Jaden Smith (mtoto wa Will Smith) atangaza kujihusisha na mapenzi ya jinsi moja

Jaden Smith (mtoto wa Will Smith) atangaza kujihusisha na mapenzi ya jinsi moja

[emoji23][emoji23]

Hivi wajua nilivyokua nasoma andiko lako nilikua nanywa maji..nimepaliwa muone vile

Linasomeka hivi "INA"

Icho kiemoji hata Mimi nimeshindwa kukitoa
Ni yule "Makaspaki" wa "Anjelo Bunevista" au...!?[emoji23]
 
MTOTO WA WILL SMITH ALIECHEZA MOVIES KAMA KARATE KID,PURSUIT OF HAPINESS....JANA KATIKATI YA SHOW KATHIBITISHA YUPO KWENYE MAHUSIANO YA KISHOGA NA RAPPER AITWAYE TYLER THE CREATOR
TUNASUBIRI NA KALE CHA KIKE WILLOW SMITH KANACHOSEMEKANA NI KA LESBIANS..OOOUWEEIII


haka katoto kamesha Amber Rutiwa mweee
 
Yap...kama tuwalivyo mpokonyaga mwanamama Whitney Houston....unamiaka 15 lakini kutokana na ama kipaji ama utajiri ama nafasi bac unalazimishwa uishi kama mwenye miaka 25..![emoji848]
Ndio mkuu....matokeo yake ndo hayo

Yule mmama nilimuonea huruma na hustle zake za kuacha unga na bado zikafeli
 
Amemaanisha kuwa "najilinda kwa mola kutokana na haya/naomba hifadhi ya mola kutokana na haya, yawe mbali nae..pia amemuomba mola ampe hatima/mwisho mwema"
kwanini asiandika hivyo tu au alikua na nia ya kutuficha wengine tusielewe
 
[emoji23][emoji23]

Hivi wajua nilivyokua nasoma andiko lako nilikua nanywa maji..nimepaliwa muone vile

Linasomeka hivi "INA"

Icho kiemoji hata Mimi nimeshindwa kukitoa
Mh! INA, Usitake niambie kama nimekufukuza.
 
Yani siku nayokuja kujua mtt wangu anabokolewa basi nitamrudisha kwa muumba wake muda huohuo
Ashakum si matusi na anenalo mjinga ndilo humtokea,uzuri Mungu anaskiliza tukiongeacho,subiri akupe mtoto wa dizaini hiyo halafu tuone kama utamuua,I HaTE Gaysim though.
 
Hizi huwa kiki tuu pamoja na maagano ya kishetani.
Unakuta dogo sio punga na anatikisa vuzi vizuri kabisa
yeahh huwa inatumika kampeni hiyo na watu maarufu " wanapewa pesa ili waweze kuu promote ushoga " uweze kuonekana kuwa ni kitu cha kawaida katika jamii ya mataifa yanayopinga Homosexual "... kwakuwa wao wanaushawishi katika jamii
 
Baba mtoto hapana.

Miezi minne au mitatu nyuma kuna mwanaume alimkimbilia na kumbusu akampiga. Baadaye ikabidi aombe msamaha kwa jamii ya LGBT kwakua alimpiga mwenzao.

Haki ya nani hawa LGBT wamekuwa na nguvu sana na yakipiga kampeni ya ulaniwe dunia inakutenga, yaani lijitu choko linikimbilietu na kunibusu arafu niliangalie tu, walahi lazima nili konki konki konki masta za uso za kutosha tu. Ni kunibinjia hemashima huko. Kwa nini lisibakane na wenzake huko.
 
Mtoto wa Kiume wa Muigizaji Maarufu Duniani Will Smith, anayefahamika Kama Jaden Smith mwenye Umri wa Miaka 20 ametangaza Hadharani Kuwa Rapper na mchekeshaji Kutoka nchini Marekani Tyler the Creator alikuwa BoyFriend wake na Bado ni BoyFriend wake.
5be9bd6348eb1226cb40cf65-750-563.jpg

Kupitia Clip iliyoanza Kusambaa Sana Kwenye Mitandao ya Kijamii inamuonesha Jaden akiwa kwenye Stage akisia kuwa Tyler ni Rafiki yake Mkubwa wa Kiume na Bado Mpaka sasa wapo nae.
jaden-tyler-750x.jpg

Wengi wameitafsiri Hii Kama Jaden amekuwa akishiriki Mapenzi ya Jinsia Moja, Kwa Jinsi Alivyokuwa akiongea kwa Hisia kwenye Video hiyo na Ikimuonesha Tyler akiwa na Kicheko kinachomaanisha kuwa Kweli Wawili hawa kuna Jambo litakuwa Linaendelea.
Video Player



00:31

00:50


By Ally Juma.

SOURCE: BONGO FIVE
aongeze speed atafika 2
 
Will Smith ni homophobic alishawahi kuwadis magay hata mwaka juzi alishawahi kumpiga mwandishi wa habari shoga hii kitu ilipelekea mauzo ya filamu na biashara zao kushuka, negative response kutoka kwa watu na jamii ya LGBT ambayo imeshikilia kwa kiasi kikubwa industry ya burudani duniani ndo maana toka mwaka juzi hawajapata tuzo yoyote kubwa hata ya Oscar pamoja na kutoa filamu Kali

Kwa hiyo hii ni kama movement ya kuclear hivi makosa ya faza kwa sababu naona huyu dogo alianza haya mambo baada ya mkasa wa mshua wake
Kwa hiyo Baba kamtoa kafara mtoto ili apate fame upya??
 
Ndio mkuu....matokeo yake ndo hayo

Yule mmama nilimuonea huruma na hustle zake za kuacha unga na bado zikafeli
Walimlazimisha Ukubwa akakutana na Wakubwa (kama kina bobby) wakamtia Ukubwa akafanya ya Wakubwa mwisho yakamfika Makubwa...ndio hawa wenzetu wenye uzungu uzungu mwingi hata hapa TZ..![emoji23]
 
Back
Top Bottom