Tunasubiri mkuukesho nitapost uzi hapa kuhusu ushoga hollywood na huyo jamaa yako will ndani,saa hii nimechoka nacheki movie tu
Unitagkesho nitapost uzi hapa kuhusu ushoga hollywood na huyo jamaa yako will ndani,saa hii nimechoka nacheki movie tu
Most of them....Najua ila sio kwa situation ya hichi kitoto.
Yaani jaden Smith akiwa shoga watoto wote wenye majina ya jaden au jayden watakua mashoga?
Ninachokijua mtoto akirithi jina la kwenye ukoo wako au wa baba ndiyo inaweza kuwa shida ikiwa hamtovunja laana kwa maombi!!
James delicious, hamis ‘b12’ harris ni mashoga hawa so wenye majina kama haya wana tatizo?
Masumbuko[emoji23]Majina kma hayo yako wazi tu kua ni mazuri ila shida ni tabia za hao watu.
Ila haya majina kma majuto,sikudhani n.k.
Hyo majina sio mazuri.
Karibu.
Yes mkuu...uko poaKaribu.
Upo lkini?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] watu mitihani katika maisha hayeshi ukiangalia tatizo nin kumbe majina.Masumbuko[emoji23]
Eeeh....mtoto anaona jina linamchoresha kinoma[emoji23] [emoji23] [emoji23] watu mitihani katika maisha hayeshi ukiangalia tatizo nin kumbe majina.
Kuna watoto walibadili majina baada ya kuitwa majina mabaya na wazee wao.
Nakwambia mbele ya watoto wazur kibao unaitwa jina halina chati.Eeeh....mtoto anaona jina linamchoresha kinoma
Most of them....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] watu mitihani katika maisha hayeshi ukiangalia tatizo nin kumbe majina.
Kuna watoto walibadili majina baada ya kuitwa majina mabaya na wazee wao.
Bora hvyo mana sipati picha ungeitwa peapeana hhhhhh[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] .Ha ha ha ha ha shida, sikitu, siyawezi lol
Kuliko hayo bora niwape ya Kilugha yenye maana nzuri
Bora hvyo mana sipati picha ungeitwa peapeana hhhhhh[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] .
Leo tungekua na story nyengine.
Hhhhhh yani ndo mfano wa majina yanayosibu.Umenichoka si kwa jina ilo[emoji2][emoji2][emoji2]
Nina jina unique huwa nikikutana na mtu mwenye jina langu lazima nishangae na yeye ashangae
Hhhhhh yani ndo mfano wa majina yanayosibu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na majina yapo ujue unaweza ukasema una jina pekeako kumbe ypo kibao.
Kama mzee wa babs Le mutuz.Anaitwa Macaulay Culkin kawa teja la uhakika, yy mda wote yuko bwiii!
Yote hii sababu ya kupokonywa utoto wake!
Haya mambo ya kuruka stage mabaya sana