Village-in
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 2,184
- 4,517
Wakuu samahani nina Jacuuz jipya naliuza kwa milioni 2 tu. Naliuza ksbb kwangu kuna changamoto ya maji moto. Karibu.View attachment 2475612View attachment 2475615View attachment 2475616
Si muoge ya baridi?
Si utumbukizemo heater?
Au au?!
Madon wa jf wanakuja
Waliojenga
Lina tv ndan? Hivi 2mil.mnaichukuliaje lkn?Wakuu samahani nina Jacuuz jipya naliuza kwa milioni 2 tu.
Naliuza ksbb kwangu kuna changamoto ya maji moto.
Karibu.
View attachment 2475612View attachment 2475615View attachment 2475616
Nunua kidimbwi hiko udumbukie na switatiiiiiiSi muoge ya baridi?
Si utumbukizemo heater?
Au au?!
Madon wa jf wanakuja
Waliojenga
Ahahaaa...! Kama unasikia Jacuuz basi gharama zake zimechangamka mkuu. Ndio maana zina wenyewe
Sasa lina tatizo gani mkuu? Ukuu wake uko wapi?Hili unaliita Jipya? Kuwa serious basi
Ukishafunga ukatumia haliwezi kuwa Jipya Mkuu. Ni Used hilo. Hata kama limeogewa mara moja tu. Tayari ni Used.Sasa lina tatizo gani mkuu? Ukuu wake uko wapi?
Halijaogewa hata mara moja. Maji niliyotegemea kuyaingiza humo yakawa hayatoshi kulijaza kwa wakati mmoja. Nilifunga sorah heter ndio nilitegemea ijaze maji ya moto. Sasa mtungi wake ni mdogo,ikipasha maji kwa mara moja kimtungi mpaka kupasha mengine inachukua muda. Kwa hiyo ili kulijaza Jacuuz inatakiwa kupasha hata mara 6,7,inaweza kuchukua siku 3. Ndio changamoto iliyonifanya nisilitumie. Labda ukiniambia kutolewa kwenye box na kufungwa tayari limeondolewa upya.Ukishafunga ukatumia haliwezi kuwa Jipya Mkuu. Ni Used hilo. Hata kama limeogewa mara moja tu. Tayari ni Used.
Kwa hiyo ili kulijaza Jacuuz inatakiwa kupasha hata mara 6,7,inaweza kuchukua siku 3. Ndio changamoto iliyonifanya nisilitumie.
Ni hela ya kununulia iPhone 😂Hivi 2mil.mnaichukuliaje lkn?
Hivi hapa unaogaje? na hii miguu naingiaje hapo mbona ntajikunja kama foetus? acheni tu niendelee kujimwagia kwa hii ndoo yangu ya njano.Lako maji chumvi yashalitafuna sana hizo cock na hiyo telephone shawer ishapiga kutu bora hata hili languView attachment 2475638
Wee lako kula laki 3 niwawekee bata wangu hawana pa kuogelea hili nitalichimbia chini
Oooh....! Eti eeh? NashukuruFanya cold bath! 🤣🤣🤣
Weka ice uwe unakoga kila siku asubuhi...
Inasaidia ku-activate dopamine and dopaminergic receptors, ina-slow heart beats, ina-burn fat....
Ngoja waje team tafuta hela
Sasa lina tatizo gani mkuu? Ukuu wake uko wapi?