Chaguzi nyingi za Africa huchafuliwa na tume za uchaguzi ..kwasasa hili unaweza kuliona ni jambo dogo sana...lakini katika udogo wake linaweza kupindua historiaMshana, una maanisha ' Nobel peace prize' ? Kweli? Kwa kipi hasa. Sema unatania ili heshima ulojijegea humu iendelee kutamalaki .
Kuna sauti inaniambia akifanikiwa basi Magufuli hatokuwepo kwenye listi ya wagombea.Akifanikiwa hilo namuona wazi akitutoa kimasomaso kwenye tuzo za amani za dunia
Mkuu umenifanya nichekee kwa sauti kubwa.Shida ni pale unapoona hadi watu wenye akili timamu nao wanasubiri Magufuli kuenguliwa
Hata huyu kaijage akitenda haki atakuwa emesuluhisha machafuko na vita.Tuzo ya Amani ya Nobel?
Mzee unaijua hii tuzo vizuri?
Inatolewa kwa mtu aliyesuluhisha Vita au machafuko yaliyokuwepo muda mrefu
Mfano yule Waziri Mkuu wa Ethiopia kwa kumaliza yale machafuko ya waOromo kipindi kile
Mi ninachofurahi Ni kuwa kwa wiki mbili tu lissu ameaza kuondoa uoga uliotamalaki miongoni mwa taasisi za umma na serikaliMacho yote yako tume ya uchaguzi chini ya jaji Kaijage mziki huu school mate wangu kihamia asingeuweza kamwe. So far tume inafanya vema. Si vibaya kwa hatua hii kutoa pongezi za awali.
Kuna mambo yanatokea kwa kasi ya ajabu na kwa haraka mno mpaka kuna vitu vinatupita. Ni ukweli usiopingika CCM HAKUKO SHWARI Kuna kila dalili mgombea kasusiwa ama kaachwa yatima wale manguli wa kuisimamia ccm hasa nyakati hizi hawaonekani popote wakikipigania na kukipamba chama.
Kasi ya mgombea wa CHADEMA inaleta taharuki mpya kila hatua anayopiga..na ni taharuki ya hoja zilizojaa sheria...ni wazi kabisa CCM haikujiandaa kabisa na hili waligeuza mazoea yakawa sheria
CCM kumepooza! Huo ndio ukweli mchungu na hata makada wake mitandaoni ni kama wamegeuka majuha na kichekesho kwa hoja zao zilizokosa weledi na mashiko
Jaji Kaijage karahisishiwa kazi nyingi na mgombea wa Chadema ambaye kitaaluma ni mwanasheria nguli...Hivyo basi jaji Kaijage akizisimamia sheria za tume ya uchaguzi kwa weledi (hitaji kubwa la CHADEMA) Bila kujali matokeo yatakuwaje atajitengenezea jina na historia tukuka
Akifanikiwa hilo namuona wazi akitutoa kimasomaso kwenye tuzo za amani za dunia
Angalieni presha isije ikawaua. CCM chini ya mhe rais Magufuli, tutashinda kwa kishindo kikubwa sana.
[emoji1752][emoji1545][emoji1545][emoji1545]tuzo za Nobel zina madaraja tofauti ...unamkumbuka huyu Mama Wangare Maathai?Bandiko Zuri Lenye Hamasa Ya Haki Na Amani....
Hongera kwalo!
Nitofautiane Nawe Kidogo;
Tuzo Ya NOBEL si ya mchezomchezo......
Apewaye Ni Lazima Kuwe Na Jambo Kubwa Alilolifanya "KUENDANA" na MAZINGIRA ya nchi.....
Je Tanzania ni nchi yenye migogoro ya umwagaji damu KISIASA KIDINI NA KIKABILA?!!!
Jibu: HATUJAFIKA HUKO na HATUELEKEI KUFIKA HUKO japo tuna sintofahamu za hapa na pale.....
Simuoni Jaji Wetu Kipenzi Kaijage Kufikiriwa kuwavuta wale NGULI,rafiki zetu na WAHISANI wetu NORWAY kumkabidhi TUZO YA NOBELI......
Wote Waliopata Hiyo Tuzo Hapa Afrika, walikuwa na sababu Nzito na Kuntu mno....
Iwe ni Sirleaf...
Iwe ni Sadat....
Iwe Ni Luthuli....
Iwe Ni Mandela.....
Tanzania Ya Amani,
Tanzania Ya Haki,
Siempre Siempre Tanzania.
Achana nae haelew hii tuzo ina malengo ganiHujui unachoongea.....unamjua Mandela na de clak?na Dalai lama je? Kwa uchache hawa
MSHANA JR, LEO UMEKULA NINI MBONA UNATEMA MADINI SANA. GREAT POST UBARIKIWE.Macho yote yako tume ya uchaguzi chini ya jaji Kaijage mziki huu school mate wangu kihamia asingeuweza kamwe. So far tume inafanya vema. Si vibaya kwa hatua hii kutoa pongezi za awali.
Kuna mambo yanatokea kwa kasi ya ajabu na kwa haraka mno mpaka kuna vitu vinatupita. Ni ukweli usiopingika CCM HAKUKO SHWARI Kuna kila dalili mgombea kasusiwa ama kaachwa yatima wale manguli wa kuisimamia ccm hasa nyakati hizi hawaonekani popote wakikipigania na kukipamba chama.
Kasi ya mgombea wa CHADEMA inaleta taharuki mpya kila hatua anayopiga..na ni taharuki ya hoja zilizojaa sheria...ni wazi kabisa CCM haikujiandaa kabisa na hili waligeuza mazoea yakawa sheria
CCM kumepooza! Huo ndio ukweli mchungu na hata makada wake mitandaoni ni kama wamegeuka majuha na kichekesho kwa hoja zao zilizokosa weledi na mashiko
Jaji Kaijage karahisishiwa kazi nyingi na mgombea wa Chadema ambaye kitaaluma ni mwanasheria nguli...Hivyo basi jaji Kaijage akizisimamia sheria za tume ya uchaguzi kwa weledi (hitaji kubwa la CHADEMA) Bila kujali matokeo yatakuwaje atajitengenezea jina na historia tukuka
Akifanikiwa hilo namuona wazi akitutoa kimasomaso kwenye tuzo za amani za dunia
MSHANA JR, LEO UMEKULA NINI MBONA UNATEMA MADINI SANA. GREAT POST UBARIKIWE.
[emoji1752][emoji1545][emoji1545][emoji1545]tuzo za Nobel zina madaraja tofauti ...unamkumbuka huyu Mama Wangare Maathai?
View attachment 1548941
DuuuhKwani wewe kuiondo ccm Madarakani huoni ni kuleta amani?
Au amani gani unasemea zaidi ya hii ya kutolewa utumwani?!!!!