Nimekukera??Sie na nani wewe? Tunakujibu ishirini hapa? Umenikera maana unajifanya mjuaji saana wewe ndiyo maana nakuandikia magazeti....na subiri kitabu nitaandika.
Sema ndivyo ulivyo sivyo wengine walivyo acha kujumuisha binadamu wengine wenye akili zao.
Unaona ulivyo mfuko endelea kunipa nchi hadi ufikie kunipa ukoo wako. Jacky awe mjane asiwe mjane wanawe wasiwe yatima ama wawe sio kesi kwangu..
Nilikuqoute ili uache majivuno.Nimekukera??
Kutoa maoni yangu?? Wewe una matatizo ya akili si bure, kwa hiyo ulitaka wote tuwe kama misukule tuseme Ndiyooooooo, hatuna haki ya kuongea maoni yetu?
Wewe ndio unajifanya mjuaji kwa kudandia mada iliyokuzidi kimo, hadi unajikuta unaropoka kama mtu aliyeachishwa kazi ghafla.
"Sio kesi kwangu"; sasa ulini quote ili iweje?
Unamfahamu nzi? Ushamuona vile anavyopekecha mikono na miguu yake?An orphan is someone whose parents have died, are unknown, or have permanently abandoned them. In common usage, only a child who has lost both parents due to death is called an orphan.
Nishakua na majivuno tena ya kusema Jacky ni mjane na watoto zake ni yatima au kuna mengine nisiyo yajua?Nilikuqoute ili uache majivuno.
Unamfahamu nzi? Ushamuona vile anavyopekecha mikono na miguu yake?
Ana maanisha wewe ukijua ya mbele mwingine anajua ya nyuma and vice versa,
Sasa wewe wakati unakimbilia google wenzio tunayajua kabla ya google haijaja kwenye dunia.
Bado huoni unajivuna tu.....? Ukikosoa kwa staha utaonekana wa maana saana.Nishakua na majivuno tena ya kusema Jacky ni mjane na watoto zake ni yatima au kuna mengine nisiyo yajua?
Hahahahahaha you people are smoking something very strong walai,Bado huoni unajivuna tu.....? Ukikosoa kwa staha utaonekana wa maana saana.
Jifunze itakusaidia saana... ila kabila nalo linachangia.Hahahahahaha you people are smoking something very strong walai,
Sawa labda nitaanza kujifunza jinsi ya kuandika kwa staha.
Unalijua kabila langu?Jifunze itakusaidia saana... ila kabila nalo linachangia.
Hapana...unataka nilijue?Unalijua kabila langu?
Halafu hii inakugusa hata wewe, usipende kuwaweka down watu kwa maoni yao na wewe ya kwako uone ni sahihi, free world.... Labda Kabila lako pia linachangia,Jifunze itakusaidia saana... ila kabila nalo linachangia.
Kwahiyo ulitaka huyu nkuruzinza afaidi mali aliyoikuta tayari,kuna mengi yanakuja na hakuna wa kumsaidia mana yeye ndio alitaka dhulumu kwa kufoji wosia wake na wanasheria njaaa,ipp wanasheria wake wanajulikana
Sent using Jamii Forums mobile app
Poa mkuu hapo nimekupata kabisa.....kunywa maji basi umkumbatie shemeji.Halafu hii inakugusa hata wewe, usipende kuwaweka down watu kwa maoni yao na wewe ya kwako uone ni sahihi, free world.... Labda Kabila lako pia linachangia,
[emoji53]
Kitu kikubwa nilichofunzwa na wazazi wangu, waalimu wangu na jamii yangu, nisiwahukumu watu kwa kabila lao, dini yao, rangi zao na kipato chao.Hapana...unataka nilijue?
Kampuni haziwezi kufa kizembe hivyo!!!.. kichaga mama akifa watoto mnapewa urithi na baba yenu!!..juu ya Hilo mama mercy ndio mwanzilishi mwenza wa ipp unadhani Jacky atatokea Wapi?!!..Hakuna cha huruma wala nini mbona hamkumfundisha adabu baba yenu akiwa hai mpaka mmesubiri amekufa? Mliogopa nini? This time ninyi wachagga ndio mtafunzwa kutii sheria bila shuruti maana kila kitu kiko wazi na Jaq sio mgawa mali ...
Kama ni mahakamani hamtoweza kushinda kamwe na ambacho mtafanikiwa ni kuua mali zote za Mengi alizozitafuta muda mrefu na akamchagua Jack kula nae....
Kampuni za mengi zitakufa zote kama hamto tafuta suluhu...
Sent from my iPhone using Tapatalk
Huwezi mtofautisha mtu na jamii yake....yeye ni kiwakilishi cha yaliyo kwenye jamii yake.Kitu kikubwa nilichofunzwa na wazazi wangu, waalimu wangu na jamii yangu, nisiwahukumu watu kwa kabila lao, dini yao, rangi zao na kipato chao.
Naishi kwa misingi hiyo.
Shemeji yako anakumbatiwa anytime sio mpaka niambiwe na mtu kwenye social media.Poa mkuu hapo nimekupata kabisa.....kunywa maji basi umkumbatie shemeji.
Hana kitu alijisaha sana dada yenu!!..yeye siyo hata share holder wa IPP!!!..yeye anapigania Mali ya Reginald ambayo kwenye share za kampuni alikua kabakiza kidogo nyingi alikua kampa mkewe na watoto!!!...hicho kidogo ndio kinatakiwa kigawanywe pia!!!..Ni mtihani kwa kweli
klyn walau awagawie katika vile alivyoachiwa na mzee pia
Yaonekana ye ndo ana mali nyingi zaidi
Sawa sawa.Shemeji yako anakumbatiwa anytime sio mpaka niambiwe na mtu kwenye social media.