Jaden Smith (mtoto wa Will Smith) atangaza kujihusisha na mapenzi ya jinsi moja

Jaden Smith (mtoto wa Will Smith) atangaza kujihusisha na mapenzi ya jinsi moja

Hivi kwa Ronaldo ni kweli au fix?
Hapana, naona alilipwa kuhamasisha na kuuambia ulinwengu kua mwanaune yeyote anaweza kuwa gay.
Kama unakumbuka ilitrend sana watu wakijiuliza hadi Ronaldo anapakatwa? Lakini saivi anaishi na baby mama wake. Ila huyu dogo itakua kweli
 
hahaa ..imekuchoma kama pasi " Baba yangu ni pasta hanaga ukaribu MA machoko
HAIJANICHOMA LOLOTE MBONA.

MAANA MIMI HAPA NIKO KAMA ROBOTI.

NAANDIKA LOLOTE WAKATI WOWOTE BILA HOFU WALA MASHAKA.
 
Hichi kijamaa nilianza kukistukia kwenye movie ya Karate Kid...kilikuwa kina mambo ya kike kike mnoo

Bado mdogo wake Willow nae ni msagaji, Jada atalia na kusaga meno daaah!
Jada bora angeolewa na mpenzi wake wa siku nyingi sana Tupac Shakur...lazima angezaa gangstars.....sio milenda kama hii
 
Katika vitu haviniumizi Kichwa ni mashoga. Siwezi kuruhusu upuuzi wa mtu mwingine unipotezee usingizi.
 
Duh Aiseee
Hivi Dada Yetu Kipenzi MANGE KIMAMBI Hana Video Clips Za Huyo Dgo Atuonyeshe Jaman Kwa Huko Mambele Huwa Inakuwa Kuwaje Au N Km Amber Root?
 
Na kweli asee....ila Bobby mbona kachomoka kifo,yaan yy ni teja kuliko hata huyo Whitney ( nahis had now anatumia ukimuangalia usoni)...yaan full raha anazaa kila siku kwenye ndoa yake!
Nilikua nacheki documentary ya whitney 2018 juzi kati hapo..... yani unaona kabisa jinsi alivokua anaelekea kaburini... Bobby ni muhuni to the core kaishi geto toka mdogo.. wakati whtney alikua wa kishua kiaina.... af jamaa alikua anampelekesha sana bidada
 
Mwambie RAY kigosi ambadilia mwane jina Haraka JADEN wa will smith kwa mchicha.

Halafu ray nae anamvlisha mwanae hereni[emoji86] [emoji57] [emoji15]
Yaani hapa nilikuwa nawaza jinsi watoto wengi wa kiume wa hapa TZ walivyopewa majina ya Jaden, Jayden sababu ya huyo mtoto wa karate kid. Duh, hatari sana.
 
HAIWEZEKANI.

KATI YA WANAUMME HAMSINI KUNA SHOGA MMOJA.

KWAHIYO MASHOGA NI WACHACHE SANA.

NA MTU HAAMKI TU KITANDANI NA KUJIITA SHOGA.

IT HAPPENS FROM VERY EARLY AGES EVEN BEFORE ADOLESCENCE.
binafsi nilikuwa muumini wa hiyo theory kwa jina la "hormone za kike/kiume" ila sasa hivi nimezinduka wengine kuendekeza njaa, kuiga kila jambo, imani potofu, nk.
Huyo mtoto wa Smith wampe kabisa ubalozi wa nchi yao hapa Tanganyika ili asaidiane na shangazi wa taifa kuutangaza ushoga
 
Back
Top Bottom