Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Kheeee heeeee heeee....Eeh! Kibao hicho kinaenda sambamba na uhusiano wao wa awali...Umenikumbusha mbali Kibs...huu wimbo nimecheka sana!..
Mh Mbilinyi anaweza kumshtaki Jaffarai kwa kumdhalilisha maana yeye (Jaffarai) na Shy-Rose hawajaowana mpaka kwenda kumlalamikia kwenye media! namna ile! Pia Clouds inaweza kushitakiwa vilevile kwa kutumia vyombo vyake kusambaza kashfa dhidi ya Sugu!
ofcourse kama unabeef na sugu sehemu ya kwenda kulilia ni clouds fm...hakuna mpya hapo
tatizo ni kama jamaa angekuwa kidume cha kweli, na yeye angetafuta wake amege....sio unalialia kama demu
Leo Jaffaray yuko live kipindi cha XXL kinachorushwa na Clouds fm akisema kaachana na Shyrose Banji ni kutokana na kugundua kuwa amecheat na ana Uhusiano na Hon. JOSEPH MBILINYI.
new advertisement technics za kuwanasa wengine
Sugu kasema kwenye FACEBOOK antivrus 11 inakuja hivi punde.Sidhani kama ana guts...labda atoe ANTIVIRUS RMX!
Hahaha! naomba niwe rafiki yako wa kawaida,nimecheka hadi basi 'ukibebwa jishikie sio kuuma mgongo ulokubeba'naunga mkono SHY kumtema J kwa kuwa mwanaume kila wakati anatakiwa kulead, miaka minane kwa nini hakuweza kufibricate (chakachua flani) mpaka kumshawishi SHY kuwa anamfaa kuwa mme? alijiachia akajisifia kutunzwa sasa leo analalamika nini?hapa mjini ukibebwa jishikilie sio unaanza kitia meno mgongo.
na hizi je?
View attachment 22024View attachment 22023
View attachment 22021View attachment 22022
jaffar kifua chake kidogo, kuoa au kuwa na mahusiano na mwanamke mwenye networks kana huyu lazima uwe na ukomavu wa akili na uvumilivu mkuu sana. vinginevyo unavunja mahusiano kimya kimya. Na shyrose akija na kusema jaffar anaingiza mademu chumbani kwetu...?au hajakomaa akili-bado anawaza kitoto?
kwenye facebook page ya jaffarai inasema:
NIMEAMUA
KUACHANA NA ALIEKUA MPENZI
WANGU KWA TAKRIBAN MIAKA
8 SHYROSE BHANJI..