witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Disgusting!.... Wapinge tu bana, mambo gani haya.....Nasikiliza mda huu na mjadala umepamba moto
Kuna mama anasema alimpeleka mwanae kwenye ndoa ya jinsia moja
Eti mwanae alufurahia sana, toba
Na mwingine anasema mbona mbali 2020 waanze leo.
Lakini kama unajua kuna sehemu kama Bradford na Luton wao wamepinga vikali sana na hawataki ungese huo
Mungu atunusuru na haya
Yaani wengine wanapinga na wao ndio wanataka liwe somo kabisa