AK-47
JF-Expert Member
- Nov 12, 2009
- 1,373
- 202
Au Dogo Janja....kibaka kaiba mkoba ndani kakuta ratiba ya msiba.
Any way Clouds wameamua kujibu mapigo ya anti virus kwa kumchana Sugu live. Rais mwenyewe anacheat itakuwa mbunge SUGU? Go Sugu go. Next time chukua mke wa Kibonde.
Kibonde si anadaiawa kuwa ana High Voltage...Sugu usimguse mkewe utapigwa shoti. Mlete huyo binti CDM ila ni mcharuko mtu wangu.