Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Nimezuiwa kuingia kwenye kaburi la mume wangu. Nimechoka na sitakubali

Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Nimezuiwa kuingia kwenye kaburi la mume wangu. Nimechoka na sitakubali

Jamani tuache ushabiki tuweke ukweli mbele. Wewe kwenda kwenu kama hujawataarifu huwa wanakukataza kuingia ndani? Na tena Jacky anaenda tu kuangalia kaburi anarudi kwenye mji wake; wao ndugu wa Mengi inawacost nini?

Mbona unapotosha dada/ mama/Kaka yeye mwenyewe kylin amesema anatakiwa atoe taarifa akiwa anaenda pale kwenye ule mji , ile nyumba sio kama makabuli ya public kuna uzio na watu wanaishi

Kutoa taarifa ni lazima kwa Sababu ni nyumbani kwa watu

Kwetu kwa wazazi wangu naenda bila taarifa, lakini kylin pale sio kwao ni mji wa Mama mercy Mengi na watoto wake
 
Mbona unapotosha dada/ mama/Kaka yeye mwenyewe kylin amesema anatakiwa atoe taarifa akiwa anaenda pale kwenye ule mji , ile nyumba sio kama makabuli ya public kuna uzio na watu wanaishi

Kutoa taarifa ni lazima kwa Sababu ni nyumbani kwa watu
Jamaniiii

Amesema wanazuiwa na kufukuzww; so obviously alifika hadi pale nyumbani akakuta mtu/watu ila akaambiwa hawezi kuingia kwa sababu hakutoa taarifa; au mimi ndo bichwa langu gumu? Ingekuwa amefika na hakuna mtu kwa wakati na hakuwa ametoa taarifa prior basi hapo ingeeleweka vizuri tu kwa sababu labda wenyeji wake walikuwa na ratiba za mbali. Btw hapo nyumbani yupo tu Benja au kuna na mtu/watu ambao wanashinda hapo?

Kwenda bila taarifa ndo afukuzwe????????
 
Kwamba mzee Mengi alikuwa hawapi watoto wake wakubwa attention au tilitegemea agawe 50/50 ya his attention; impossible. Anyways; mambo yao ya ndani me siyajui. Tuwe tu honest Becky; Mengi as long as ni Mengi mwenye hela tuliyemjua; hata angeoa malaika; kilimchotokea Jacky kingemkuta tu na huyo mke. Hakuna mwanamke ambaye angeolewa na Mengi afu aonekane hajafuata mali.

Mambo ya ndugu wa mume hayajaanzia kwa Jacky; je tujiulize ndugu wa Mengi walimpokea Jacky kwa upendo? What if na wenyewe hawakumpokea Jacky vizuri so na yeye akaona awe busy tu na mumewe? Penda unapopendeka.

Usiongelee kuolewa mke wa pili au wa tatu; wale tu wa ndoa ya kwanza ni wangapi wanaishi kwa upendo genuine na familia za mume zao?


Huyo shetani wa kinyarwanda alikua anaficha mzee akiumwa hata malaria alikua hawaambii ndugu na aliwazuia wasiende kumuona alizuia walinzi wasiluusu ndugu wa Mzee Mengi. Kwenda kumuona, alidhani akiluusu ndugu wamuone wangemuokoa na yeye alitaka Mzee afe

Na simu Mzee alikua anapokonywa hasitoe taarifa kwa ndugu zake
 
Huyo shetani wa kinyarwanda alikua anaficha mzee akiumwa hata malaria alikua hawaambii ndugu na aliwazuia wasiende kumuona alizuia walinzi wasiluusu ndugu wa Mzee Mengi. Kwenda kumuona, alidhani akiluusu ndugu wamuone wangemuokoa na yeye alitaka Mzee afe

Na simu Mzee alikua anapokonywa hasitoe taarifa kwa ndugu zake
Wewe ni ndugu yake Mengi? (Samahani lakini ningependa kujua kama mzee Mengi aliwaambia hilo yeye mwenyewe). Sasa baada ya kupona kwa nini hawakuchukua hatua madhubuti wakaendelea kumuacha mzee wa watu ateseke na mnyarwanda?
 
Jamaniiii

Amesema wanazuiwa na kufukuzww; so obviously alifika hadi pale nyumbani akakuta mtu/watu ila akaambiwa hawezi kuingia kwa sababu hakutoa taarifa; au mimi ndo bichwa langu gumu? Ingekuwa amefika na hakuna mtu kwa wakati na hakuwa ametoa taarifa prior basi hapo ingeeleweka vizuri tu kwa sababu labda wenyeji wake walikuwa na ratiba za mbali. Btw hapo nyumbani yupo tu Benja au kuna na mtu/watu ambao wanashinda hapo?

Kwenda bila taarifa ndo afukuzwe????????


Hata kama Benja yupo hapo kwa nini aende bila hodi , watu wana privacy zao , kwa nini ashtukize

Afate taratibu za kichaga atoe taarifa aone kama watamzuia

Shida alitaka kuitawala na kuisambalatisha ile familia
 
uko wapi wewe nikupe bia mbili hapa
Nasema hivi, wachaga watamnyoosha huyu, sababu hana adabu yeye anajua kaenda kuchuma fedha kwa mzee late Mengi, angetulia walau apate huruma ya familia ya Mengi, yeye bado analeta kiburi, ujuaji, dharau.

Halafu anajiona ndio mwenye haki yote ya Mengi, of which yeye alienda short time tu kudanga, hapo lazima atanyooshwa, nilijua kwa uhakika atapata tabu sana, sbb issue kama yake hata mahakama haiwezi kupata suluhu. Opportunists watu wabaya sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
acha kumtetea mdangaji yule
Watanzania bado Kama bado roho mbaya ,chuki na mihemko watu hamfikirii hata wale malaika watoto wadogo mnajenga chuki matabaka,

Kwani mke halali kurithi Mali za marehemu kwa ajili ya watoto shida iko wap? Mnajua kavumilia mangapi mpaka mzee kufia mikononi mwake mbona asifie kwengine ??

Too bad kwa watoto !!

Wamachame kwa hili tumekwama sana!! Regina hajazaa hajui hata kulea wala uchungu huyu ukijumlisha na sumu waliochiwa na mama yao ! Muamuzi wa hii vita sijui ni nani?????

Take a heart mama yatapita I can imagine familia & ukoo mzima tena koo mbili ya mama mercy na mengi against mtu mmoja Jack!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kama Benja yupo hapo kwa nini aende bila hodi , watu wana privacy zao , kwa nini ashtukize

Afate taratibu za kichaga atoe taarifa aone kama watamzuia

Shida alitaka kuitawala na kuisambalatisha ile familia
Aaah kumbe ni taratibu zao za kichaga; nilijua kama huku kwetu unyakyusani ukishuka tu stendi unaweza kuangua tu kilio hadi makaburini
 
Tukisema Babu alilishwa maneno na mjukuu wake akaamua kuyaweka katika maadishi utakataa?

Sent using Jamii Forums mobile app


Waliandaa ile will then waka draft vizuri kabisa ikawa printed then wakamsainisha Mzee Mengi wakati anaumwa

Ndio maana hata mwanasheria aliesimamia kusainisha lile Zoezi la Will kwa upande wa Mzee Mengi ni Mwanasheria wa vichocholoni sio wanasheria wa Mzee Mengi wa IPP

Walijua wakitumia wanasheria wa kampuni issue ingebuma na Kuvuja mapema
 
Huyu kakosa Adabu hayo ya Twitter ya nini? Jirani pale Kule mzee Munisi kajaa na busara mpaka zina mwagika, Kuna mzee Lema hapo hapo Nkuu kuna mzee Ngatara , Epafra na Swai lakini hawataki ila Twita.
Suluhisho tafuta wazee wa pale pale lakini baada ya shauri la mahakamani kuisha na kuwaeleza dukuduku lako lote. Sisi ni washabiki lakini hatuna msaada wa uhakika.
Tatizo ana walimu vipofu, Ila umemshauri vizuri sana, hakuwa na sababu ya kukimbilia mahakamani kama angepata mtu kama wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waliandaa ile will then waka draft vizuri kabisa ikawa printed then wakamsainisha Mzee Mengi wakati anaumwa

Ndio maana hata mwanasheria aliesimamia kusainisha lile Zoezi la Will kwa upande wa Mzee Mengi ni Mwanasheria wa vichocholoni sio wanasheria wa Mzee Mengi wa IPP

Walijua wakitumia wanasheria wa kampuni issue ingebuma na Kuvuja mapema
akili nyingi sana wewe yule mwanamke ni mjinga sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mali zipi wakati hajamilikishwa chochote? Hukuona alikuja lia mitandaoni kuhusu watakaonunua mali za Mengi R

Sent using Jamii Forums mobile app
Atubu kwa kumsainisha mzee Mengi wosia wa kishenzi kama ule, eti 'yeyote atakaepinga wosia huu mahakamani na kushinda apewe shs.1,000/=' si utapeli huo? Yaani mtu kashinda kesi halafu apewe 1,000/=, si ni jukumu la mahakama kusema nani apewe nini kwa na kwanini? Tapeli hilo..
 
Ndugu zangu watz,naomba niwambie nipo mbez dsm wakati naanika uzi huuu,

nimeona kupitia mitandao ya kijamiii kuwa heti mke wa meng zengwe limeenza na linatokea uchagani?

kwanza naomba niwashauli ndugu wa matehemu Mengi kuwa jakline alimkatia kiuno mengi hiv nani aliwai mkatia kiuno kati yenu?
pili mzeee si aliacha usia? kati yenu mliofungua jarada la kesi ni nani alikuwepp?
ke alimubal polepale?
e



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom