Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Mmmh honestly siyajui ya nyuma ya pazia; ila yatajulikana tuUnajua sababu ya kufungua mirathi na usia anao? Je ndugu wangestuka baada ya siku tisini (90) kupita nini kingefuata? Hata hivyo ni vile huyu Mzee maarufu hivyo kila mtu alikuwa anafuatilia Kwa karibu kila kinachoendelea. Mkuu abda Mimi sijaelewa vizuri. Watu wamelizwa sana Kwa hili.
Sent using Jamii Forums mobile app