Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Nimezuiwa kuingia kwenye kaburi la mume wangu. Nimechoka na sitakubali

Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Nimezuiwa kuingia kwenye kaburi la mume wangu. Nimechoka na sitakubali

kama wewe ndio K-ylin ungeona unapewa tu wewe attention wewe na wanao,ungefight kuhakikisha Mzee anakuwa na muda wa familia yake hio 'ingine', this resentiment doesn't stem from nowhere kuna mahali kuna source ..hukuwa include na pengine ulikuwa unawaletea nyodo wakati baba yao yuko hai, hawataamini kama utawainclude kwa lolote baba yao mfu...hii vita ni kali mno.......................

HILI la kumpokea Jacky kwa upendo,mkuu unayaibua mengine,nasema hapana sio la ndugu ni la Jack,yeye ndio kama intruder kwenye familia..hivyo alipaswa atambue wajibu wake..yeye ndio anaenda kuwa mama kwa 'watoto' wa familia..hii responsibility aliikubali mwenyewe alipoamua kuwa na Mengi,sababu alijua Mengi ana watoto,hivyo kama yeye ana his best intrest in her heart asingekua selfish nae...natambua ni ngumu kidogo 'intruder' kuwa accepted into one's family..ila wengi wana success stories..mkiheshimiana na kupendana haya mambo ya kudhalilishana hayatakuwepo.....
Daa! Points. Hivi umeolewa dada? Unahekima sana
 
Huyo “malaya” ndio alipendwa na marehemu
Kuliko watakatifu wote unao wajua! Na alipokuwa hai marehemu wote tulimuheshimu huyo so called “malaya” ni vyema tuendelee kumuheshimu mke wa baba yetu maana kumchukia na kumfanyia vituko hakuto leta wosia mpya
Umegonga nini hapo? Kwa kutetea hivi
 
Amechangia sana tuu kwenye hizo mali na mahakama inatambua kabisa ! Alivyokuwa ana mfulia marehemu na kumpa penzi hayo yote yalileta mali nyumbani
Yes upo sahihi sana mkuu, ukiacha kuchangia tu, Jack pia ni mama watoto wa mzee Mengi. Ila atambue Mengi amefika hapo alipo kwa msaada wa familia iliyopita pia ambayo ilimfulia na kumpa penzi kwa miaka mingi kabla yake. Familia ya mwanzo pia iliteseka mpaka amekuta mema anayoyapigania.

Mimi ningemuona Jack smart kama angekaa na familia ya mzee wayamalize kwanza, then kama wamemuonea ndio aje mitandaoni kushtaki. Siamini kama wakina Benja na Mengi family wana njaa ya kumtenga mazima.

Hii miaka 5 aliyokaa na Mengi ndio ajifanye amechuma nae kila kitu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania bado Kama bado roho mbaya ,chuki na mihemko watu hamfikirii hata wale malaika watoto wadogo mnajenga chuki matabaka,

Kwani mke halali kurithi Mali za marehemu kwa ajili ya watoto shida iko wap? Mnajua kavumilia mangapi mpaka mzee kufia mikononi mwake mbona asifie kwengine ??

Too bad kwa watoto !!

Wamachame kwa hili tumekwama sana!! Regina hajazaa hajui hata kulea wala uchungu huyu ukijumlisha na sumu waliochiwa na mama yao ! Muamuzi wa hii vita sijui ni nani?????

Take a heart mama yatapita I can imagine familia & ukoo mzima tena koo mbili ya mama mercy na mengi against mtu mmoja Jack!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Hivi ilikuwa fair mali zote warithishwe jaki na mapacha wake tu wakati kampuni ilianzishwa na uwepo wa mzazi wa watoto wakubwa? Kama ule wosia wa mengi ni wa kweli, trust me Jackie hakufanya vyema. Angewaachia at least nusu ya mali watoto wakubwa wa Mengi, wameweka nguvu zao hapo kuanzia mama yao then all of a sudden hawapati kitu sababu ya mtu kaolewa miaka hata mitano haijafika ya ndoa unategemea nini ndugu? Lazima iwe vita tena kali.
Kwa hii sababu honestly I don’t feel sorry for Jackie. Kawa greedy na itamcost. Wagawane fairly watamwacha.
 
Acha wivu hebu msaidieni huyo mjane we mangi jaribu kuvaa kiatu chake mkeo asumbuke na watoto wakati haupo mazee utafil aje?

Sent using Jamii Forums mobile app




kwa hili wadangaji tu ndio watamtetea kyln , asumbuke na watoto kivipi Mzee Mengi aliona hilo akamnunulia apartment za kutosha, amefunguliwa viwanda vyake vya Furniture ili hasije kupata tabu watoto tamaa ya nini sasa , aendeleze alivyoachiwa wakati anasubili familia impe anachostaili kwa ajili ya watoto wake

Unawezaje kuvuna husipopanda
 
Kama uko upande wa Jack that's fine. Kila mtu yuko free kuchagua upande wake. but hey kuna ya kujifunza hapa. Ukikubali kuwa mchepuko au ukabahatika kuolewa na mtu ambae ana familia tayari, ingia kwenye familia huku uki balance mambo,sio kuwa selfish na kuhakikisha attention yote unapata wewe na watoto hawapati attention waliyokua wanapata kutoka kwa baba yao...hii deprivation inabuild up resentiment....na kukuchukia kila uchwao..especially kama ilikua close-knit family,
Alafu unataka kumiliki Mali zote sio rahisi familia yake kukuelewa
 
Wivu tu wanamuonea maskini mrembo mwenye asili ya Rwanda
Unfortunately au ndio vile hatujuia ya ndani nae hakutumia nafasi vizuri kujenga mahusiano mazuri na familia ya mumewe.

Watoto wakubwa nao wanakomaa sijui kama watakuwa na umoja na hawa wadogo Mungu aingilie kati.

Those moments before Mengi hajafa enzi za ugonjwa Wa Rodney, mzee mmoja aliwahi sema Bwana Mengi wanae wanaweza wasiendeleze ukoo hivyo anapaswa atafute mwanamke azae nae watoto wengine,so later akapata mnyarwanda wetu Jacqueline ambae sasa anaingia kikombe cha mateso dah!

Mungu awatengenezee harmony hii familia

Sent using Jamii Forums mobile app
Ina maana hata Rodney nae hakuacha mtoto?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom