Thank you[emoji23][emoji23][emoji2320][emoji2320]
Nawashangaa wanaotuaccuse kwamba sijui tuna wivu na mali za jacky. Mali zake? Ma.ra.co.re yake. Mali zake amezitoa wapi. Tuwe na wivu na goldiggers? Sisi tunasimamia kwenye fairness. Hizi mali asilimia kubwa zatokea kwa mke mkubwa wa mengi binti kutoka familia ya mangi Shangali. Wale hawaijulii njaa. Na hapa ilikua ni 50 kwa 50. Where did the 50 go? Kwanini iperish just after mama mercy left. Watu wanaongea kama wamekatwa vichwa.
Only cheap goldiggers cant see what jack has just dug. Halaf aliychezeshea hili picha aint even smart enough.
Wanaomtetea kama siyo michepuko basi watoto wa michepuko. Ama goldiggers aka wadangaji. Sisi wengine tumelelewa katika misingi ya kujiamini na kutafuta mali kwa jasho na waume wa ujana zetu na siyo wazee wa NSSF.
Uchaggani kuna mila na desturi zake. Hauendi tuu kama unavyojisikia. Ziko protocol zao. Pale siyo danguroni.
Tunayaongea haya kwa uchungu kwa maana hatujui kesho itakuaje kwa watoto wetu tuliowaacha duniani maana hawana mtetezi.
Hivi wamefikiria what if mengi ndo angetangulia kabla ta mama mercy ingekuaje kwa upande wa klyn? Hapa ndo tunaamini jack alipiga mahesabu makali kuwahi.
Karma never misses the address.
Sent using
Jamii Forums mobile app