamuzi yalikuwa ya mahakama, na hata sasa ni mahakama ndiyo imepokea tena rufaa.Huyu Mjane atendewe Haki.
Nashangaa kwa nini taasisi za kutetea haki za wanawake haswa wajane wamekaa kimya?!
Huyu mjane ananyanyaswa na ndugu wa marehemu mchana kweupe!!
Anafanyiwa figisu na faulo kibao ili tu asipate haki zake.
lkn naamini vyovyote vile itakavyo kuwa lazima Haki zake zitapatikana
Unajua nyege zinakufanya unarukwa na akili hufikirii sawasawa? Pengine na yeye anajuta sahivAfadhali angeenda peke yake, sasa alimpeleka mzee wa watu Dubai a baby sit watoto yeye akiwa na Mwarabu wake.
Sawa K-Lynhuyu mjane anahaki zaidi kulingana na wosia aliopewa na Marehemu Mume wake.
Wosia wa Marwhemu Mume wake ulibatilishwa kimakosa, lazima wosia wa marehemu ufuatwe kama ulivyo bila kubatilisha chochote.
Wosia wa Marehemu ulikuwa halali na aliutoa akiwa na akili timamu na alimaanisha alicho kiandika.
Mjane na watoto wake wanayo haki ya kurithi kulingana na wosia wa Marehemu.
Haki ipi, unajua sheria za mirathi, mtu aligushi sahihi unataka apewe haki ipi?!!.. Haya Mambo yapo Tanzania tu!!Huyu Mjane atendewe Haki.
Nashangaa kwa nini taasisi za kutetea haki za wanawake haswa wajane wamekaa kimya?!
Huyu mjane ananyanyaswa na ndugu wa marehemu mchana kweupe!!
Anafanyiwa figisu na faulo kibao ili tu asipate haki zake.
lkn naamini vyovyote vile itakavyo kuwa lazima Haki zake zitapatikana
Atafute Mali zake kiruka njia mdangaji huyu
Kuwa na Watoto hakukufanyi ufoji sahihi za marehemu!!....huyu mjane anahaki zaidi kulingana na wosia aliopewa na Marehemu Mume wake.
Wosia wa Marwhemu Mume wake ulibatilishwa kimakosa, lazima wosia wa marehemu ufuatwe kama ulivyo bila kubatilisha chochote.
Wosia wa Marehemu ulikuwa halali na aliutoa akiwa na akili timamu na alimaanisha alicho kiandika.
Mjane na watoto wake wanayo haki ya kurithi kulingana na wosia wa Marehemu.
Unajua Hadi umauti unamkuta Mzee machache alikuwa ana share kiasi gani?!!.. Hata wakimpa shares zote huyu Dada za Mengi bado hatoridhika!!..kwa hiyo ndio maana wamebatilisha Wosia wa marehemu?!
hiyo sio haki, maana wosia aliutoa marehemu na yeye alikuwa anajua fika kwa nini aliamua kufanya hivyo, kwa sababu tayari walishapata share yao.
Mahakama lazima iangalie huyu mjane anavyo nyanyasika kisa eti hakuchuma mali na marehemu.
kila siku tunalalamika kuwa wajane wanyanyaswa na ndugu wa marehemu, sasa hebu tazameni Jackline Mengi anavyo taabishwa na kuyumbishwa.
huu ni unyanyasaji
Mahakama imtendee Haki huyu mjane.
Mali nyingi zina jina la IPP na hii ndio inamchanganya mdangaji!!Vipo. Jack ana appartments nzuri sana makongo juu ghorofa safi kabisa.. na mpaka leo kodi anapokea jack.. nazani zingekuwa za familia nzima wangeshampora usimamizi wa hizo appartments jack
Mdangaji kadangwaMali nyingi zina jina la IPP na hii ndio inamchanganya mdangaji!!
Mke halali aliyekuwa anatambulika kisheria hadi marehemu anaaga dunia alikuwa ni Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi tu, ambaye alipewa wosia na Marehemu Mume wake.
Ni kweli kabisa huyu mwanamke aliamua mengi ni katili sana na ana roho mbaya.Kwanza Kuna viachilia kua mwanamke kamdedisha.
Suala la kugundulika sahii sio ya mzee linafikirisha,
Afu dkk za mwisho za marehem,
Kuna vitu kwny mahusiano yao vilikua vinaendelea Kama vile viko STAGED kuuhadaa umma wa watanzania.
Dah!Sadly she is going to loose na case itakua closed forever
Kaweka kama mtaji vile vitukuu maskini,mzee ntamsifu kwa uungwana wake mengine tuwaachie watoto wakubwa wanaweza kumpiga kwata huyo Jack akaomba poo.ngoja tuImtendee Haki kwajasho lipi lililomtoka kwa iyo Mali anaopigania.
Uyo mwanamke Ni mbinafsi tu, Hana lolote.
Angekua timamu,
Angekua wa kwanza kubatilisha usia was mengi angalau awakumbuke na watotowake wengine.
Sio eti vile vipacha vyake TU vibebe kila kitu.
Amkape na ndeun nafake samu.Klyn aliulizwa ushahidi wa talaka akasema hana. Mahakama ikamwambia hatuendagi kwa hearsay. Aliulizwa kama hata amewahi iona.
Imelala yoooh..
Regina maeew, mkape ya mdwe[emoji28][emoji28]
Kwamba watoto amerehemu aliowakuta wapewe buku ? (Tsh 1000) . huo wosia ndiyo uheshimiwe, you're not serious mkuu😀huyu mjane anahaki zaidi kulingana na wosia aliopewa na Marehemu Mume wake.
Wosia wa Marwhemu Mume wake ulibatilishwa kimakosa, lazima wosia wa marehemu ufuatwe kama ulivyo bila kubatilisha chochote.
Wosia wa Marehemu ulikuwa halali na aliutoa akiwa na akili timamu na alimaanisha alicho kiandika.
Mjane na watoto wake wanayo haki ya kurithi kulingana na wosia wa Marehemu.
Ila Mengi naweza sema hakufikiria vyema kabisa. Kama kweli alidhamiria kumuachia Jacky na wanae wadogo mali angewamilikisha kisheria kabla hajafa.
Huwezi kuniambia na akili zake zote za biashara alishindwa ku-foresee hizi drama. Amemtakia matatizo tu huyu binti.