Jaden Smith (mtoto wa Will Smith) atangaza kujihusisha na mapenzi ya jinsi moja

Jaden Smith (mtoto wa Will Smith) atangaza kujihusisha na mapenzi ya jinsi moja

Hollywood kuna mambo ya ajabu sana, kupumuliwa kwa wanaume au usagaji kwa wanawake upande wangu siyo tatizo, tatizo ni kuutangaza na kuushabakia, kuupamba na kuonekana kama ni trendy/usasa kwa jinsia tofauti, tunalazimishwa ionekane ni sawa tu, badala ya kuwa aibu kwa familia, tunalazimishwa hata wakiooana ni poa tu, sasa hapo ndipo wengine tunapopinga kulishwa na kuonyeshwa huu uchafu, kuna tv series/movies nzuri sana mitandaoni, ila nikisha ona kuna huu uchafu huwa nakatisha na kutozishaibikia tena, sijuwi tunaenda wapi, nashukuru dola inalipinga hili swala kwa moyo mmoja..sawa hii tabia ilikuwepo kabla hatujazaliwa, ipo kwenye familia zetu, lakini tusilazimishwe kuikubali, waendelee na uchafu wao kisirisiri na siyo kwa uwazi kutuchefuwa
umeongea kila kit. ur on point
 
Labda nikuulize, ulishawahi kukutana na mashoga ukazungumza nao wakakupa historia zao au hayo unayoona unayajua umeyapata darasani bila kufanya research yoyote??

Maana kumeibuka wimbi la wataalam wanaouchambua ushoga ukiwauliza mmejuaje ooh mimi ni mkufunzi wa chuo kikuu.... hahaha my dear, No research No right to speak.
Siitaji kufanya research kuelezea kwamba mbuzi hatagi mayai maana ni ki2 obvious, hivyo swali lako halina mashiko... na siwezi kaa na kuongea na shoga...Sio lazima kila aliezaliwa na matatizo awe shoga kama nilivyosema ushoga mtu anajifunza wengine ni mashoga na hormone zao ziko kawaida.
 
Mijitu imekaa hapa eti inashanga mmarekani kuwa shoga real? Hebu tuacheni ujinga basi, tukishanga mmarekani, muingereza, mfaransa au mjerumani kuwa shoga tutakuwa kama mazoba na tutasambaa kila siku. Haya mambo kwao ni kawaida wameruhusu kama imefikia hatua hadi wanafungisha ndoa makanisani na mabomani tunachoshangaa ni nini?
 
Yani siku nayokuja kujua mtt wangu anabokolewa basi nitamrudisha kwa muumba wake muda huohuo
Dah mzee sasa si utaenda jela halafu ushindwe kufaidi papuchi za kina mwanaidi wa ubungo
 
Nashindwa hata ku-emagine how comes mtu utamani ku-sex na jinsia yako.

Dunia simama wengine tuteremke
 
Siitaji kufanya research kuelezea kwamba mbuzi hatagi mayai maana ni ki2 obvious, hivyo swali lako halina mashiko... na siwezi kaa na kuongea na shoga...Sio lazima kila aliezaliwa na matatizo awe shoga kama nilivyosema ushoga mtu anajifunza wengine ni mashoga na hormone zao ziko kawaida.
Unabishana na dude linalosagwa/kufirwa unapoteza muda wako tu boss.
 
Naona unatoa maneno mazito minipo Whatsapp nachati na mtoto mkali kila notificatio naona mara mavi sijui nini[emoji82] [emoji82] [emoji82]
Hahah aisee naona kweli notifications unazipata vzr boss,msalimu mtoto.
 
Inategemea ile ipo kwenye kizazi mfano alierithi jina la babu, bibi , shangazi n.k

Haiwezekani jirani apende jina lako labda sababu lipo unique au sababu nyingine basi tabia zako ziende kwa huyo mtoto la sivyo wakina john , sarah, au kikundi flan cha jina flan kingekua na tabia moja.

Yaani mtu hamchangii hata undugu wa mbali wakarithi tabia za mtoto wa smith twin usinichekeshe🤣🤣🤣🤣
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ....ila mi sitaki asee!

Sitajisika vizuri
 
yes jada alikuwa kwenye mahusiano ya kisagaji na kale kademu keupe cha kwenye sitcom ya MARTIN kaitwacho Tisha campbell dada yake na yule mwanamuziki shoga aliye hit miaka ile aitwaye Tevin Campbell na ndo chanzo cha Martin kumpiga Tisha ukawa mwisho wa vichekesho hivyo sbaabu Martin alikuwa anampenda sana huyo demu na walikuwa wapenzi kabla Jada hajaanza kumsaga,kuhusu will smith kuwa shoga wanasema hata mke wa kwanza wa jamaa alimkuta kitandani anapumuliwa
We jamaa nakukubali kwa Info's

Yule mdada alikuwa kisu kuliko Jada!

Will anapractise sema anaficha kwa kuogopa deals zake za mitonyo zitayeyuka
 
Back
Top Bottom