Huyu dem tayari kishaanza kudata,anabishana na watu social networks,tena huku changanyikeni instagram.Hii ndio tabu ya kudanga kutegemea K huku kichwani ukiwa huna idea ya kutengeneza chako,mwezake Rita ndani ya muda mfupi kaisimamisha Benchmark na project yake ya Bongo Star Search.
Yeye sasa hivi ukimuevaluate bado kitu anachokimiliki ni K ambayo haina thamani,amekaa na mgodi wa hela ana shindwa ,kucreate idea au project zitakazo muingizia hela leo kama angekuwa na akili sizani kama angekosa miradi yake binafsi ya kumwingizia bil 2 au 3 kwa mwaka na sizani kama anagekuwa na muda wa kugombania mali za mzee Mengi na familia ya Mengi inge muheshimu.
Najua watu humu mnaongea tu,watoto wa marehemu wamepigana sana kusimamamia mali zile ni ngumu sana,kumwachia mali ambayo wametumia MDA wao wote,AKILI zao zote,NGUVU zao zote kusimamisha makampuni za Baba yao.
Yule jack kama angekuwa na akili za utafutaji hata 10-25% ya utajiri wa Mengi ina mtosha sana,ila tatizo akili hiyo hana ya kuzalisha mali kupitia kichwa chake,yy kishazoea kuzalisha kupitia K.
Huyu hata wa kimwachia mali zote za marehemu NINA UHAKIKA,ATAZITAPANYA zote na watu wata MDHULUMU sababu hajui kutumia kichwa chake.