Jacqueline Wolper anatamani kumpa penzi Rais

Jacqueline Wolper anatamani kumpa penzi Rais

Raisi wa wasafi
Raisi aa masharobaro
Raisi wa manzese
Raisi aa masauti ( nyoshi)
Raisi wa ngwasuma


ni raisi yupi kati ya hawa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenzio kashaona fursa mahala baada ya mwenziwe kunufaika.Si unajua akili za wabongo zisivyo na ubunifu.

Fungua kijiwe cha Ice cream mahali baada ya mwezi utakuta umezungukwa na wauza ice cream kama 6 hivi utafikiri fursa ni moja tu...relate na akili za huyo wolper sasa!
Mwenzie yule kichwani zimo kidogo.
Shule ipo tena ya fani inayoendana na kazi aliyopewa.

Mwenzie hana kashifa nyingi kama yeye.

Huyo angepewa U-kirasawe basi tungeona sextapes zake kibao. Alizidi kujirusha na watu ambao ambao sio classy. Wahitimu wa LY7 kama wahenga tulivyokuwa tunaita enzi hizo tunafundishwa na waalimu wa programme ya UPE.
 
Wanawake wameanza kutongoza wanaume sasa!!! Hali ni tete
 
Hahhahaha nao kumbe na wivu. Hana lolote ashasoma mapungufu ya jamaa hapo analenga wilaya au mkoa
 
Fursa hiyo kwa Jiwe aichangamkie ila Madam DC hatokubali kunyang'anywa tonge kirahisi, itabidi kujipinda na kuzungusha kama pangaboi ili kumtega zaidi Bw. Jiwe
Kweli pesa na madaraka ndio kila kitu maana kama Jiwe angekuwa dalali wa vyumba yombo Buza angekuwa anaishia kutongoza walevi wa gongo tu, leo hii warembo wanamtangazia fursa.
Hivi hamna familia zinazowategemea nyie????
 
Back
Top Bottom