Jaivah afungiwe na BASATA kwa kuimba matusi mengi

Jaivah afungiwe na BASATA kwa kuimba matusi mengi

Matusi yakishaingia kwenye muziki huwa yanaharibu industry nzima ya muziki.
Leo hii ukisema Jaivah afungiwe basi ni sawa na kusema wanamuziki wote wafungiwe, hakuna nyimbo kuanzia mwaka 2020 iliyotoka bila kuwa na matusi ndani yake.
 
Kuna huyu mwanamuziki anaitwa Jaivah. Nashauri BASATA wafungie kabisa nyimbo zake kwa sababu anaimba matusi mengi sana. Hii nchi sidhani kama tuko huru kiasi hicho, kwani tunapaswa kulinda maadili ya jamii.
Hongera kwa kupata mtoto!
Mtoto kautaka ,mtoto kautaka
 
Mhhhh.....
Amakweli nimesha zeeka, kumbe wasanii bongo wameongezeka sana eehhhh😶
 
ccm na watumishi wa umma ndio wanaongoza kwa kukosa maadili. wizi wa mali za umma ni ukosefu mkubwa wa maadili. tumalizane na huo kisha tuhamie kwingine

mimi sikio langu linasikiliza kila cha shetani na malaika. mradi sikio limependa.
 
Mabantu, hawa nao ni kiboko kwa matusi, waangaliwe pia. Lol
 
Msanii -ni kioo cha jamii

Anaangaza kilichopo katika jamii then anaenda kuimba .

Ungejikita kuangalia jamii yako inapenda hizo nyimbo au haipendi.


So jaiva anachokifanya anakuletea karibu kile unachowaza katika akili yako na sio vinginevyo.


Ukisema uimbe mambo deep itakuchukua muda Sana Ku-make attention ya hadhira.
 
Msanii -ni kioo cha jamii

Anaangaza kilichopo katika jamii then anaenda kuimba .

Ungejikita kuangalia jamii yako inapenda hizo nyimbo au haipendi.


So jaiva anachokifanya anakuletea karibu kile unachowaza katika akili yako na sio vinginevyo.


Ukisema uimbe mambo deep itakuchukua muda Sana Ku-make attention ya hadhira.
Wanavyoviimba ndivyo kwasasa vipo kwenye jamii, mbona hata Zuchu kaimba kuhusu wala nauli!
 
Back
Top Bottom