Au Dogo Janja....kibaka kaiba mkoba ndani kakuta ratiba ya msiba.
Any way Clouds wameamua kujibu mapigo ya anti virus kwa kumchana Sugu live. Rais mwenyewe anacheat itakuwa mbunge SUGU? Go Sugu go. Next time chukua mke wa Kibonde.
Hili liJaffarai JINGA kwel,hakyanani unaweza kukuta ye ndo kaachwa,maana linavyoipublicize hii ishu..duh.!!..mara facebuk,mara radion..yan anataka mambo yao binafsi ayatangaze..
Na inavyoonekana ameachwa ghafla ndo maana ame-panick.
Au Dogo Janja....kibaka kaiba mkoba ndani kakuta ratiba ya msiba.
Any way Clouds wameamua kujibu mapigo ya anti virus kwa kumchana Sugu live. Rais mwenyewe anacheat itakuwa mbunge SUGU? Go Sugu go. Next time chukua mke wa Kibonde.
Ila mi nimeipenda ili iwe fundisho kwa watu wazima wanaopenda kuvulia watoto wadogo nguo na tutasikia mengi hapaAnayeachwaga huwa ndiyo muongeaji!!..Shy atulie kimya ili huyo mtoto aonekane mjinga..
Ngoja MR 2 aibuke ampe mapande yake dogo
Ila mi nimeipenda ili iwe fundisho kwa watu wazima wanaopenda kuvulia watoto wadogo nguo na tutasikia mengi hapa
.1583856 said:"nimeachana na shyrose bhanji (kicheche mzee) baada ya kugundua km anatoka kimapenzi na mr 2... Ni aibu sana kwa mwanamke mwenye miaka 42 kua kicheche kiac hicho!!!! Nilitegemea mtu km mr 2 angeanza kufanya harakati ktk mziki wetu lkn harakati zake zimehamia kwenya mapenzi na madem wa wasanii wenzake... Ni aibu kubwa sana" - Jaffarai