Jaji Elinaza Luvanda ajiondoa kuendesha kesi ya Mbowe na wenzake baada ya washtakiwa kudai hawana imani naye

Umefuatilia kesi lakini we boya,au unaandika tu.
 
Hakuna unachokijua ni bora ukae kimya ujifunze

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Sisi Mahakama tujitafakari,maslahi yetu yapo hivi:-
1. Mshahara zaidi ya Tshs 6,000,0000/-kwa mwezi
2. Nyumba masaki
3. Gari VXR
4. Likizo nje ya nchi kila mwaka.
5. Posho ya suto kila mwezi.
6. Overtime nyingi sana.
7>Fedha za sessions , kila tunapokwenda mikoani.
8.Ukistaafu kinua mgongo zaidi ya Tshs 200 milion.
9. Kila mwezi ukistaafu unapata 4,000,000 /- milioni 4.
10. Kusomeshewa watoto.
11. Uklinzi, house boy and girl,
14. NSSF , Bima ya afya.

Hayo yote bado tu mtu haridhiki anataka kukandamiza kitoto kama Mbowe kweli, Mungu anaona mjue .
 
Unaelewa maana ya katiba? wangekuwa hawateuliwi na Rais hayo yangetokea??
Katiba imezuia mengi na kuweka ukomo lakini ina bagazwa tu ndg yangu.
Mtanzania amejaa uovu na ubatili

Tunahitaji kubadilika mno, hata tuwe katiba kama ya Marekani unafikiri yupo wa kuisimamia na kuiheshimu?
 
kumbe ndio wanafaidi keki ya Taifa kiasi hiki.
Duh!
 
Nimepewa maelekezo kutoka juu, eg. Lowasa(richmond), Sabaya.

Huyo aliye juu anayetoa maelekezo ni nani?
Hii ya maelezo kutoka juu ni nini hasa! Huyo mtu kutoka juu, sijui mbinguni, ni nani maana hawezi kuwa ni Mungu labda ni mzimu sijui wa nani!

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Katiba imezuia mengi na kuweka ukomo lakini ina bagazwa tu ndg yangu.
Mtanzania amejaa uovu na ubatili

Tunahitaji kubadilika mno, hata tuwe katiba kama ya Marekani unafikiri yupo wa kuisimamia na kuiheshimu?
Bunge lingekuwa huru, viongozi wa kuteuliwa na nao wangekuwa wanafanya interview tungekuwa mbali sn
 
Bunge lingekuwa huru, viongozi wa kuteuliwa na nao wangekuwa wanafanya interview tungekuwa mbali sn
Ooh ukitaja bunge unaniharibia siku.
Ndugai ni pepo kabisa, ukilitaja bunge namkumbuka.
Huyu anapaswa kunyongwa hakika.
Anafuja kodi zetu bure hajui anafanya nini pale
 
Ooh ukitaja bunge unaniharibia siku.
Ndugai ni pepo kabisa, ukilitaja bunge namkumbuka.
Huyu anapaswa kunyongwa hakika.
Anafuja kodi zetu bure hajui anafanya nini pale
Ndiyo hivyo mkuu, bunge na mahakama vingekuwa huru leo tugepiga hatua kubwa sn kimaendeleo, now tunaishi kwa hisani ya Rais
 
Ndiyo hivyo mkuu, bunge na mahakama vingekuwa huru leo tugepiga hatua kubwa sn kimaendeleo, now tunaishi kwa hisani ya Rais
Hapa dawa sisi ufike wakati tujitambue.
80% ya wabongo ni vilaza totoro, ili mradi liende.
Huoni kelele tu za juzi zimemwengua Jaji?
 
Hapa dawa sisi ufike wakati tujitambue.
80% ya wabongo ni vilaza totoro, ili mradi liende.
Huoni kelele tu za juzi zimemwengua Jaji?
Lakini si Mbowe kabaki ndani? muda wake aliokaa gerezani utafidiwa na nani? hata Mandela alitolewa gerezani wakazungumza yakaisha.
 
Ni heri angeifuta na kumuachia kisha Polisi wakamkamata na kumshitaki kama pilato alivyo elekeza...
Mahakama kuu imepata ejea mbaya kwenye maktaba yake. Yaani jaji ana kiri mashtaka yamekosewa. Badala ya kufuta kesi waka jipange upya, ana sema wakaandae mashtaka upya. Kwa tafsiri nyingine ni kwamba mahakama ina didimiza haki kwa kuwa onea washtakiwa. Bora ange ifuta kesi, halafu polisi imkamate tena. Huyo jaji ange baki na heshima. Na haki inge onekana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…