Jaji aliyemhukumu IGP Masengeli kifungo jela apokonywa walinzi; Jaji Mkuu Koome ataka warejeshwe mara moja

Vipi

Na hii tuilaumu ccm?
 
Huu mchezo wa paka na PANYA 😁😁😁.sema Kenya comedy sana
 
Tanganyika isinge weza hata kujaribu.mahakama ni ccm B.
All the best
 
Kuna watu humu JF huwa wanatwambia Kenya ina Katiba nzuri kuliko Tanzania. Ebu waje watufafanulie uzuri wake hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…