Jaivah afungiwe na BASATA kwa kuimba matusi mengi

Na wale mabantu 'kumanisha nini?'

Sema hizo nyimbo zina mashabiki wake, zinapendwa.

Sasa BASATA wakiamua wapige marufuku matusi tasnia nzima ya muziki Tanzania inakufa. Fikiria kuhusu hilo.
 
Dah zama zinakimbia na umri unakimbia hata simjui ila mbona basata wako active sana hapo wanafeli wapi!
Tanzania ndio nchi duniani inaongoza kwa wanamuziki wake kusifia ulawiti na pombe
hujasikia nchi zile zinaimba matusi. tanzania inajifunza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…