Jaji aliyetoa hukumu ya Sabaya tutapataje CV yake? Anasifika Kwa uadilifu ofisini kwake na machoni pa jamii?

Ushahidi mimi ni mtuhumiwa au mpumbavu kama wewe,ng'ombe waliokufa huko Arusha sisi tumewaona???Vita inayoendelea baina ya Urusi na Ukraine wewe umeishuhudia kwa macho??Msituletee upumbavu kwa vitu vinavyoonekana na kusikika laivu kwa kisingizio cha ushahidi,tuliyoyaona na tuliyoyasikia na kushuhudia awamu ya tano yanatisha sana.
 
Imekuuma sana?
 
"During those days the duty of the police officer were to maintain laws and order 🙄
But to day it is the order that maintain police.... and that is the order from above"
Teacher mpamire
 
"During those days the duty of the police officer were to maintain laws and order 🙄
But to day it is the order that maintain police.... and that is the order from above"
Teacher mpamire
And the question is what went wrong
 
Fuatilia mwenendo wa kesi ulivyokuwa usitulishe matangopori,Sabaya alisema alikuwa anatekeleza yale aliyotumwa na JPM kama ni kupora,kuua,kubaka,kulawiti,kupiga yote hayo aliyatekeleza kwa idhini ya Jpm.

Du jamaa bado uko na marehemu tu.
 
Kwani alituhumiwa kwa kosa gani? Zile tuhuma ndiyo zilizomfanya akajitetea ya kuwa alikuwa akitii mamlaka za uteuzi hivyo basically ni kwamba alikiri huku akidai zilikuwa ni directives from 'above'.
 
Fuatilia mwenendo wa kesi ulivyokuwa usitulishe matangopori,Sabaya alisema alikuwa anatekeleza yale aliyotumwa na JPM kama ni kupora,kuua,kubaka,kulawiti,kupiga yote hayo aliyatekeleza kwa idhini ya Jpm.

Unadai Katiba mpya. Rais Ana madaraka makubwa sana. Sasa mtu mwenye madaraka makubwa amtume mkuu wa Wilaya mfano abake-then what? Aue - then what. Alawiti. Then what. Yani inamsaidiaje yeye. Na nani katika hao waliobakwa. Kulawitiwa alikuwa kitisho kwa Rais dikteta mwenye mamlaka yasiyo na mpinzani ?

Huyu sabaya unadhani JPM alimjua kabla ya kumteua? Rais dikteta hawezi mtuma mkuu wa Wilaya. Anatuma Jeshi na polisi. Wamalize ghafla.

JPM alikuwa Jembe lisilo na mpinzani. Waulize magaidi waliotapakaa mwaka 2014-2015 kilochowapata alipoingia JPM.


Ukiwa unakula na nyaku tu huwezi jua ya msingi. Utakuwa inawashwa tu na mkunaji Hakuna. Jitahidi kufanya kazi na akili yako itaongozwa na reason sio bangi. Haki iliyompiga huyo sabaya 30 ndo haki hiyo iliyomweka huru. Haki iliyomtia Mbowe Mahabusu ndo Haki hiyo iliyomtoa nk. Life goes on.
 
Na akawaacha magaidi wanasaivu sasa hivi wasiojulikana wanateseka sana kwa vile hawana mtetezi tena.
 
Mbona nyinyi michadema mijinga sana ebooo
 
Sasa siujinyonge
 
wewe ni mwehu wahed
 
A
Chana na juha huyo
 
Kuna watanzania wa hovyo sana kama wewe. Kila mtu serious mnamtafutia asili batili .Mkapa walisema is from Msumbiji,JpM ni muhutu.shenzi kabisa.unadhalilisha utanzania
 
Kuna watanzania wa hovyo sana kama wewe. Kila mtu serious mnamtafutia asili batili .Mkapa walisema is from Msumbiji,JpM ni muhutu.shenzi kabisa.unadhalilisha utanzania
Moderator, huyu anatukana,piga ban huyu
 
Mifumo ya polisi na mahakama Tanzania "inaruhusu" ndugu kuchakarika wakifika bei wamtoe ndugu yako. Ukifungwa ujue kabisa huna namna au umeshikiwa chini na mwenye nguvu ya pesa ama serikali.
Inafanyika sana.
Ila mimi ninachojua ni kuwa Sabaya alifanya makosa. Na kwa makosa yake yale atahukumiwa ipasavyo!
 
Kuna watanzania wa hovyo sana kama wewe. Kila mtu serious mnamtafutia asili batili .Mkapa walisema is from Msumbiji,JpM ni muhutu.shenzi kabisa.unadhalilisha utanzania
Watanzania ndo waowafanyia hivyo watanzania wenzao. Kama hayajakukuta subiri
 
Fuatilia mwenendo wa kesi ulivyokuwa usitulishe matangopori,Sabaya alisema alikuwa anatekeleza yale aliyotumwa na JPM kama ni kupora,kuua,kubaka,kulawiti,kupiga yote hayo aliyatekeleza kwa idhini ya Jpm.
Je hiyo Ni Kinga Kama Kuna jinai?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…