Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Kazi ya Vyombo vya Habari ni kutoa taarifa bila kujalisha taaarifa inahusu nini. Kufungia vyombo vya Habari kwa sababu za kihunihuni ni Uonevu uliovuka Mipaka.
Kama ni Machafuko, anayeweza kuyaleta ni Jaji Kaijage na Tume yako ya uchaguzi. Haiwezekani ninyi mnaengua watu kihuni huni na kuwaondolea haki yao ya kuchaguliwa kwa sababu za kihuni huni alafu msitake vyombo vya habari kuhabarisha huu uhuni wenu.
Yaan nchi nzima CCM ndo wanajua kujaza fomu? Pemba huko wagombea wote wameenguliwa kwa sababu za uhuni uhuni, alafu ninyi badala ya kushugulika na wanaoleta huu uhuni, ninyi mnashugulika na anayetoa taarifa.
Sasa ni hivi, Mimi Msukuma wa Bariadi ndani ndani huku, siwezi kwenda Pemba kufanya machafuko, hayo machafuko yatafanywa na Wapemba wenyewe ambao ndio wanayoshuhudia yanayowatokea huko.
Kufungia vyombo vya habari hakuna athari yoyote kwa wanaotendewa uhuni.
Hii ni kwanini msiache watu washindane? Wananchi wachague Mtu wanayemtaka? Inamaana mnataka kulazimisha mfumo wa chama kimoja?
Kwamba CCM na watu wake ndio wanaojua kujaza fomu? Wanaojua kuweka mapingamizi nakushinda? Kwamba Wakurugenzi ambao ndio chanzo cha haya, hawchukulii hatua bali Vyombo vya Habari? Haya yote ni kwa faida ya nani? Ndio mnataka kumuongezea muhuni wenu muda wa kusalia madarakani?
Kwa dunia ipi? Wajinga nyinyi, Dunia ya leo kuna kiongozi wakubakia salama kwa uhuniuhuni? Nyinyi wapeni watu sababu za kuinuka na kupambania haki zao, alafu ndio mtajua dunia inawatizama, wako wapi walojaribu huu uhuni?
Muhuni wenu huyu, yupo tayari kuona damu ya watanzania inamwaga, kwa sababu ya Uhuni wake wa kudhania kuwa Watanzania milioni 60 wote wanampenda?
Wananchi wanajua kiongozi wao, wanajja nani anawafaa, awe CCM au upinzani kama wananchi hawakuitaji, hawakuitaji tu na wengi wape.
Kwamba Mzee Nyerere alikua mpuuzi sana kukubali mfumo wa vyama vingi na mikataba yake? Mzeee Kikwete, na wewe umekaaa kimyaa, umeungana na CCM na uhuni wake kuikomoa Demokrasia?
Nina Mengi ya kuandika, ila fahamuni haya, mimi Carlos The Jackal , msukuma na daktari kijana Msomi na makini, nisiye na njaa, haitotokea hata siku moja kuielewa CCM na Uhuni wake.
Na hili lazima liheshimiwe katika hiyo Order, hayo madege, mareli, mabarabara, na uovyo ovyo wenu hauwezi nifanya hata siku moja kua kipofu hata nisione Uovu mnaowafanyia wapinzani wenu, Kuua watu, kuteka watu, makesi ya hovyohovyo, ukandamizaji , mateso na manyanyaso.
Nyinyi mtaendelea kupata kura za wanyonge matahira, na waliojitoa ufahamu, wenye njaaa za buku saba, masikini wanaonunuliwa lakini sio mimi na vijana wengine wote walio makini.
Kama ni Machafuko, anayeweza kuyaleta ni Jaji Kaijage na Tume yako ya uchaguzi. Haiwezekani ninyi mnaengua watu kihuni huni na kuwaondolea haki yao ya kuchaguliwa kwa sababu za kihuni huni alafu msitake vyombo vya habari kuhabarisha huu uhuni wenu.
Yaan nchi nzima CCM ndo wanajua kujaza fomu? Pemba huko wagombea wote wameenguliwa kwa sababu za uhuni uhuni, alafu ninyi badala ya kushugulika na wanaoleta huu uhuni, ninyi mnashugulika na anayetoa taarifa.
Sasa ni hivi, Mimi Msukuma wa Bariadi ndani ndani huku, siwezi kwenda Pemba kufanya machafuko, hayo machafuko yatafanywa na Wapemba wenyewe ambao ndio wanayoshuhudia yanayowatokea huko.
Kufungia vyombo vya habari hakuna athari yoyote kwa wanaotendewa uhuni.
Hii ni kwanini msiache watu washindane? Wananchi wachague Mtu wanayemtaka? Inamaana mnataka kulazimisha mfumo wa chama kimoja?
Kwamba CCM na watu wake ndio wanaojua kujaza fomu? Wanaojua kuweka mapingamizi nakushinda? Kwamba Wakurugenzi ambao ndio chanzo cha haya, hawchukulii hatua bali Vyombo vya Habari? Haya yote ni kwa faida ya nani? Ndio mnataka kumuongezea muhuni wenu muda wa kusalia madarakani?
Kwa dunia ipi? Wajinga nyinyi, Dunia ya leo kuna kiongozi wakubakia salama kwa uhuniuhuni? Nyinyi wapeni watu sababu za kuinuka na kupambania haki zao, alafu ndio mtajua dunia inawatizama, wako wapi walojaribu huu uhuni?
Muhuni wenu huyu, yupo tayari kuona damu ya watanzania inamwaga, kwa sababu ya Uhuni wake wa kudhania kuwa Watanzania milioni 60 wote wanampenda?
Wananchi wanajua kiongozi wao, wanajja nani anawafaa, awe CCM au upinzani kama wananchi hawakuitaji, hawakuitaji tu na wengi wape.
Kwamba Mzee Nyerere alikua mpuuzi sana kukubali mfumo wa vyama vingi na mikataba yake? Mzeee Kikwete, na wewe umekaaa kimyaa, umeungana na CCM na uhuni wake kuikomoa Demokrasia?
Nina Mengi ya kuandika, ila fahamuni haya, mimi Carlos The Jackal , msukuma na daktari kijana Msomi na makini, nisiye na njaa, haitotokea hata siku moja kuielewa CCM na Uhuni wake.
Na hili lazima liheshimiwe katika hiyo Order, hayo madege, mareli, mabarabara, na uovyo ovyo wenu hauwezi nifanya hata siku moja kua kipofu hata nisione Uovu mnaowafanyia wapinzani wenu, Kuua watu, kuteka watu, makesi ya hovyohovyo, ukandamizaji , mateso na manyanyaso.
Nyinyi mtaendelea kupata kura za wanyonge matahira, na waliojitoa ufahamu, wenye njaaa za buku saba, masikini wanaonunuliwa lakini sio mimi na vijana wengine wote walio makini.