Jacqueline Wolper anatamani kumpa penzi Rais

Jacqueline Wolper anatamani kumpa penzi Rais

Fursa hiyo kwa Jiwe aichangamkie ila Madam DC hatokubali kunyang'anywa tonge kirahisi, itabidi asimamie kujipinda na kuzungusha kama pangaboi ili kumtega zaidi Bw. Jiwe
Kweli pesa na madaraka ndio kila kitu maana kama Jiwe angekuwa dalali wa vyumba yombo Buza angekuwa anaishia kutongoza walevi wa gongo tu leo hii warembo wanamtangazia fursa.
Duu mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maskini wee! Kweli hizi ni ndoto za mchana.
Kabisaaaaa. Sababu kama wapo wanaoliwaga kweli na hao mapresidaa inakuwa kimya kimya na hata ikiliki basi inakuwa ati ati yaani haiwi hundred percent kwamba kweli kaliwa.

Sasa huyo mwenzangu na mie hapo hajaliwa tayari anatangaza nia na je ikitokea kaliwa si dunia nzima itajuwa kwamba lengo lake limetimia Prisidaa kapita.

[emoji23] [emoji23] [emoji23] atuliage tu kwa kweli yana wenyewe hayoo.
 
Fursa hiyo kwa Jiwe aichangamkie ila Madam DC hatokubali kunyang'anywa tonge kirahisi, itabidi asimamie kujipinda na kuzungusha kama pangaboi ili kumtega zaidi Bw. Jiwe
Kweli pesa na madaraka ndio kila kitu maana kama Jiwe angekuwa dalali wa vyumba yombo Buza angekuwa anaishia kutongoza walevi wa gongo tu leo hii warembo wanamtangazia fursa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] una laana we[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni mentality ya wanawake wengi Bongo hapo ulipo demu hata waifu wako anakumaindi kwasababu ya kitu fulani ulichonacho usidhani unapendwa.
 

Wenzake walitulia wakaolewa na watu wanaojielewa,awaache!
 
Msanii wa filamu za Bongo Movie na mfanyabiashara Jacqueline Wolper amefunguka na kudai anatamani sana kama angetoa Penzi lake kwa Raisi.
Wolper amedai anaona ni bora kama atakuwa Kwenye Mahusiano ya Kimapenzi na Raisi yoyote Afrika kwani atakuwa salama zaidi kuliko kufaidi Penzi na wadanga wengine.

Kwenye mahojiano na Global Publishers, Wolper alisema mara nyingi amekuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na wanaume ambao mwishoni wanamsaliti jambo ambalo halipendi na linamkera, lakini anaamini akimpa moyo wake wa upendo Rais yeyote Afrika anaona atakuwa salama.

Unajua ndoto yangu mimi ningependa kutoa penzi langu kwa Rais maana najua kabisa, kwanza atakuwa ananiheshimu na itakuwa ni ngumu sana kunitenda kama wafanyavyo wengine na hapo nitatulia kabisa wala sitakumbuka wanaume wazugaji“.

Wolper amekuwa muwazi kuhusu maumivu anayokutana nayo Kwenye mapenzi yake ambapo uhusiano wake na staa wa Bongo fleva Harmonize uliisha baada ya kumuacha na Harmonize kuanza Mahusiano na sarah ambaye ana kipato kikubwa.

View attachment 848031

Sent using Jamii Forums mobile app
Aende kwa M7

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom