Jaden Smith (mtoto wa Will Smith) atangaza kujihusisha na mapenzi ya jinsi moja

Naunga mkono hoja...hawa wawili hata uhusiano wao ni ule wanaita #OPEN-RELATIONSHIP kwa mtu wa kawaida lazma ikushangaze,ila kwa wenye UZUNGU UZUNGU wanaona kawaida tu[emoji849]
 
Wakati mwingine tumuombe mungu asitupe watoto wa namna hii,hii ni laana kubwa kwenye familia.
 
MTU KAMA SALMA JABIR UTASEMA KAHARIBIWA NA WAZUNGU??

YULE NI MSAGAJI CERTIFIED KABISA.

HE IS A MALE IN A FEMALE BODY.

MWILI WAKE UNAONESHA NI MWANAUME KABISA. NO HIPS, NO BUTTOCKS. NI DUME LILE.
Hips anazo na buttok pia ila aina ya suruali anazovaa sio zakike zakubana mvalishe hizo then come
 
Kama Baba ake tu
Jina lako linasomekaje? Limeanza na herufi moja tu inayojitegemea. Ningependa nilitamke kama inavyotakikana. Na nimejaribu kukiondoa hicho ki' emoji kwenye avatar yako imeshindikana

Msaada tafadhali kama hautojali unaweza ukakiondoa? Walau kwa dakika tu.
 
Wengine hamjazaa bado...ama mna watoto wadogo bado,waswahili tunasema temeni mate chini[emoji16]! Kikubwa ni kucheza na nafasi zenu halafu mengine mkabidhini Mungu..!

#IVI_KUNA_MASHOGA_WA_KUZALIWA? [emoji848]
 
[emoji23][emoji23]

Hivi wajua nilivyokua nasoma andiko lako nilikua nanywa maji..nimepaliwa muone vile

Linasomeka hivi "INA"

Icho kiemoji hata Mimi nimeshindwa kukitoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…