Mbona unatoka nje ya mada?
Nani amemzuia mengi kuoa.
Na kama aliolewa mbona anateseka?
Na mbona amechukua Mali zote yeye as if anajua hata namna ya kuzitafuta huyu grade seven leaver? Eti wajane wananyanyaswa. Nani ananyanyasa wenzake? Halafu unaongea tuu.
Kwanini huwafikirii watoto wakubwa wa marehemu? Hawastahili kumiliki mali za baba yao ambao kimsingi maa yao was the source ya haya? No wonder hata wosia wenyewe wa kistandard seven leaver.
Put yourself too as a mother of the elder kids. Klyn my foot. Atanyooka tuu pamoja na watetezi wake. Hapa mwanzo tu.
Sent using
Jamii Forums mobile app