Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,320
Kama Baba ake tu
Nae katangaza kuwa ni shoga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Baba ake tu
mkuu vp na wewe ndio walewale?RAHA SANA.
WASIOPENDA USHOGA WATAJINYONGA LEO.
Hahahaa
si ungeandika kwa lugha yetu wote tukaelewa mkuuWanaudhu billahi min dhaalika . Rabbi jaalna husnu lkhatima
Unamalinda mkuu???RAHA SANA.
WASIOPENDA USHOGA WATAJINYONGA LEO.
Hahahaa
I DON'T KNOW, HONESTLY.Nakubaliana na wewe....sasa unashaurije mkuu ili hili wingu liweze kupungua au kama sio kuisha?
Yani siku nayokuja kujua mtt wangu anabokolewa basi nitamrudisha kwa muumba wake muda huohuo
Nakushauri kama hutaki movie yenye ushirikiano na gays, usiangalie movie yoyote ya Hollywood.Naifuta karate kid kwenye movie nazozikubali zaidi duniani
Nyie ndio Mungu hua anawaonyeshaYani siku nayokuja kujua mtt wangu anabokolewa basi nitamrudisha kwa muumba wake muda huohuo
Wewe wasema
Sio rahisi kutenda bali kutamka
Omba Mungu kwa ajili yako na familia yako
Yani siku nayokuja kujua mtt wangu anabokolewa basi nitamrudisha kwa muumba wake muda huohuo
I do not discuss hypotheticals about my family.Mmmh...sawa mkuu!
Binafsi we unachukuliaje au mfano ikutokee?
HajatangazaNae katangaza kuwa ni shoga?
Nyie ndio Mungu hua anawaonyesha
RAHA SANA.
WASIOPENDA USHOGA WATAJINYONGA LEO.
Hahahaa
Will Smith ni homophobic alishawahi kuwadis magay hata mwaka juzi alishawahi kumpiga mwandishi wa habari shoga hii kitu ilipelekea mauzo ya filamu na biashara zao kushuka, negative response kutoka kwa watu na jamii ya LGBT ambayo imeshikilia kwa kiasi kikubwa industry ya burudani duniani ndo maana toka mwaka juzi hawajapata tuzo yoyote kubwa hata ya Oscar pamoja na kutoa filamu KaliBaba mtoto pia ana viashiria vingi vya hiyo tabia Kwahiyo ni kama like faza
Kiburi
Msieeww
[emoji15] [emoji15] silijui hiliNakushauri kama hutaki movie yenye ushirikiano na gays, usiangalie movie yoyote ya Hollywood.
Kwa sababu ni vigumu sana kukuta movie ya Hollywood ambayo haina gays.
Kama si actors, basi producers, kama si producers, basi directors.
Kwa hiyo kama hutaki movies zenye gays, achana na Hollywood kabisa