Jaden Smith (mtoto wa Will Smith) atangaza kujihusisha na mapenzi ya jinsi moja

Disgusting!.... Wapinge tu bana, mambo gani haya.....
 
Disgusting!.... Wapinge tu bana, mambo gani haya.....
Yaani ni shida
Nakumbuka miaka ya nyuma walipoamua kufundisha somo la sex kwa watoto wote
Nilishtuka sana
Na lilipitishwa na sasa wameongeza na huu uchafu.
Sijui tunaelekea wapi
 
Yaani ni shida
Nakumbuka miaka ya nyuma walipoamua kufundisha somo la sex kwa watoto wote
Nilishtuka sana
Na lilipitishwa na sasa wameongeza na huu uchafu.
Sijui tunaelekea wapi
Ila wazungu wanatuharibia dunia ......sasa hivi huwezi pata sehemu salama ya malezi na makuzi mema kwa watoto.....at least kijijini
 
niliacha kuangalia the bing bang theory baada ya kusikia jim parson ni choko
siku nikisikia Captain Jack Sparrow naye choko naacha kuangalia movie zote
 
HAUJUI KITU. ACCEPT YOUR IGNORANCE AND LEARN SOMETHING NEW.
 
We unapenda?? af we jamaa nikionaga comments zako nakuimagine kama shogashoga hiv (i hope not, maana ntakuchukia japokua sikufaham)..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
JIKITE KWENYE MADA MKUU! NAWEZA NIKAWA BABA YAKO HALAFU UNAANDIKA PUMBA HUMU.
 
yeahh huwa inatumika kampeni hiyo na watu maarufu " wanapewa pesa ili waweze kuu promote ushoga " uweze kuonekana kuwa ni kitu cha kawaida katika jamii ya mataifa yanayopinga Homosexual "... kwakuwa wao wanaushawishi katika jamii
binamu ni kweli kabisa!
 
yeahh huwa inatumika kampeni hiyo na watu maarufu " wanapewa pesa ili waweze kuu promote ushoga " uweze kuonekana kuwa ni kitu cha kawaida katika jamii ya mataifa yanayopinga Homosexual "... kwakuwa wao wanaushawishi katika jamii
WEWE NDIO WALE WATU AMBAO AKISIKIA FULANI NI SHOGA ANAANZA KUMUITA FREEMASON, AU KALOGWA.

AKILI KIZIBO!

JADEN NI HOMOSEXUAL MUDA MREFU SANA, NI LEO TU NDIO AMEAMUA KUWEKA WAZI.

AND YOU CAN CLEARLY SEE HOW TENSE AND NERVOUS HE WAS... NI KAMA VILE AMEONGEA KITU KILIJOMJAA SANA MOYONI.

AMEONGEA KWA KULIPUKA NA KWA HISIA KALI, LIKE AN ATOMIC BOMB. SEE HIS FEELINGS ON THE STAGE.

WEWE UNAISHI TANDAHIMBA HUKO, HATA MTU AKIJAMBA UNAMUITA FREEMASON.
 
Ila wazungu wanatuharibia dunia ......sasa hivi huwezi pata sehemu salama ya malezi na makuzi mema kwa watoto.....at least kijijini
Ni kuwalea katika maadili tu na kuwa karibu nao sana
Kuwafundisha mazuri na kuwakataza mabaya.
Tatizo letu wengi wanaona vigumu kumwambia mtoto mabaya au mafundisho mema.
Yaani mpaka shangazi aje ndio amfunde that's wrong
Jukumu ni la mzazi na yeye akikua atajua zuri na baya
Hayo ya shule ni shule na nyumbani unampa ukweli
 
HAUJUI KITU. ACCEPT YOUR IGNORANCE AND LEARN SOMETHING NEW.
The only new thing i've learnt is the fact that u are ignorant on the issue...
aliyezaliwa haoni hawezi jua tatizo lake pak apate experience toka kwa wale wanao ona, so is the issue of homosexuality.. accidentally mtu anaweza kuwa homosexual lakini kama hatopata experience za kutumia nyuma hataishi tu kama mtu wa kawaida, na ndio sababu kubwa watu wanapinga gayism kuwekwa public...
 
KWAHIYO MTU ANAKURUPUKA TU KITANDANI ANASEMA YEYE NI SHOGA?

MBONA WEWE HAUJAWA SHOGA??

AU MAFUNZO YA USHOGA ULIYOPEWA TOKA CHUO KIKUU CHA USHOGA HAYAKUKUTOSHA KUKUFANYA UFUZU KUWA SHOGA?
 
KWAHIYO MTU ANAKURUPUKA TU KITANDANI ANASEMA YEYE NI SHOGA?

MBONA WEWE HAUJAWA SHOGA??

AU MAFUNZO YA USHOGA ULIYOPEWA TOKA CHUO KIKUU CHA USHOGA HAYAKUKUTOSHA KUKUFANYA UFUZU KUWA SHOGA?
Tatizo my mind is far ahead of urs..naona inahitajika nguvu nyingi kukufanya ufikir kama mimi... It is natural na ni kawaida kwa binadamu kutembea, unluckly wapo waliozaliwa bila miguu...t doesn't mean wakae sehem moja maisha yao yote bila kutembea..there has to be another way kuovercome hilo tatizo na watembee maana nature inawataka watembee .. gayism is against nature kama ambavyo kukaa sehem moja maisha yote ilivyo against nature..
 
SAWA TU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…