Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Nimezuiwa kuingia kwenye kaburi la mume wangu. Nimechoka na sitakubali

Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Nimezuiwa kuingia kwenye kaburi la mume wangu. Nimechoka na sitakubali

Hilo kaburi lina mlango au ulitaka kulivunja ili uingie? Na ulitaka kwenda kumfanya nini marehemu
 
Ni mtihani kwa kweli

klyn walau awagawie katika vile alivyoachiwa na mzee pia
Yaonekana ye ndo ana mali nyingi zaidi
How?
Kampuni zote tanzu za IPP zina management (signatories/power of attorney, shares/MOU),,Mzee Mengi alikuwa kama CEO/Chairman hivyo masuala ya kifamilia hayapaswi kuingilia muundo wa kampuni otherwise stated to do so.
 
Nyie hamjui maswala ya kifamilia yalivyo magumu kudeal nayo...hapa huwezi jua mwema anayenyanyaswa au anayenyanyasa...


Ni magumu saana....matatizo mengi tuwaachieni wanaohusika nayo maana wanajua mwanzo wa stori hadi mwisho...huku nje utasema usiyoyajua...
 
Unaingiaje nyumbani kwa Mtu bila ruhusa, huyu Mwanamke anachanganyikiwa vibaya , makabuli yapo ndani ya Fence ni nyumba ya familia ya mdogo wa Mzee Mengi

Akipiga simu kutoa taarifa Shida iko wapi? Kwa nini anataka kwenda kimya kimya?

Analalamika anaambiwa atoe taarifa aombe ruhusa akitaka kwenda ni sawa kabisa, personally nisingependa mtu aje nyumbani Kwangu bila taarifa
 
Ile haijaandikwa nani. Ila ya pale karibu na Ubalozi wa Korea/ Japan ndio kapewa huyo dada

Sent using Jamii Forums mobile app


Na kapewa kuishi tu Maana mmliki wa ile nyumba ni Stanbic bank , ningekua mimi ni mtoto wa Mengi nisingelipa mikopo ya marehemu ili nyumba ipigwe mnada ili demu akaishi maswekeni huko (kwa Sauti ya Lemutuz) 😂😂😂😂

Unawachafua kwenye mitandao wakati walikua wanakulisha wewe na marehemu Mzee mengi
 
Nyie hamjui maswala ya kifamilia yalivyo magumu kudeal nayo...hapa huwezi jua mwema anayenyanyaswa au anayenyanyasa...


Ni magumu saana....matatizo mengi tuwaachieni wanaohusika nayo maana wanajua mwanzo wa stori hadi mwisho...huku nje utasema usiyoyajua...
Very Good.
Swali linakuja why kutumia mitandao kutatua/kuelezea masuala ya familia?
 
Watanzania bado Kama bado roho mbaya ,chuki na mihemko watu hamfikirii hata wale malaika watoto wadogo mnajenga chuki matabaka,

Kwani mke halali kurithi Mali za marehemu kwa ajili ya watoto shida iko wap? Mnajua kavumilia mangapi mpaka mzee kufia mikononi mwake mbona asifie kwengine ??

Too bad kwa watoto !!

Wamachame kwa hili tumekwama sana!! Regina hajazaa hajui hata kulea wala uchungu huyu ukijumlisha na sumu waliochiwa na mama yao ! Muamuzi wa hii vita sijui ni nani?????

Take a heart mama yatapita I can imagine familia & ukoo mzima tena koo mbili ya mama mercy na mengi against mtu mmoja Jack!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona una hukumu kabila lote!!
Hili jambo sio jema sababu watoto kama ni wa Mengi wana haki zote za kufika kwao na kuona kaburi la Baba yao!
Wanatakiwa kujuwa watoto wa jack ni ndugu zao hakuna njia ya kukwepa!!
Nyendo!
 
Very Good.
Swali linakuja why kutumia mitandao kutatua/kuelezea masuala ya familia?
Still nitasema sijui.

Labda symphathy...au kajaribu kwengine kashindwa hivyo anaona kwasababu ni familia inayofahamika itasaidia.

-Labda pia alikurupuka kwasababu ya hasira za ghafla.

-Labda pia hawampi attention media ndiyo njia pekee.

-Labda hajiheshimu na haheshimu masuala ya familia.

Sijui kwanini......
 
Aliyewahi kuwa Mwanamuziki Nchini na ambaye ni mke wa Marehemu Regnald Mengi, Jacqueline Mengi maarufu kama K-Lyinn amedai kuzuiwa kuingia kwenye kaburi la mumewe, Reginald Mengi

Bila kusema ni nani anaowazungumzia, kupitia ukurasa wake rasmi wa Twitter ameandika “Nimenyamaza kwa mengi sana tu. Mmefikia hatua ya kunizuia mimi na wanangu kuingia kwenye kaburi la mume wangu.”

Ameendela na kuandika “Tunafukuzwa eti mpaka tuombe ruhusa ya kuingia kwenye kaburi la mume na Baba wa watoto wangu. Nimechoka, sitakubali kuendelea kuona wanangu wakisononeka na sitakaa kimya.”

Reginald Mengi ambaye alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni za IPP alifariki dunia Mei 2, 2019 na kuacha mke (Jacqueline Mengi) na watoto wanne ambao ni Regina, Abdiel, Jayde na Ryan. Watoto hao amezaa na Mercy Mengi pamoja Jackline Mengi

View attachment 1365926

BAADHI YA MAONI YA WADAU:

View attachment 1365927
View attachment 1365928
View attachment 1365929
View attachment 1365930
View attachment 1365931
View attachment 1365932
Kama ameshindwa kuwatafuta watu wenye heshima ktk jamii na kushare nao jambo hilo basi nina wasiwasi anashida kidogo,twitter haiwezi kumsaidia au anatafuta simpathy kwa watu.......Mengi alikuwa nimtu mwenye watu wengi sana wangemsaidia kusolve
 
Masikini Jackline! Endelea kupambana mpaka upate haki yako.
 
Nikwambie majority ya wamachame wanamapungufu yao Sana ikitokea ameoa mkabila alafu kukawa na vihela then ikatokea matatizo kama haya aloo moto unawaka
Mbona una hukumu kabila lote!!
Hili jambo sio jema sababu watoto kama ni wa Mengi wana haki zote za kufika kwao na kuona kaburi la Baba yao!
Wanatakiwa kujuwa watoto wa jack ni ndugu zao hakuna njia ya kukwepa!!
Nyendo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Still nitasema sijui.

Labda symphathy...au kajaribu kwengine kashindwa hivyo anaona kwasababu ni familia inayofahamika itasaidia.

-Labda pia alikurupuka kwasababu ya hasira za ghafla.

-Labda pia hawampi attention media ndiyo njia pekee.

-Labda hajiheshimu na haheshimu masuala ya familia.

Sijui kwanini......

Anajua wale hawapendi media, hawapendi publicity , in short hawapendi kelele wala umaarufu

Kwa hiyo anajidanganya anavyopiga kelele hivi kwenye public labda itamsaidia kuwatuliza na ili aendelee kudhulumu
 
Wanaume wazee wanaosoma hii topic...

Kama mna michepuko..

Kikwetu,if you go..they get NOTHING

Kazi kwenu wadangaji!

K-lyin nilimtetea sana humu..wakati anaolewa...

Ukweli ni kwamba ukimpenda mtu,utapenda na watoto wake..

Mimi sidhani kama watoto wa Mengi wamekataa mazungumzo ya 'kila mtu apate'...

Kuna ubinafsi utakuwa umeonyesha,na wao wakaamua kukufungia vioo...

Sio watoto hao,ni watu wazima,wao ndio wanajua kama ulimpenda baba yao au ulifuata mali...

Kama ulimpenda kutoka moyoni,usingekua na uhusiano mbaya na wanae...

hii kuaibika kote,kusingekuwepo

tunawaombea mpite hili...

Sabatu at some point,MENGI aliwapenda wote..

kila mmoja wenu ana nafasi yake katika maisha yake

Sisi waja tunabakia kuongea tu huko Instagram na humu JF
 
Still nitasema sijui.

Labda symphathy...au kajaribu kwengine kashindwa hivyo anaona kwasababu ni familia inayofahamika itasaidia.

-Labda pia alikurupuka kwasababu ya hasira za ghafla.

-Labda pia hawampi attention media ndiyo njia pekee.

-Labda hajiheshimu na haheshimu masuala ya familia.

Sijui kwanini......
Nimependa ulivyojibu "sijui" that is very good approach.
Ni vema wanasheria wake wakamshauri awe na subira na mali za marehemu ajiendeleze kielimu,awe na ushirikiano began kwa bega na wenzake ili kuendeleza kile marehemu amewaachia kwa manufaa ya vizazi vyao vijavyo.
Kamwe wasithubutu kuingiza na kuchanganya mambo + visasi au maneno ya kuudhi wengine.
Kama alikuwa anaishi nje ya nchi arudi nchini ili naye ajumuike kujenga IPP na sio kusubili azalishiwe na kupewa ngao.
Actually she do act as positively for the benefit of her future generation + IPP benefits.
 
Back
Top Bottom