Jaguar: Wakenya kuwaondoa kwa kipigo Watanzania, Wachina, Waganda na Wapakistani nchini mwao

Jaguar: Wakenya kuwaondoa kwa kipigo Watanzania, Wachina, Waganda na Wapakistani nchini mwao

Hili tatizo sio rahisi kama unavyolisemea hapa....

Unawacheka Wakenya wakati Kariakoo kuna Wachina walishachinjwa sometimes ago...

Issue hapa sio eti tuwafanyie nini au tuwachukulie hatua gani maana ninaona ni solution ya jino kwa jino which is nonsense in a long run!

Nadhani ni suala la kuelimisha wanasiasa na wananchi wetu mpaka waelewe...

Naona ni ignorance on both sides...wananchi bado hawajajua maana ya soko huria na maana ya competition!

Ni elimu tu hapa!

Sio kwamba Tanzania au UG au RW ni bora sana katika kuruhusu biashara huria,nao ni wabovu vilevile...ni kuelimisha EA yote mpaka kila mtu aelewe!
Swali ni rahisi na fupi, endapo watawapiga na kuwadhuru kwa makusudi kama wanavyojinasibu, tuendelee kuwaangalia?. Elimu gani wasiyoijua hawa wakenya, tena wanasiasa ambao miaka yote wamekuwa wakilaumu Tanzania kwamba ndio tunaozuia " free movements of people and jobs". Wanajua wazi kwamba wanachotaka kukifanya ni kosa.
 
Mpaka wageni wachukua biashara zenu mlikuwa wapi?

Hivi Ulaya na Marekani wakisema foreigner wote watoke, mbona nchi nyingi zitaathirika ki uchumi. Wageni wameona opportunity ambayo haitumiki.

Oman pia wanalalamika biashara zao zimeshikiliwa na Wapakistan pamoja na Wahindi. Hawa watu ni wafanyabiashara kwa asili. Ingawa wana dodge ways of business dealings but they keep things going. Waondoeni muwe kama Uganda baada ya kuwafukuza.
Watanganyika wakiwepo sehemu balaa lake si dogo natamani na sisi tungewaiga wakenya na sisi
 
Mbunge wa Jimbo la Starehe Charles Njagua maarufu kwa jina la kisanii Jaguar amesema hawataki wafanyabiashara kutoka Tanzania na Uganda kwenye jimbo lake na ameahidi waondoke la sivyo atawapiga.
.
"Watanzania na Wachina wanaofanya biashara Kenya, hatuwataki, tunawapa masaa 24 waondoke, wasipoondoka tutawapiga na hatuogopi mtu."
#Tv1updates #kwesesports #kweseiflix #kwese #kfs #Kitaakimetuamin
 
Swali ni rahisi na fupi, endapo watawapiga na kuwadhuru kwa makusudi kama wanavyojinasibu, tuendelee kuwaangalia?.
Hata wakiwaua kwa mapanga kabisa,huruhusiwi kuwaua Wakenya au foreigner waliopo nchini kwako...

Xhzenophobia ni upumbavu wa kipumbavu unaotakiwa kurudishwa kwa wema na sio kuchinjana kama manyani!

Ndio maana SA waliua Waafrika wenzao kwa Xhzenophobia lakini hakuna mSA alieuawa nchi yeyote..Huwezi lipa kifo cha Xhzenophobia kwa kifo wewe,hamtakua na tofauti na mahayawani!

Xhzenophobia au civil wars zinamalizwa kwa elimu na reconciliation sio upumbvu wa jino kwa jino kama unaosemea hapa!

Kama unachosema ni the best solution dunia hii isingefaa kuishi kabisa....na kila raia wa nchi tofauti angekua ni officially a lethal danger to another person from another country.

Elimu gani wasiyoijua hawa wakenya, tena wanasiasa ambao miaka yote wamekuwa wakilaumu Tanzania kwamba ndio tunaozuia " free movements of people and jobs"
Mzee ukichukulia hili tatizo ni la Kenya pekee yake utakua very myopic....Hili ni tatizo kubwa East Africa na Africa yote hasa chini ya jangwa la sahara!

Wakenya wanawabagua waTZ na waTZ wanawabagua waKE na UG wanawabagua waRW na waRW wanawabagua waBR ...yaani kila mmoja anambagua mwenzake,hakuna mwema hapa....

SA inabagua wenzake na kuwaua kabisa...na wanambagua SA too....Africa is a ground of some stupid cave-time thinking of resource primitive protection...ni elimu tu na reconciliation ndio solution na sio kuua wenzako kama eti ndio retaliation!

Ila kama nchi inaweka sera za wazi za kibaguzi then the next country na yenyewe inaweka sera baguzi hivyo hivyo ili ku-even out..ila sio kuchinjana kama mahayawani wa kipindi cha kuishi mapangoni huko!
 
Safi na waanze tu tunasikilizia halafu sisi tujibu mapigo tena hili nitalisimamia mwenyewe kuhakikisha heshima inarudi kudadeki..na FFU nawaomba pindi tukiwa tunalipiza kisasi naomba mkae mbali na sisi kabisa jifanyeni kama hamuoni maana tutawaunganisha na ninyi
 
Hata wakiwaua kwa mapanga kabisa,huruhusiwi kuwaua Wakenya au foreigner waliopo nchini kwako...

Xhzenophobia ni upumbavu wa kipumbavu unaotakiwa kurudishwa kwa wema na sio kuchinjana kama manyani!

Ndio maana SA waliua Waafrika wenzao kwa Xhzenophobia lakini hakuna mSA alieuawa nchi yeyote..Huwezi lipa kifo cha Xhzenophobia kwa kifo wewe,hamtakua na tofauti na mahayawani!

Xhzenophobia au civil wars zinamalizwa kwa elimu na reconciliation sio upumbvu wa jino kwa jino kama unaosemea hapa!

Kama unachosema ni the best solution dunia hii isingefaa kuishi kabisa....na kila raia wa nchi tofauti angekua ni officially a lethal danger to another person from another country.


Mzee ukichukulia hili tatizo ni la Kenya pekee yake utakua very myopic....Hili ni tatizo kubwa East Africa na Africa yote hasa chini ya jangwa la sahara!

Wakenya wanawabagua waTZ na waTZ wanawabagua waKE na UG wanawabagua waRW na waRW wanawabagua waBR ...yaani kila mmoja anambagua mwenzake,hakuna mwema hapa....

SA inabagua wenzake na kuwaua kabisa...na wanambagua SA too....Africa is a ground of some stupid cave-time thinking of resource primitive protection...ni elimu tu na reconciliation ndio solution na sio kuua wenzako kama eti ndio retaliation!

Ila kama nchi inaweka sera za wazi za kibaguzi then the next country na yenyewe inaweka sera baguzi hivyo hivyo ili ku-even out..ila sio kuchinjana kama mahayawani wa kipindi cha kuishi mapangoni huko!
Mimi nimeuliza swali, ila wewe umeshahisi kwamba mawazo yangu ni kujibu watakayofanya wakenya, japo haupo mbali na ninachofikiria, lakini lengo langu nilikua ninataka kupata mawazo ya watanzania. Mawazo yako ninayaheshimu japo sikubaliani nayo, ninaamini hata Magufuli hakubaliani na wewe, ninakumbuka mwaka juzi alipotembelea kiwanda cha maziwa Tanga, alisema kwamba, " Endapo nchi jirani wanakataza maziwa ya Tanzania kuingia kwao, na Tanzania lazima ifanye hivyo hivyo.
 
Mimi nimeuliza swali, ila wewe umeshahisi kwamba mawazo yangu ni kujibu watakayofanya wakenya, japo haupo mbali na ninachofikiria, lakini lengo langu nilikua ninataka kupata mawazo ya watanzania. Mawazo yako ninayaheshimu japo sikubaliani nayo, ninaamini hata Magufuli hakubaliani na wewe, ninakumbuka mwaka juzi alipotembelea kiwanda cha maziwa Tanga, alisema kwamba, " Endapo nchi jirani wanakataza maziwa ya Tanzania kuingia kwao, na Tanzania lazima ifanye hivyo hivyo.
Nakuelewa mkuu...

All peace!
 
Hili tatizo sio rahisi kama unavyolisemea hapa....

Unawacheka Wakenya wakati Kariakoo kuna Wachina walishachinjwa sometimes ago...

Issue hapa sio eti tuwafanyie nini au tuwachukulie hatua gani maana ninaona ni solution ya jino kwa jino which is nonsense in a long run!

Nadhani ni suala la kuelimisha wanasiasa na wananchi wetu mpaka waelewe...

Naona ni ignorance on both sides...wananchi bado hawajajua maana ya soko huria na maana ya competition!

Ni elimu tu hapa!

Sio kwamba Tanzania au UG au RW ni bora sana katika kuruhusu biashara huria,nao ni wabovu vilevile...ni kuelimisha EA yote mpaka kila mtu aelewe!
In a world where dogs eats dogs don't be a cute puppy, be a big ugly and aggressive wolf
 
Nimemsikia, lakini kama hakuna kiongozi yeyote was Kenya aliyekemea kauli hiyo basi tusishangae yale ya Afrika kusini kutokea hapo Kenya.
Ila yakitokea hayo hakuna wakupona maana nao wakenya wako huku kwa wingi sana
 
In a world where dogs eats dogs don't be a cute puppy, be a big ugly and aggressive wolf
Ndio solution ya jino kwa jino?

Labda muwaadhibu kwenye sera zenu kama nchi kuwabagua wao na sio kuchinja mzee!

Kuchinjana hakuna tofuti na nyote kua manyani wa mwituni!

Ndio maana SA waliua Waafrika wenzao ila sio kuwaua wao kama lipizo!

Retaliation kwa discriminative sera na sheria against them kwenye nchi yenu ni sawa....kuuana kama kisasi ni uhayawani wenyewe!
 
Back
Top Bottom