Jaden Smith (mtoto wa Will Smith) atangaza kujihusisha na mapenzi ya jinsi moja

Jaden Smith (mtoto wa Will Smith) atangaza kujihusisha na mapenzi ya jinsi moja

Nasikiliza mda huu na mjadala umepamba moto
Kuna mama anasema alimpeleka mwanae kwenye ndoa ya jinsia moja
Eti mwanae alufurahia sana, toba
Na mwingine anasema mbona mbali 2020 waanze leo.
Lakini kama unajua kuna sehemu kama Bradford na Luton wao wamepinga vikali sana na hawataki ungese huo
Mungu atunusuru na haya

Yaani wengine wanapinga na wao ndio wanataka liwe somo kabisa
Disgusting!.... Wapinge tu bana, mambo gani haya.....
 
Disgusting!.... Wapinge tu bana, mambo gani haya.....
Yaani ni shida
Nakumbuka miaka ya nyuma walipoamua kufundisha somo la sex kwa watoto wote
Nilishtuka sana
Na lilipitishwa na sasa wameongeza na huu uchafu.
Sijui tunaelekea wapi
 
Yaani ni shida
Nakumbuka miaka ya nyuma walipoamua kufundisha somo la sex kwa watoto wote
Nilishtuka sana
Na lilipitishwa na sasa wameongeza na huu uchafu.
Sijui tunaelekea wapi
Ila wazungu wanatuharibia dunia ......sasa hivi huwezi pata sehemu salama ya malezi na makuzi mema kwa watoto.....at least kijijini
 
Nakushauri kama hutaki movie yenye ushirikiano na gays, usiangalie movie yoyote ya Hollywood.

Kwa sababu ni vigumu sana kukuta movie ya Hollywood ambayo haina gays.

Kama si actors, basi producers, kama si producers, basi directors.

Kwa hiyo kama hutaki movies zenye gays, achana na Hollywood kabisa
niliacha kuangalia the bing bang theory baada ya kusikia jim parson ni choko
siku nikisikia Captain Jack Sparrow naye choko naacha kuangalia movie zote
 
as far as different literatures ar concerned gay ni mtu anayefanya mapenzi ya jinsia moja.. how can a 3year old be gay?? i understand kwamba kuna genetic problems huwa zinatokea... ila gayism is a leant character na sio natural!! it is natural kwa penis na vigina kuinteract maana biology inasupport.. na ts unnatural kwa penis na ass kuinteract hakuna biological support hapo
Gayism is a unnatural or leant character na sio otherwise..[emoji29] [emoji29] [emoji29]
HAUJUI KITU. ACCEPT YOUR IGNORANCE AND LEARN SOMETHING NEW.
 
We unapenda?? af we jamaa nikionaga comments zako nakuimagine kama shogashoga hiv (i hope not, maana ntakuchukia japokua sikufaham)..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
JIKITE KWENYE MADA MKUU! NAWEZA NIKAWA BABA YAKO HALAFU UNAANDIKA PUMBA HUMU.
 
yeahh huwa inatumika kampeni hiyo na watu maarufu " wanapewa pesa ili waweze kuu promote ushoga " uweze kuonekana kuwa ni kitu cha kawaida katika jamii ya mataifa yanayopinga Homosexual "... kwakuwa wao wanaushawishi katika jamii
binamu ni kweli kabisa!
 
yeahh huwa inatumika kampeni hiyo na watu maarufu " wanapewa pesa ili waweze kuu promote ushoga " uweze kuonekana kuwa ni kitu cha kawaida katika jamii ya mataifa yanayopinga Homosexual "... kwakuwa wao wanaushawishi katika jamii
WEWE NDIO WALE WATU AMBAO AKISIKIA FULANI NI SHOGA ANAANZA KUMUITA FREEMASON, AU KALOGWA.

AKILI KIZIBO!

JADEN NI HOMOSEXUAL MUDA MREFU SANA, NI LEO TU NDIO AMEAMUA KUWEKA WAZI.

AND YOU CAN CLEARLY SEE HOW TENSE AND NERVOUS HE WAS... NI KAMA VILE AMEONGEA KITU KILIJOMJAA SANA MOYONI.

AMEONGEA KWA KULIPUKA NA KWA HISIA KALI, LIKE AN ATOMIC BOMB. SEE HIS FEELINGS ON THE STAGE.

WEWE UNAISHI TANDAHIMBA HUKO, HATA MTU AKIJAMBA UNAMUITA FREEMASON.
 
Ila wazungu wanatuharibia dunia ......sasa hivi huwezi pata sehemu salama ya malezi na makuzi mema kwa watoto.....at least kijijini
Ni kuwalea katika maadili tu na kuwa karibu nao sana
Kuwafundisha mazuri na kuwakataza mabaya.
Tatizo letu wengi wanaona vigumu kumwambia mtoto mabaya au mafundisho mema.
Yaani mpaka shangazi aje ndio amfunde that's wrong
Jukumu ni la mzazi na yeye akikua atajua zuri na baya
Hayo ya shule ni shule na nyumbani unampa ukweli
 
HAUJUI KITU. ACCEPT YOUR IGNORANCE AND LEARN SOMETHING NEW.
The only new thing i've learnt is the fact that u are ignorant on the issue...
aliyezaliwa haoni hawezi jua tatizo lake pak apate experience toka kwa wale wanao ona, so is the issue of homosexuality.. accidentally mtu anaweza kuwa homosexual lakini kama hatopata experience za kutumia nyuma hataishi tu kama mtu wa kawaida, na ndio sababu kubwa watu wanapinga gayism kuwekwa public...
 
The only new thing i've learnt is the fact that u are ignorant on the issue...
aliyezaliwa haoni hawezi jua tatizo lake pak apate experience toka kwa wale wanao ona, so is the issue of homosexuality.. accidentally mtu anaweza kuwa homosexual lakini kama hatopata experience za kutumia nyuma hataishi tu kama mtu wa kawaida, na ndio sababu kubwa watu wanapinga gayism kuwekwa public...
KWAHIYO MTU ANAKURUPUKA TU KITANDANI ANASEMA YEYE NI SHOGA?

MBONA WEWE HAUJAWA SHOGA??

AU MAFUNZO YA USHOGA ULIYOPEWA TOKA CHUO KIKUU CHA USHOGA HAYAKUKUTOSHA KUKUFANYA UFUZU KUWA SHOGA?
 
KWAHIYO MTU ANAKURUPUKA TU KITANDANI ANASEMA YEYE NI SHOGA?

MBONA WEWE HAUJAWA SHOGA??

AU MAFUNZO YA USHOGA ULIYOPEWA TOKA CHUO KIKUU CHA USHOGA HAYAKUKUTOSHA KUKUFANYA UFUZU KUWA SHOGA?
Tatizo my mind is far ahead of urs..naona inahitajika nguvu nyingi kukufanya ufikir kama mimi... It is natural na ni kawaida kwa binadamu kutembea, unluckly wapo waliozaliwa bila miguu...t doesn't mean wakae sehem moja maisha yao yote bila kutembea..there has to be another way kuovercome hilo tatizo na watembee maana nature inawataka watembee .. gayism is against nature kama ambavyo kukaa sehem moja maisha yote ilivyo against nature..
 
Tatizo my mind is far ahead of urs..naona inahitajika nguvu nyingi kukufanya ufikir kama mimi... It is natural na ni kawaida kwa binadamu kutembea, unluckly wapo waliozaliwa bila miguu...t doesn't mean wakae sehem moja maisha yao yote bila kutembea..there has to be another way kuovercome hilo tatizo na watembee maana nature inawataka watembee .. gayism is against nature kama ambavyo kukaa sehem moja maisha yote ilivyo against nature..
SAWA TU.
 
Back
Top Bottom