Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Nimezuiwa kuingia kwenye kaburi la mume wangu. Nimechoka na sitakubali

Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Nimezuiwa kuingia kwenye kaburi la mume wangu. Nimechoka na sitakubali

Kwamba mzee Mengi alikuwa hawapi watoto wake wakubwa attention au tilitegemea agawe 50/50 ya his attention; impossible. Anyways; mambo yao ya ndani me siyajui. Tuwe tu honest Becky; Mengi as long as ni Mengi mwenye hela tuliyemjua; hata angeoa malaika; kilimchotokea Jacky kingemkuta tu na huyo mke. Hakuna mwanamke ambaye angeolewa na Mengi afu aonekane hajafuata mali.

Mambo ya ndugu wa mume hayajaanzia kwa Jacky; je tujiulize ndugu wa Mengi walimpokea Jacky kwa upendo? What if na wenyewe hawakumpokea Jacky vizuri so na yeye akaona awe busy tu na mumewe? Penda unapopendeka.

Usiongelee kuolewa mke wa pili au wa tatu; wale tu wa ndoa ya kwanza ni wangapi wanaishi kwa upendo genuine na familia za mume zao?

kama wewe ndio K-ylin ungeona unapewa tu wewe attention wewe na wanao,ungefight kuhakikisha Mzee anakuwa na muda wa familia yake hio 'ingine', this resentiment doesn't stem from nowhere kuna mahali kuna source ..hukuwa include na pengine ulikuwa unawaletea nyodo wakati baba yao yuko hai, hawataamini kama utawainclude kwa lolote baba yao mfu...hii vita ni kali mno.......................

HILI la kumpokea Jacky kwa upendo,mkuu unayaibua mengine,nasema hapana sio la ndugu ni la Jack,yeye ndio kama intruder kwenye familia..hivyo alipaswa atambue wajibu wake..yeye ndio anaenda kuwa mama kwa 'watoto' wa familia..hii responsibility aliikubali mwenyewe alipoamua kuwa na Mengi,sababu alijua Mengi ana watoto,hivyo kama yeye ana his best intrest in her heart asingekua selfish nae...natambua ni ngumu kidogo 'intruder' kuwa accepted into one's family..ila wengi wana success stories..mkiheshimiana na kupendana haya mambo ya kudhalilishana hayatakuwepo.....
 
Millardi naye anatumika kufikisha ujumbe ili watu wamuonee huruma

Sent using Jamii Forums mobile app
Milard ni mwandishi wa habari, mtoto mdogo kabisa

Katoa twitter kaweka kwenye media stream zingine, kosa lake ni nini??

Pumbavu kabisa, unataka achukiwe yuko kazini? Aliyeanzisha thread hapa je?? Wanaorusha kwenye whatsapp je?
Aonewe huruma na nani? Wewe kama haumpendi wako wanaompenda?

Au ulizalishwa na marehemu hajakupa urithi? Why taarifa kama hizi unataka fulani achukiwe??
 
Rebeca 83,
Unfortunately as I said before ya ndani mwao sikufanikiwa kuyajua. Maybe she tried to be accepted or maybe she didn't try at all; sijui. Ila kwa experience yangu ndogo; familia za watu wazito kukubalika sio kitu rahisi sana especially unapokuja na inaonekana kama umefuata tu mpunga. Ni familia chache sana zinazofanikiwa katika hili. As you said; wengine wanapata somo hapa.
 
Heaven Sent, Hivi umpeleke mtu mahakamani halafu utake akutendee wema? Tayari ndugu walihisi kafuata pesa halafu Mzee anakufa yeye anakimbilia mahakamani, Mimi nadhani mahakama ingekuwa ni ya mwisho halafu usia wenyewe una utata, ningekuwa Mimi ningewaambia usia tuuweke pembeni halafu niwaulize wao wanasemaje juu ya hilo Ila wasisahau watoto. Mkuu yasingefika hapa yalipo niamini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anapambana vita asiyoiweza, kama angekubali kula na wenziye haya yasingemkuta.

Tujifunze methali za "Mtaka yote kwa pupa...!"
yaani sijui alimrubuni vipi hadi yule mzee akawanyima kabisa urithi watoto wake halali wa ndoa, hii haikubaliki hata kisheria, wale watoto walimkosea nini kibaya baba yao hadi awafanyie ukatili kama huo? Alitakiwa ale na watoto wengine wa marehemu, ila yeye kataka achukue vyote? Ule wosia ni batili hata kikatiba!
 
Rebeca 83,

Duh

Intruder? Mama yako aliolewa bikra kwa baba yako? Au baba yako alikuwa bikra kwa mama yako?

What Love has to do with intrusion? We are all intruders in our lives....hata kuja tu duniani kuzaliwa ushakuwa intruder.Hauwezi ukakubali kuzaliwa kwenye population ya watu 7b na wewe unaongezeka...futa neno intruder unaondoa humanity.

Mengi na watoto wake walikuwa na ugomvi, watoto walimfungulia kesi baba yao for the past ten years....tena kesi nzito za baba kuona kama sio watoto wake

mengi aliishawapa wanae wakubwa kila kilicho chao na mke mkubwa!!

Kijana mkubwa wa mengi ni kamari sana, binti yake msagaji tu na alijua vyema

Jackline asingeweza kujenga mahusiano ya baba na wanae wakubwa
 
yaani sijui alimrubuni vipi hadi yule mzee akawanyima kabisa urithi watoto wake halali wa ndoa, hii haikubaliki hata kisheria, wale watoto walimkosea nini kibaya baba yao hadi awafanyie ukatili kama huo? Alitakiwa ale na watoto wengine wa marehemu, ila yeye kataka achukue vyote? Ule wosia ni batili hata kikatiba!

Watoto waliishapewa urithi ndugu
 
Hivi umpeleke mtu mahakamani halafu utake akutendee wema? Tayari ndugu walihisi kafuata pesa halafu Mzee anakufa yeye anakimbilia mahakamani, Mimi nadhani mahakama ingekuwa ni ya mwisho halafu usia wenyewe una utata, ningekuwa Mimi ningewaambia usia tuuweke pembeni halafu niwaulize wao wanasemaje juu ya hilo Ila wasisahau watoto. Mkuu yasingefika hapa yalipo niamini.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mahakamani aliwapeleka kisa nini? I thought mahakamani ilikuwa ni kwa ajili ya mirathi tu au kuna kesi nyingine tena aliyoifungua Jacky?
 
Heaven Sent,

Hao ndugu wa Mengi na watoto wao wanapoteza muda sana...... maana kamwe hawatashinda na hatapatikana mshindi kwenye hii! Ni vyema waka kaa chini wakamaliza hili saga maana ukweli ni kwamba mali na ufalme wa Mengi utapotea kabisa!

Hii familia inahitaji msaada kabisa!


Lakini hili la kumvaa Jack ni kumkosea kabisa baba yao
 
Hata kama ungekuwa wewe bro, imagine hustle ambazo watoto wamezifanya kuendeleza business za mdingi.

And then out of no where unakuja waraka wa hawatakiwi kupata chochote, anayetakiwa kupata ni outsider!
Wale watoto wamepambana mno na mdingi wao kukuza zile biashara, halafuckanakuja kachangudoa kanajipitisha pitisha hadi mdingi anaingia lani, then mwishowe unataka wasipate kitu kabisa???!! Aisee hilo swala haliwezekani!!!!!!
 
Hiki cha uroho Wa kutaka 100% ndo kilichopelekea haya yaliyomkuta Dada Jacky.

Na awe makini anacheza na wachaga kwenye Mali? Wanaweza pia mtanguliza ardhini.

Chamsingi atafute suluhu na familia ya mengi!/ maugomvi anaweza ishia kosa kila kitu.
Nilimaanisha hivi; mke hata akiwa goal keeper(hakuchangia chochote financially) ana haki ya kurithi mali za mumewe kwa 100%; sio kwamba 100% ya mali zote apewe yeye. Obviously kunakuwa na mgao
 
Na kapewa kuishi tu Maana mmliki wa ile nyumba ni Stanbic bank , ningekua mimi ni mtoto wa Mengi nisingelipa mikopo ya marehemu ili nyumba ipigwe mnada idemu akaishi maswekeni huko (kwa Sauti ya Lemutuz) [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Unawachafua kwenye mitandao wakati walikua wanakulisha wewe na marehemu Mzee mengi
Duh
Wivu au?
Kwani kupendwa na mzee mengi ndio kosa lake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali zuri,kwamba hata wakishinda walipwe 1000.
Yule mzee hata iweje hawezi kuwa bogasi kuandika wosia ule.
Ni kichaa tu ataukubali

Sasa wamefungua shauri kupinga wosia tusubiri mahakama itoe maamuzi lakini nakuhakikisha hawatashinda! Suluhu la huu mgogoro ni kukubali kukaa chini na kuyamaliza
 
Back
Top Bottom