Bandiko Zuri Lenye Hamasa Ya Haki Na Amani....
Hongera kwalo!
Nitofautiane Nawe Kidogo;
Tuzo Ya NOBEL si ya mchezomchezo......
Apewaye Ni Lazima Kuwe Na Jambo Kubwa Alilolifanya "KUENDANA" na MAZINGIRA ya nchi.....
Je Tanzania ni nchi yenye migogoro ya umwagaji damu KISIASA KIDINI NA KIKABILA?!!!
Jibu: HATUJAFIKA HUKO na HATUELEKEI KUFIKA HUKO japo tuna sintofahamu za hapa na pale.....
Simuoni Jaji Wetu Kipenzi Kaijage Kufikiriwa kuwavuta wale NGULI,rafiki zetu na WAHISANI wetu NORWAY kumkabidhi TUZO YA NOBELI......
Wote Waliopata Hiyo Tuzo Hapa Afrika, walikuwa na sababu Nzito na Kuntu mno....
Iwe ni Sirleaf...
Iwe ni Sadat....
Iwe Ni Luthuli....
Iwe Ni Mandela.....
Tanzania Ya Amani,
Tanzania Ya Haki,
Siempre Siempre Tanzania.