Hamia huko bossWakenya wako vizuri hadi unatamani kuishi kenya.Tanzania ni majanga mtupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamia huko bossWakenya wako vizuri hadi unatamani kuishi kenya.Tanzania ni majanga mtupu
Vinasagana Vyuma Mpaka Kimoja Kipinde/Kisagike Kibaki UngaVyuma vimeumana
Wakenya wanashida sana. Hawana busara kabisa!Vinasagana Vyuma Mpaka Kimoja Kipinde/Kisagike Kibaki Unga
VipiJaji wa Mahakama ya Juu Lawrence Mugambi amepokonywa walinzi wake siku tatu tu baada ya kumhukumu kifungo cha miezi 6 jela Kaimu Inspekta Jenerali Mkuu Gilbert Masengeli, kwa kosa la kudharau mahakama.
Kufuatia kitendo hicho Tume ya Huduma za Mahakama(JSC) ikiongozwa na Jaji Mkuu Martha Koome imehutubia Wanahabari ikitaka Idara ya Polisi kumrejeshea Jaji Lawrence Mugambi walinzi wake mara moja.
Jaji Lawrence alimhukumu IGP Masengeli Ijumaa iliyopita lakini mpaka sasa IGP hajajisalimisha kwa Mkurugenzi wa Idara ya Magereza kama alivyoagizwa na mahakama. Ikumbukwe mahakama iliongeza kuwa iwapo IGP hatojisalimisha, basi Waziri wa Mambo ya ndani Professor Kithure Kindiki atoe agizo la kukamatwa kwake.
View attachment 3097466View attachment 3097469View attachment 3097471View attachment 3097472
😁🤣😂Vipi
Na hii tuilaumu ccm?