Huyo Rachel nae wivu tuHuu Uzi kiboko!
Ila nilichogundua Da Jacky hapendwi, kuanzia kwa Millard Ayo, Carrymastory, Mega, jf na msumari wa mwisho kwa Rachel Temu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa lawyer unanichekesha sana leoHahahaha ujue humu Jf kuna watu mna mitambo ya kuchakata uongo aiseee hivi ulikuwepo wakati ana mkaba hilo koo?
Sasa baada ya kukabwa koo Mengi ali report kituo gani cha polisi?
Mkuu learned lawyer sijakataa kabisa ila kungekuwa na fair share. Waweke mambo mezani wagawane watoto wote na Jack pia.Amechangia sana tuu kwenye hizo mali na mahakama inatambua kabisa ! Alivyokuwa ana mfulia marehemu na kumpa penzi hayo yote yalileta mali nyumbani
Karithishwa na mume mazee
Kama ni kosa basi analo alomrithisha
Hahaaa lawyer unanichekesha sana leo
How have you got to know?Hajarithishwa huyo mwanamke jambazi katengeneza wosia "fake" na wanasheria matango pori ili achukue mali za familia. Pambaneni nae huyo msimwachee
How have you got to know?
Are you a family member?
Mbona unatoka nje ya mada?
Nani amemzuia mengi kuoa.
Na kama aliolewa mbona anateseka?
Na mbona amechukua Mali zote yeye as if anajua hata namna ya kuzitafuta huyu grade seven leaver? Eti wajane wananyanyaswa. Nani ananyanyasa wenzake? Halafu unaongea tuu.
Kwanini huwafikirii watoto wakubwa wa marehemu? Hawastahili kumiliki mali za baba yao ambao kimsingi maa yao was the source ya haya? No wonder hata wosia wenyewe wa kistandard seven leaver.
Put yourself too as a mother of the elder kids. Klyn my foot. Atanyooka tuu pamoja na watetezi wake. Hapa mwanzo tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahhaha kumbe alimkaba? Obviously atakuwa ameshafunguliwa kesi ya muuaji; imefikia wapi?Jf raha sana mimi siwezi ondoka,,,,eti akamkaba koo hahahaha
Mkuu learned lawyer sijakataa kabisa ila kungekuwa na fair share. Waweke mambo mezani wagawane watoto wote na Jack pia.
Ndio mimi ni "family member" .
Wazee Wa heshima wenye hekima na busara waitishe pande mbili za hii familia wakae nao wayamalize kifamilia kwa heshima ya Mzee Mengi.
Pande mbili hizi haziko na hali nzuri hivyo hekima na busara yapaswa kutumika kuwaweka kwenye harmony..
Haya mambo si mageni yapo familia nyingi ni vile status zinatofautiana tu
Mungu awasaidie tu .
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee Mengi mwenyewe alishindwa kuiweka familia yake vzr hadi amekufa ameacha sintofamu. Ndiyo yaleyale ya marehemu Mfuruki.Wazee Wa heshima wenye hekima na busara waitishe pande mbili za hii familia wakae nao wayamalize kifamilia kwa heshima ya Mzee Mengi.
Pande mbili hizi haziko na hali nzuri hivyo hekima na busara yapaswa kutumika kuwaweka kwenye harmony..
Haya mambo si mageni yapo familia nyingi ni vile status zinatofautiana tu
Mungu awasaidie tu .
Sent using Jamii Forums mobile app
Tabu sana...Mzee Mengi mwenyewe alishindwa kuiweka familia yake vzr hadi amekufa ameacha sintofamu. Ndiyo yaleyale ya marehemu Mfuruki.
Ndio mimi ni "family member" .
Zungumzeni muyamalize, kuna watu wengi wenye busara wakiwakalisha mtafika muafaka hakika.
Watoto Wa marehemu wanapaswa kuwa pamoja pasiwe na chuki na visasi
Basi kama una ushahidi wa Kyln kutengeneza wosia fake basi bila shaka utaithibitishia mahakama na kama ni kweli basi usiwe na wasi we subiri kushinda case muache tuu akaone kaburi kwa mara ya mwisho!
Mkuu bila shaka umeandika ukweli mtupu