Jacqueline Wolper anatamani kumpa penzi Rais

Raisi wa wasafi
Raisi aa masharobaro
Raisi wa manzese
Raisi aa masauti ( nyoshi)
Raisi wa ngwasuma


ni raisi yupi kati ya hawa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenzie yule kichwani zimo kidogo.
Shule ipo tena ya fani inayoendana na kazi aliyopewa.

Mwenzie hana kashifa nyingi kama yeye.

Huyo angepewa U-kirasawe basi tungeona sextapes zake kibao. Alizidi kujirusha na watu ambao ambao sio classy. Wahitimu wa LY7 kama wahenga tulivyokuwa tunaita enzi hizo tunafundishwa na waalimu wa programme ya UPE.
 
Wanawake wameanza kutongoza wanaume sasa!!! Hali ni tete
 
Hahhahaha nao kumbe na wivu. Hana lolote ashasoma mapungufu ya jamaa hapo analenga wilaya au mkoa
 
Hivi hamna familia zinazowategemea nyie????
 
Anawaza uzinzi tu hakuna cha zaidi.........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…