luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
JidanganyeAmechangia sana tuu kwenye hizo mali na mahakama inatambua kabisa ! Alivyokuwa ana mfulia marehemu na kumpa penzi hayo yote yalileta mali nyumbani
Kwa Mfuruki kuna mgogoro?Mzee Mengi mwenyewe alishindwa kuiweka familia yake vzr hadi amekufa ameacha sintofamu. Ndiyo yaleyale ya marehemu Mfuruki.
Jack anataka mteremkondoa ya Mengi na Jacklin ni batili haijulikani duniani wala mbinguni.
Ungemueleza uzuri tu my dear si wote wajua kuhusu Hilo.Kama hadi umri huo hujui yatima ni mtoto aliyeondokewa na BABA, basi kuna shida kwenye akili yako.
Tuambizeni tusiojua wakuu.
Kwahiyo wangezaa haya yanayoendelea yasingetokea sioLkn Hawa watoto wakubwa wa mzee nao wanakosea? Kwanini hawazai asee?[emoji849][emoji849][emoji848] ...
Mdingi ndo maana akazaa na mjukuu wake, mitoto inaendeleza anasa mpaka inasahau familia yaaan..
Sent using Jamii Forums mobile app
50% ya Mama Mercy ilienda kwa Regina na Abdiel wakati amefarikiThank you[emoji23][emoji23][emoji2320][emoji2320]
Nawashangaa wanaotuaccuse kwamba sijui tuna wivu na mali za jacky. Mali zake? Ma.ra.co.re yake. Mali zake amezitoa wapi. Tuwe na wivu na goldiggers? Sisi tunasimamia kwenye fairness. Hizi mali asilimia kubwa zatokea kwa mke mkubwa wa mengi binti kutoka familia ya mangi Shangali. Wale hawaijulii njaa. Na hapa ilikua ni 50 kwa 50. Where did the 50 go? Kwanini iperish just after mama mercy left. Watu wanaongea kama wamekatwa vichwa.
Only cheap goldiggers cant see what jack has just dug. Halaf aliychezeshea hili picha aint even smart enough.
Wanaomtetea kama siyo michepuko basi watoto wa michepuko. Ama goldiggers aka wadangaji. Sisi wengine tumelelewa katika misingi ya kujiamini na kutafuta mali kwa jasho na waume wa ujana zetu na siyo wazee wa NSSF.
Uchaggani kuna mila na desturi zake. Hauendi tuu kama unavyojisikia. Ziko protocol zao. Pale siyo danguroni.
Tunayaongea haya kwa uchungu kwa maana hatujui kesho itakuaje kwa watoto wetu tuliowaacha duniani maana hawana mtetezi.
Hivi wamefikiria what if mengi ndo angetangulia kabla ta mama mercy ingekuaje kwa upande wa klyn? Hapa ndo tunaamini jack alipiga mahesabu makali kuwahi.
Karma never misses the address.
Sent using Jamii Forums mobile app
mama mkwe na mwali wake hadi kwenye mazishi ya mwanaye hakuhudhuria.
Mbona hawakumzuia kufunga naye ndoa, kuishi naye na kuzaa naye?
Aliyeoa ni Mengi au hao ndugu? Njaa na tamaa zinatumaliza waAfrika, tunaomba mtu afe ili tugawane mali.
Jack pambana na shida zako jamii forum haitakusaidia inaelekea una matatizo na ndugu wa marehemu.some hii hapo juu.Siyo matajiri tu! Ndoa ione Hivi hivi. Ndoa si ya watu wawili tu, ni ya ukoo mzima ndo maana kuna harusi. Jambo la pili, ni kuwa siku hizi hasa nyie dot com napenda kupuuza upande wa kiumeni! Unapoupuuza omba kwa mungu wewe mwanamke utangulie,
akitangulia mwanaume na hasa akiwa ni head of household ndugu za mumeo wanakurudi regardless of wosia. Hata kama ilikuwa ndoa ya mke mmoja tu. Jambo la kujifunza ni wake zetu kuhakikisha wanajenga urafiki na upande wa kiume. Michepuko au wala mbivu, ukifumba macho tu, mateso ni mengi kwao na watoto
Hata wewe unapaswa kunitaka radhi, ni vema kujifunza kuliko kua vichwa ngumu.Labda ukiwa unaongelea kiislamu.
Ila kidunia mtake radhi uliyemqoute hapo juu.
Wanajua sana ila mtu akiongozwa na chuki anakua kipofu, Yatima ni mtoto aliyefiwa na wazazi wote wawili au mzazi mmoja hasa Baba, kipi hawakijui hapo, hao watoto wa Mengi hawapaswi kua yatima? Wangekua watoto wengine wanaowapenda wao watu wote wangeongelea kuhusu uyatima.
Chukua like baby girlMy point of view..
Angekubali tu kugawana hizo mali na hao watoto maana watoto wale pia wana haki na mali za baba yao. Mwisho wa siku wote njia yetu ni moja na mali hatuendi nazo kaburini.
Utu ni bora kuliko kitu
Ht kama ingekua mimi nisingekubaliMmmmhhh sio suala la njaa, yaani Mali za baba yetu zote umilikishwe wewe uliyeishi nae miaka minne tu? Atakufa mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni 75 boss. Sema goldigher ndo ametaka kuipiga. Na ndo ana hali ngumu huko sasa hivi anahaha. Tunakimbiza mwizi kimya2
Nani yatima?Wanamnyanyasa mjane na watoto yatima!!!
Hawajui Mungu alishakataza hayo.
Millard ndio kaandika twitter? MfyuuuMillardi naye anatumika kufikisha ujumbe ili watu wamuonee huruma
Sent using Jamii Forums mobile app
Kakosea kwa wamachame..ajitafakari upyaa.Hii iwe funzo kwa wanaume kushobokea watusi ...Kuna ndugu yangu alidanganywa na Ngozi , tako na uzuri wa sura kwa watoto wa kitusi ... Hii leo alichofanywa Cha mengi ni kidogo...
Nimeishi Sana na watusi , ogopa Sana Hawa watu .. Huyo K-lyin Ni mfano pekee na anatoa picha ya Jamii Yao ilivyo. Wengi mtasema mbona Kuna makabila hata bongo wako hivyo baadhi ya watu ... Nawaomba muulize watu ambao wamekaa na watusi hatushangai mengi kupigwa "spana" na kutolewa urithi wa kjinga.
Tena kuna mengine mengi yatafumuka ....
Wanaume wakati tukiongozwa na kichwa Cha chini tuwe tunakipa muda kchwa Cha Juu kufikiria kesho.
Sent using Jamii Forums mobile app