tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yatima na regina na abdiel,hao wadogo mama yao yupoWanajua sana ila mtu akiongozwa na chuki anakua kipofu, Yatima ni mtoto aliyefiwa na wazazi wote wawili au mzazi mmoja hasa Baba, kipi hawakijui hapo, hao watoto wa Mengi hawapaswi kua yatima? Wangekua watoto wengine wanaowapenda wao watu wote wangeongelea kuhusu uyatima.
Ndoa ya kikristu haijafa ni pesa iliongea,watumishi wetu wanalinda mwenye nacho hujui hilo?kinachogombaniwa ni 25% za mzee mengi alizobaki nazoLakini waligawana mali kila mtu akashika % zake; au? Maana kwenye mazishi yake Askofu Shoo alisema Mengi alisharudi kundini; na wakabariki ndoa na Jacky may 2014; ilikuwaje ndoa yao kubarikiwa kama hakuwa ameachana na Mercy?
Sema naona kuhusu hii familia hearsays ni nyingi sana; wamejitahidi sana kuficha mambo yao, though with time kila kitu kitakuwa wazi . Btw kuona comment yako nikajua umefunguka haswa as you always do na mastoreee ya watu wa Arusha
Hatari kabisa. Mungu awasaidie hili lipite pia; kila mtu aendelee na maisha yake kwa amani.Ndoa ya kikristu haijafa ni pesa iliongea,watumishi wetu wanalinda mwenye nacho hujui hilo?kinachogombaniwa ni 25% za mzee mengi alizobaki nazo
Sent using Jamii Forums mobile app
Yatima ni MTOTO mwenye umri chini ya miaka 18, sasa hiyo mizee utaiitaje yatima?
Wahaya na watutsi ndio hao hao wezi sawa na kina Rugemarila anaeozea jela, bado hili jambazi la kitutsi hadi likanyee debe kwa kufoji wosia..
Nashukuru umekubali kua ni yatima nusu,Sasa tuwe na chuki kwa tusiowajua.....
Hao ni yatima nusu (peternal) sio kama aliyepoteza wazazi wote. Tatizo lako unamihemko unadhani kila anayecomment hapa anasukumwa na mihemko.
Unaweza ukaua mtu aisee, hilo litutsi ni lijambazi, 1994 iliwafaa tu..Kila nikijifanya mi ndo Regina najiona ninavyopanic 😂😂😂 yaniii mke mdogo atelezee pesa za baba kirahisi hivi😂😂😂
Wadogo zangu ntawapenda Ila sio uyo mama anayepindua pindua
Kwanza ye ndo kafanya family ya Mengi ijulikane socially watu walikua wanamjua mengi na hela zake
Ebu jaribu kuvaa kiatu Cha Regina na Abdiel...Roho inapaa juuu😂😂🙌
Kama kawaida yako, huu uzi ktk watu uliowagusa wewe ni namba oneHuyu ni shetani. Anatafuta huruma kwa jamii.
TrueWahaya na watutsi ndio hao hao wezi sawa na kina Rugemarila anaeozea jela, bado hili jambazi la kitutsi hadi likanyee debe kwa kufoji wosia..True
TrueNdoa ya kikristu haijafa ni pesa iliongea,watumishi wetu wanalinda mwenye nacho hujui hilo?kinachogombaniwa ni 25% za mzee mengi alizobaki nazo
Sent using Jamii Forums mobile app
Attention seeker!Tatizo wewe husemi umewakosea nini ?Wao sio wajinga kukuzuia. Jack mdangaji hodari. Kwani ukienda kwenye kaburi ndo atafufuka ?
Eti mjane. Huyu mjane alieforce ndoa,kaforce kuzaa. Alitumia udhaifu wa Mzee kujiweka zaidi ili aje kurithi na wanae. Ila ataumbuka tu.Attention seeker!
Case mahakamani inayumba anaona justice itakuwa ndivyo sivyo
Atulizane bana wajane wapi wengi asisumbue watu wachagga watambamiza asahau njia.