Black Tanzanite
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 218
- 244
Ni yule "Makaspaki" wa "Anjelo Bunevista" au...!?[emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi wajua nilivyokua nasoma andiko lako nilikua nanywa maji..nimepaliwa muone vile
Linasomeka hivi "INA"
Icho kiemoji hata Mimi nimeshindwa kukitoa
Amemaanisha kuwa "najilinda kwa mola kutokana na haya/naomba hifadhi ya mola kutokana na haya, yawe mbali nae..pia amemuomba mola ampe hatima/mwisho mwema"si ungeandika kwa lugha yetu wote tukaelewa mkuu
haka katoto kamesha Amber Rutiwa mweeeMTOTO WA WILL SMITH ALIECHEZA MOVIES KAMA KARATE KID,PURSUIT OF HAPINESS....JANA KATIKATI YA SHOW KATHIBITISHA YUPO KWENYE MAHUSIANO YA KISHOGA NA RAPPER AITWAYE TYLER THE CREATOR
TUNASUBIRI NA KALE CHA KIKE WILLOW SMITH KANACHOSEMEKANA NI KA LESBIANS..OOOUWEEIII
So hashangai?...hata ile " Set it Off" simuelewi mlealie wapi wakati Jada nae ni msagaji, cheki movie za Matrix 2 na 3 uone mienendo yake
Unadhani kila andiko la kiswahili mswahili ataelewa.? [emoji23]we umeelewa mkuu ? nisaidie kunielewesha
Ndio mkuu....matokeo yake ndo hayoYap...kama tuwalivyo mpokonyaga mwanamama Whitney Houston....unamiaka 15 lakini kutokana na ama kipaji ama utajiri ama nafasi bac unalazimishwa uishi kama mwenye miaka 25..![emoji848]
kwanini asiandika hivyo tu au alikua na nia ya kutuficha wengine tusieleweAmemaanisha kuwa "najilinda kwa mola kutokana na haya/naomba hifadhi ya mola kutokana na haya, yawe mbali nae..pia amemuomba mola ampe hatima/mwisho mwema"
Kisa hataki udada....halafu ni mzuri balaaAnatmbeka vizuri tu na ana shepu ya kike kujiendekeza tu kule
Mh! INA, Usitake niambie kama nimekufukuza.[emoji23][emoji23]
Hivi wajua nilivyokua nasoma andiko lako nilikua nanywa maji..nimepaliwa muone vile
Linasomeka hivi "INA"
Icho kiemoji hata Mimi nimeshindwa kukitoa
Ni uamuzi tu nisawa na wengine wanatumia kuchangia humu kwa lugha ya malkia ama ya kikabila.kwanini asiandika hivyo tu au alikua na nia ya kutuficha wengine tusielewe
Ashakum si matusi na anenalo mjinga ndilo humtokea,uzuri Mungu anaskiliza tukiongeacho,subiri akupe mtoto wa dizaini hiyo halafu tuone kama utamuua,I HaTE Gaysim though.Yani siku nayokuja kujua mtt wangu anabokolewa basi nitamrudisha kwa muumba wake muda huohuo
Mfano angeandika kwa "kiingredha" hayo ungeyasema.!?[emoji23]kwanini asiandika hivyo tu au alikua na nia ya kutuficha wengine tusielewe
[emoji120]Ni uamuzi tu nisawa na wengine wanatumia kuchangia humu kwa lugha ya malkia ama ya kikabila.
Ni uamuzi tu...!!
yeahh huwa inatumika kampeni hiyo na watu maarufu " wanapewa pesa ili waweze kuu promote ushoga " uweze kuonekana kuwa ni kitu cha kawaida katika jamii ya mataifa yanayopinga Homosexual "... kwakuwa wao wanaushawishi katika jamiiHizi huwa kiki tuu pamoja na maagano ya kishetani.
Unakuta dogo sio punga na anatikisa vuzi vizuri kabisa
Baba mtoto hapana.
Miezi minne au mitatu nyuma kuna mwanaume alimkimbilia na kumbusu akampiga. Baadaye ikabidi aombe msamaha kwa jamii ya LGBT kwakua alimpiga mwenzao.
kiingereza ni moja ya lugha inayotumika officially nchini kwetuMfano angeandika kwa "kiingredha" hayo ungeyasema.!?[emoji23]
aongeze speed atafika 2Mtoto wa Kiume wa Muigizaji Maarufu Duniani Will Smith, anayefahamika Kama Jaden Smith mwenye Umri wa Miaka 20 ametangaza Hadharani Kuwa Rapper na mchekeshaji Kutoka nchini Marekani Tyler the Creator alikuwa BoyFriend wake na Bado ni BoyFriend wake.
Kupitia Clip iliyoanza Kusambaa Sana Kwenye Mitandao ya Kijamii inamuonesha Jaden akiwa kwenye Stage akisia kuwa Tyler ni Rafiki yake Mkubwa wa Kiume na Bado Mpaka sasa wapo nae.
Wengi wameitafsiri Hii Kama Jaden amekuwa akishiriki Mapenzi ya Jinsia Moja, Kwa Jinsi Alivyokuwa akiongea kwa Hisia kwenye Video hiyo na Ikimuonesha Tyler akiwa na Kicheko kinachomaanisha kuwa Kweli Wawili hawa kuna Jambo litakuwa Linaendelea.
Video Player
00:31
00:50
By Ally Juma.
SOURCE: BONGO FIVE
Kwa hiyo Baba kamtoa kafara mtoto ili apate fame upya??Will Smith ni homophobic alishawahi kuwadis magay hata mwaka juzi alishawahi kumpiga mwandishi wa habari shoga hii kitu ilipelekea mauzo ya filamu na biashara zao kushuka, negative response kutoka kwa watu na jamii ya LGBT ambayo imeshikilia kwa kiasi kikubwa industry ya burudani duniani ndo maana toka mwaka juzi hawajapata tuzo yoyote kubwa hata ya Oscar pamoja na kutoa filamu Kali
Kwa hiyo hii ni kama movement ya kuclear hivi makosa ya faza kwa sababu naona huyu dogo alianza haya mambo baada ya mkasa wa mshua wake
Walimlazimisha Ukubwa akakutana na Wakubwa (kama kina bobby) wakamtia Ukubwa akafanya ya Wakubwa mwisho yakamfika Makubwa...ndio hawa wenzetu wenye uzungu uzungu mwingi hata hapa TZ..![emoji23]Ndio mkuu....matokeo yake ndo hayo
Yule mmama nilimuonea huruma na hustle zake za kuacha unga na bado zikafeli