Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa msemaji mdogo wa serikali, but sifahamu hao wawekezaji wapya watatoka wapi kama waliopo kila siku wanalalamika kodi kubwa zisizoendana na kipato cha biashara zao, hivyo wengi kuishia kufunga biashara zao kwa sababu ya kulemewa na mzigo wa kodi unaotokana na presha wanayoipata wakurugenzi kwa sababu ya matamko kama hilo la Waziri Jaffo.Hii itasaidia sana kwenye kukuza uwekezaji kwenye sekta tofauti kwa wakurugenzi kuhakikisha wanaongeza uwekezaji na wawekezaji wapya pamoja na kuwalinda na kuwasupport wawekezaji waliopo
Watakua wamepewa target zinazotekelezeka kadri ya halmashauri na sio adhabu
Ngoja tuone mwisho wao
Wangoje Januari mbali hivyo, hii ni kuanzia kesho unagongewa geti na Jamaa wanakwambia wanakagua mazingira hujakata fensi faini shilingi elfu 50.View attachment 1656956
Hayo yamesemwa na Waziri wa Tamisemi Mh Jaffo alipokuwa akiongea mkoani Njombe .
Kwamba kama halmashauri unayoiongoza haijafikia 50% ya makadirio ya makusanyo hadi january basi ni wazi wewe DED utafutwa kazi
Mytake : Kuanzia January wananchi wengi watakiona cha Mtemakuni .
Tutadaowa hata kodi ya kitanda kama wataliiWatawaondoa wote kwani uchumi wa JIWE ni DOROOOOOOO!
Unakumbuka wale askari wa usafi wa Makonda ?Wangoje Januari mbali hivyo, hii ni kuanzia kesho unagongewa geti na Jamaa wanakwambia wanakagua mazingira hujakata fensi faini shilingi elfu 50.
Hao wa juu wanaona raha tu kutamka ila kivumbi ni huku chini.
Nadhani wewe ndio msemaji mkuu wa kambi hiyo. Usijali kabisa mambo bambamSawa msemaji mdogo wa serikali, but sifahamu hao wawekezaji wapya watatoka wapi kama waliopo kila siku wanalalamika kodi kubwa zisizoendana na kipato cha biashara zao, hivyo wengi kuishia kufunga biashara zao kwa sababu ya kulemewa na mzigo wa kodi unaotokana na presha wanayoipata wakurugenzi kwa sababu ya matamko kama hilo la Waziri Jaffo.
Wakurugenzi mnachuma Malipo ya Dhambi zenu ya kuwafanyia figisu WapinzaniaView attachment 1656956
Hayo yamesemwa na Waziri wa Tamisemi Mh Jaffo alipokuwa akiongea mkoani Njombe .
Kwamba kama halmashauri unayoiongoza haijafikia 50% ya makadirio ya makusanyo hadi january basi ni wazi wewe DED utafutwa kazi
Mytake : Kuanzia January wananchi wengi watakiona cha Mtemakuni .
Wale sijui waliishia wapi, ila huku kwetu wapo hao wa kujiita wa Mazingira.Unakumbuka wale askari wa usafi wa Makonda ?
Tunaelekea mwendo wa ujima...... Ila nasikia january wanaanza kujenga terminal 2 pale chatoKodi ya kichwa inarejea muda si mrefu.
Tutaishi maisha magumu sana wakati huu.Tunaelekea mwendo wa ujima...... Ila nasikia january wanaanza kujenga terminal 2 pale chato
Daadeki hadi kila goti lipigwe kwa Magu. Na bado hiyo ni rasha rasha tu. Baada ya hii 5 kuna 5 mingine jumla 10View attachment 1656956
Hayo yamesemwa na Waziri wa Tamisemi Mh Jaffo alipokuwa akiongea mkoani Njombe...
Sasa hao MaDED hizo fedha wanazolazimishwa kukusanya, wananchi watazitoa wapi kama uchumi umedorola? Hawa Mawaziri wasiotumia akili hawapaswi kupewa hadhi hiyo kwani wanabwabwaja tu ili mradi wasikike na bwana mkubwa kuwa nao wapo!!View attachment 1656956
Hayo yamesemwa na Waziri wa Tamisemi Mh Jaffo alipokuwa akiongea mkoani Njombe....
Laana ya kushiriki unyama wa uchaguzi imeanza kuwatafuna MA DEDSasa hao MaDED hizo fedha wanazolazimishwa kukusanya, wananchi watazitoa wapi kama uchumi umedorola? Hawa Mawaziri wasiotumia akili hawapaswi kupewa hadhi hiyo kwani wanabwabwaja tu ili mradi wasikike na bwana mkubwa kuwa nao wapo!!
Kwa mtindo huu mtawafukuza MaDED wengi ili mpate nafasi ya kuwateua ndugu zenu!!