Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Nimezuiwa kuingia kwenye kaburi la mume wangu. Nimechoka na sitakubali

Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Nimezuiwa kuingia kwenye kaburi la mume wangu. Nimechoka na sitakubali

Thank you[emoji23][emoji23][emoji2320][emoji2320]

Nawashangaa wanaotuaccuse kwamba sijui tuna wivu na mali za jacky. Mali zake? Ma.ra.co.re yake. Mali zake amezitoa wapi. Tuwe na wivu na goldiggers? Sisi tunasimamia kwenye fairness. Hizi mali asilimia kubwa zatokea kwa mke mkubwa wa mengi binti kutoka familia ya mangi Shangali. Wale hawaijulii njaa. Na hapa ilikua ni 50 kwa 50. Where did the 50 go? Kwanini iperish just after mama mercy left. Watu wanaongea kama wamekatwa vichwa.

Only cheap goldiggers cant see what jack has just dug. Halaf aliychezeshea hili picha aint even smart enough.

Wanaomtetea kama siyo michepuko basi watoto wa michepuko. Ama goldiggers aka wadangaji. Sisi wengine tumelelewa katika misingi ya kujiamini na kutafuta mali kwa jasho na waume wa ujana zetu na siyo wazee wa NSSF.

Uchaggani kuna mila na desturi zake. Hauendi tuu kama unavyojisikia. Ziko protocol zao. Pale siyo danguroni.

Tunayaongea haya kwa uchungu kwa maana hatujui kesho itakuaje kwa watoto wetu tuliowaacha duniani maana hawana mtetezi.

Hivi wamefikiria what if mengi ndo angetangulia kabla ta mama mercy ingekuaje kwa upande wa klyn? Hapa ndo tunaamini jack alipiga mahesabu makali kuwahi.

Karma never misses the address.

Sent using Jamii Forums mobile app
50% ya Mama Mercy ilienda kwa Regina na Abdiel wakati amefariki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmmmhhh sio suala la njaa, yaani Mali za baba yetu zote umilikishwe wewe uliyeishi nae miaka minne tu? Atakufa mtu
Mbona hawakumzuia kufunga naye ndoa, kuishi naye na kuzaa naye?
Aliyeoa ni Mengi au hao ndugu? Njaa na tamaa zinatumaliza waAfrika, tunaomba mtu afe ili tugawane mali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
My point of view..
Angekubali tu kugawana hizo mali na hao watoto maana watoto wale pia wana haki na mali za baba yao. Mwisho wa siku wote njia yetu ni moja na mali hatuendi nazo kaburini.

Utu ni bora kuliko kitu
 
Siyo matajiri tu! Ndoa ione Hivi hivi. Ndoa si ya watu wawili tu, ni ya ukoo mzima ndo maana kuna harusi. Jambo la pili, ni kuwa siku hizi hasa nyie dot com napenda kupuuza upande wa kiumeni! Unapoupuuza omba kwa mungu wewe mwanamke utangulie,

akitangulia mwanaume na hasa akiwa ni head of household ndugu za mumeo wanakurudi regardless of wosia. Hata kama ilikuwa ndoa ya mke mmoja tu. Jambo la kujifunza ni wake zetu kuhakikisha wanajenga urafiki na upande wa kiume. Michepuko au wala mbivu, ukifumba macho tu, mateso ni mengi kwao na watoto
Jack pambana na shida zako jamii forum haitakusaidia inaelekea una matatizo na ndugu wa marehemu.some hii hapo juu.
 
Ungemueleza uzuri tu my dear si wote wajua kuhusu Hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanajua sana ila mtu akiongozwa na chuki anakua kipofu, Yatima ni mtoto aliyefiwa na wazazi wote wawili au mzazi mmoja hasa Baba, kipi hawakijui hapo, hao watoto wa Mengi hawapaswi kua yatima? Wangekua watoto wengine wanaowapenda wao watu wote wangeongelea kuhusu uyatima.
 
Hii iwe funzo kwa wanaume kushobokea watusi ...Kuna ndugu yangu alidanganywa na Ngozi , tako na uzuri wa sura kwa watoto wa kitusi ... Hii leo alichofanywa Cha mengi ni kidogo...


Nimeishi Sana na watusi , ogopa Sana Hawa watu .. Huyo K-lyin Ni mfano pekee na anatoa picha ya Jamii Yao ilivyo. Wengi mtasema mbona Kuna makabila hata bongo wako hivyo baadhi ya watu ... Nawaomba muulize watu ambao wamekaa na watusi hatushangai mengi kupigwa "spana" na kutolewa urithi wa kjinga.


Tena kuna mengine mengi yatafumuka ....

Wanaume wakati tukiongozwa na kichwa Cha chini tuwe tunakipa muda kchwa Cha Juu kufikiria kesho.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kakosea kwa wamachame..ajitafakari upyaa.
 
Back
Top Bottom