Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Miss Natafuta umehama Mbezi Beach? Nimemiss minyanduoano yetu ya kila weekend ukiwa day off hotelini Kariakoo.AkUna huyu mwanamuziki anaitwa jaivah nashauri basata wafungie kabisa anaimba matusi mnoo
Hii nchi Sidhani km tuko huru kiasi hicho
Dogo anaimba matusi Hadi shetani anazima redioDah zama zinakimbia na umri unakimbia hata simjui ila mbona basata wako active sana hapo wanafeli wapi!
Tanzania ndio nchi duniani inaongoza kwa wanamuziki wake kusifia ulawiti na pombe
Aisee muogope MUngu mkuu.Miss Natafuta umehama Mbezi Beach? Nimemiss minyanduoano yetu ya kila weekend ukiwa day off hotelini Kariakoo.
Kawaiga kaka zakeDogo anaimba matusi Hadi shetani anazima redio
Wakenya ni balaa mno, na mumble rap za marekani.Tanzania ndio nchi duniani inaongoza kwa wanamuziki wake kusifia ulawiti na pombe
Ile ni hatarii .au nyimbo zao zipigwe club Tu tena usiku WA mananeJaiva
Chino wana man
Hawa jamaa wana hatari
Nipe wimbo mmoja wa kikenya unaosifia ulawiti nikupe nyimbo rundo za tz zinazosifia huo uchafuWakenya ni balaa mno, na mumble rap za marekani.
Zile nyimbo kweli wapo kimyaaaBASATA ni taasisi namba 1 inayofeli Tanzania, sijui wanafanya kazi Gani, ni aibu Kwa taifa.
Zipigwe club huko.watoto wanajifunza nini?Na wale mabantu 'kumanisha nini?'
Sema hizo nyimbo zina mashabiki wake, zinapendwa.
Sasa BASATA wakiamua wapige marufuku matusi tasnia nzima ya muziki Tanzania inakufa. Fikiria kuhusu hilo.
Tuache unafki ni watoto tu ndo wanaharibika kupitia hizo nyimbo?Zipigwe club huko.watoto wanajifunza nini?
hujasikia nchi zile zinaimba matusi. tanzania inajifunza.Dah zama zinakimbia na umri unakimbia hata simjui ila mbona basata wako active sana hapo wanafeli wapi!
Tanzania ndio nchi duniani inaongoza kwa wanamuziki wake kusifia ulawiti na pombe
Kuna matusi na matusi .ila jamaa kazidi ni hatariTuache unafki ni watoto tu ndo wanaharibika kupitia hizo nyimbo?
Hazifai kwa ujumla.
Shida kila mtu anaimba matusi siku hizi, kila mtu.
Nigeria mbona hawaimbihujasikia nchi zile zinaimba matusi. tanzania inajifunza.