Uchaguzi 2020 Jaji Kaijage na Tume yako na TCRA acheni kufungia Vyombo vya Habari

Uchaguzi 2020 Jaji Kaijage na Tume yako na TCRA acheni kufungia Vyombo vya Habari

Tupambane na tume ya uchaguzi, hawa waandishi wetu habari zao huwa zinaishia kwa wauza samaki na vitumbua.

Bora hata The Economist lingekuwa bado lina report.

Wenzenu walijiandaa mapema kuzuia na kufungia habari, nyie mnalalamika leo.

Too late.
 
Bwashee mimi siyo kijana

Pili, ukweli unapatikana kwenye Biblia takatifu huku kwenye siasa ni fitna, ulaghai, mizaha na unafiki ndio vinatawala.
Basi itumie biblia kuwa muwazi usiishi katika maisha yenye fitina na ulaghai
 
Kama Daktari ndio una akili za ivo nimejikuta tu nahurumia wagonjwa unao watibu, Ntasikitika zaidi nikisikiw kuwa utakuwa umesomeshwa kwa Grants au Scholarship na Nchi yako
Wiki ilopita siku ya juma tano, kuna Mzee kaja hosp kwetu ananitafuta sanaa, awal sikua napokea simu, namba ngeni

Nilipopokea tu ,akajitambulisha weeee lkn kubwa ni kua niliwahi mtibia miezi mitano nyuma iliopita,sasa kaja kunishukuru.

Kuna mchungaji mmoja maarufu tu. Yeye nilipomtibia, baada ya wiki alirudi na kuniambia "Mtoto Mwenye Radha hula vya wazazi wake"..kwaivo akanikaribisha kwake km mgeni8

Mwingine majuzi tu hapo, Baadaya kupona. kanambia Daktari, pitia kwangu baadae ..nakuta kaandaa jogoo et nikale na familia angu.

Sasa hayo ni machache, kwa ufupi wewe ni tope tu kwangu Lumumba weee!

Mwisho, Unaonekana unaweza kushikwa Kalio na mtu umetulia, sababu tu aliwah kukusaidia au anakusaidia.
 
Taifa ambalo 70%watu wake hawana elimu ya kujitatulia shida zao za kila siku alafu wakutane na uhuru husio na mipaka ni hatari kubwa hivyo kufungia ni jambo bora kabisa hasa nyakati za uchaguzi ambao taarifa za chuki na uzushi ni nyingi kupita maelezo wamestaili ili wengine wajifunze na huyo ni mtoto wa nyumbani sasa nyie wengine endeleeni kupotosha bani itakuwa ni ya mwaka,sisi kama taifa tunaitaji kuweka misingi ya mipaka ya uhuru ndio maana kuna nchi za ulaya wanatamaduni zao na wasifosi tufanane.
Kwa kuwaona WaTz ni kuku wa kizungu siyo ?!.

Hiki ni kipindi cha wananchi kuchagua . Siyo kipindi cha viongozi kuwateulia watu
 
Tatizo ya nchi za zetu za dunia ya tatu watu kama wewe huwa mnadhani mnaishi kwa hisani ya siasa ya watawala hamuishi katika takwa la kikatiba na uzalendo uliotukuka, lazima mseme na kuishi katika misingi ya udharimu ili kuwafurahisha wanaowatuma umaskini umekuwa mpaka katika fikra zenu,
Tanzania ni yetu sote tuache ukweli uonekane ili kutafakari ni wapi tumekosea Ccm ipo madarakani miaka 43 imeshindwa kuleta maendeleo ya watu na vitu tuna sera za hovyo zisizokuwa na mwelekeo makini ndio hofu yenu hamtaki uwazi

Na tatizo la watu kama wewe ni kuamini kwamba kila unapofeli maisha tatizo ni utawala,ndio maana nakueleza kuwa anza kufikiri kwanza,aliyegundua Simu, gari, ndege, komputa no:alianzia kufikili kwanza akajaribu kwa vitendo na baada ya kukamilisha alichokuwa anakiunda ndipo akaandika kitabuni namna alivyoweza kuunda, sasa unashindwa kupambanua kuwa maisha yako hayatatatuliwa na sela za kuingiziwa pesa mfukoni ni uwezo wako wa kupambanua mambo, uwezi kufanya chochote mpaka serikali ikufikilie badala ya wewe kufikilia niifanyie nini serikali, duniani kote saerikali kazi yake ni kuboresha mazingira kutokana na changamoto za wal waliofikilia na kuanzisha kitu alafu wakalipa kodi sio kwamba walipata mtu muongeaji ambaye amekalilishwa sheria, sheria itakuja baada ya kitu kuwepo hivyo jiulize yule aliyekataa sheria za mazingira za kinyonyaji za kuzuia uazishaji wa bwawa la umeme tuondokane na umeme wa bei juu na yule atakayesema hizi ni sheria tulisaini tuzitii nani anafaa kuwa rais.
 
Wiki ilopita siku ya juma tano, kuna Mzee kaja hosp kwetu ananitafuta sanaa, awal sikua napokea simu, namba ngeni

Nilipopokea tu ,akajitambulisha weeee lkn kubwa ni kua niliwahi mtibia miezi mitano nyuma iliopita ,sasa kaja kunishukuru.


Kuna mchungaji mmoja maarufu tu. Yeye nilipomtibia , baada ya wiki alirudi na kuniambia "Mtoto Mwenye Radha hula vya wazazi wake"..kwaivo akanikaribisha kwake km mgeni8


Mwingine majuzi tu hapo, Baadaya kupona. kanambia Daktari, pitia kwangu baadae ..nakuta kaandaa jogoo et nikale na familia angu.


Sasa hayo ni machache, Kwa ufupi... Wewe ni tope tu kwangu Lumumba weee!!!.


Mwisho.... Unaonekana unaweza kushikwa Kalio na mtu umetulia, sababu tu aliwah kukusaidia au anakusaidia.
Unaona sasa hata majibu yako yanavyoonesha ni namna gani hujapevuka akili? TCRA ni regulatory body acha ifanye kazi yake hao Clouds kitendo cha kurusha maudhui ambayo yanavunja sheria ya uchaguzi ni kinyume wao walirusha wakitegemea kufurahisha kundi fulani sasa wamepigwa ban mnalia lia hio adhabu haitoshi afu kijana uwe na nidhamu usivimbe kichwa kisa wewe ni Daktari hata Mwakyembe ni Daktari wa Falsafa na Mwalimu wa Vyuo vikuu tena ana degree nne
 
Ujinga mtupu.. Unafungiaje Chombo vha habar kwa kutoa taarifa ya mgombea kupita bila kupingwa et nikuleta machafuko , ili hali kuna mtu kabisa ndio anayechochea haya machafuko??kwann wasijikite nahawa wanaosababisha vyombo vya habar kutaarifu umma juu ya yale msoyapenda?

Alafu bado unajiona kichwan kwako uko na uzima?

Kwa iyo kufungia chombo, ndio kuepusha machafuko?
kama kufungia sio suruhu kulikuwa na haja gani ya sheria kuwepo katika ufalme wa mungu na duniani.
 
Na tatizo la watu kama wewe ni kuamini kwamba kila unapofeli maisha tatizo ni utawala,ndio maana nakueleza kuwa anza kufikiri kwanza,aliyegundua Simu,gari,ndege,komputa no:alianzia kufikili kwanza akajaribu kwa vitendo na baada ya kukamilisha alichokuwa anakiunda ndipo akaandika kitabuni namna alivyoweza kuunda,sasa unashindwa kupambanua kuwa maisha yako hayatatatuliwa na sela za kuingiziwa pesa mfukoni ni uwezo wako wa kupambanua mambo, uwezi kufanya chochote mpaka serikali ikufikilie badala ya wewe kufikilia niifanyie nini serikali,duniani kote saerikali kazi yake ni kuboresha mazingira kutokana na changamoto za wal waliofikilia na kuanzisha kitu alafu wakalipa kodi sio kwamba walipata mtu muongeaji ambaye amekalilishwa sheria,sheria itakuja baada ya kitu kuwepo hivyo jiulize yule aliyekataa sheria za mazingira za kinyonyaji za kuzuia uazishaji wa bwawa la umeme tuondokane na umeme wa bei juu na yule atakayesema hizi ni sheria tulisaini tuzitii nani anafaa kuwa rais.
Vyombo vya habari nikama kuku utamrushia punje za mahindi ili azile lazima azitawanye zichanganyikane na vumbi ndio maana waelewa uwa wanafunga vifaa vya kulishia kuku Vikinin'ginia ili wasivuruge,vyombo vyote vya habari duniani vinakuwa na upande vinashabikia sasa ukiviacha vianze kuchokoa chokoa vinaweza kuleta taharuki.
 
Hawa wanatengeneza mazingira ya Islamic States kupanua shughuri zao tokea kule Msumbiji maana walikamata mpaka bandari
 
Na tatizo la watu kama wewe ni kuamini kwamba kila unapofeli maisha tatizo ni utawala,ndio maana nakueleza kuwa anza kufikiri kwanza,aliyegundua Simu, gari, ndege, komputa no:alianzia kufikili kwanza akajaribu kwa vitendo na baada ya kukamilisha alichokuwa anakiunda ndipo akaandika kitabuni namna alivyoweza kuunda, sasa unashindwa kupambanua kuwa maisha yako hayatatatuliwa na sela za kuingiziwa pesa mfukoni ni uwezo wako wa kupambanua mambo, uwezi kufanya chochote mpaka serikali ikufikilie badala ya wewe kufikilia niifanyie nini serikali, duniani kote saerikali kazi yake ni kuboresha mazingira kutokana na changamoto za wal waliofikilia na kuanzisha kitu alafu wakalipa kodi sio kwamba walipata mtu muongeaji ambaye amekalilishwa sheria, sheria itakuja baada ya kitu kuwepo hivyo jiulize yule aliyekataa sheria za mazingira za kinyonyaji za kuzuia uazishaji wa bwawa la umeme tuondokane na umeme wa bei juu na yule atakayesema hizi ni sheria tulisaini tuzitii nani anafaa kuwa rais.
Kwanza ni kukate kauli, mimi siyo muhangaikaji nina uhakika wa kula kulala na ninafanyaya mambo ya kimaendeleo yanayo changia kodi kwa zaidi ya million 300 kwa mwaka mimi ni tofauti na wewe maana mtizamo wangu si wa uvyama.

Kwanza kabisa nikiri kuwa nakubaliana na Raisi Magufuli kwa 40% katika njia za kuleta maendeleo
Na sikubaliani na Magufuli kwa 60% katika njia anayotumia kuleta maendeleo ikiwa ni pamoja na kuminya uhuru wa watu.

Sensa ya mwaka 2014 Tanzania ilikuwa na wastani wa raia million 44.7
Takwimu za vifo na vizazi mpaka 31.desemba.2019 54.9
Makadirio mpaka mwezi wa huu inakadiriwa tupo million 57

Maendeleo huletwa na watu walioelimika katika nyanja ya kielimu ili kubuni njia sahihi katika kuondoa umaskini.
Sekta muhimu
1.Elimu
2.Kilimo
3.Afya
Huwezi kujenga miundombinu wakati una watu maskini ukategemea maendeleo haiwezekani ongezeko la watu ni kubwa halishabihiani na maendeleo ya uchumi, na elimu
Kilimo kipo mahututi hatuna mipango thabiti ya kuondoa umaskini na kilimo ndio uti wa mgongo wa taifa hili tuna wakulima 80% hatuwezi kupata maendeleo kama tuna mzigo wa wajinga wengi na umasikini ni mzigo mkubwa kwa serikali.
Afya ipo mahututi nenda zahanati hata panadol hakuna.
 
Na tatizo la watu kama wewe ni kuamini kwamba kila unapofeli maisha tatizo ni utawala,ndio maana nakueleza kuwa anza kufikiri kwanza,aliyegundua Simu, gari, ndege, komputa no:alianzia kufikili kwanza akajaribu kwa vitendo na baada ya kukamilisha alichokuwa anakiunda ndipo akaandika kitabuni namna alivyoweza kuunda, sasa unashindwa kupambanua kuwa maisha yako hayatatatuliwa na sela za kuingiziwa pesa mfukoni ni uwezo wako wa kupambanua mambo, uwezi kufanya chochote mpaka serikali ikufikilie badala ya wewe kufikilia niifanyie nini serikali, duniani kote saerikali kazi yake ni kuboresha mazingira kutokana na changamoto za wal waliofikilia na kuanzisha kitu alafu wakalipa kodi sio kwamba walipata mtu muongeaji ambaye amekalilishwa sheria, sheria itakuja baada ya kitu kuwepo hivyo jiulize yule aliyekataa sheria za mazingira za kinyonyaji za kuzuia uazishaji wa bwawa la umeme tuondokane na umeme wa bei juu na yule atakayesema hizi ni sheria tulisaini tuzitii nani anafaa kuwa rais.
Uandishi wako tu. MAJANGA
 
Kazi ya Vyombo vya Habari ni kutoa taarifa bila kujalisha taaarifa inahusu nini. Kufungia vyombo vya Habari kwa sababu za kihunihuni ni Uonevu uliovuka Mipaka.

Kama ni Machafuko, anayeweza kuyaleta ni Jaji Kaijage na Tume yako ya uchaguzi. Haiwezekani ninyi mnaengua watu kihuni huni na kuwaondolea haki yao ya kuchaguliwa kwa sababu za kihuni huni alafu msitake vyombo vya habari kuhabarisha huu uhuni wenu.

Yaan nchi nzima CCM ndo wanajua kujaza fomu? Pemba huko wagombea wote wameenguliwa kwa sababu za uhuni uhuni, alafu ninyi badala ya kushugulika na wanaoleta huu uhuni, ninyi mnashugulika na anayetoa taarifa.

Sasa ni hivi, Mimi Msukuma wa Bariadi ndani ndani huku, siwezi kwenda Pemba kufanya machafuko, hayo machafuko yatafanywa na Wapemba wenyewe ambao ndio wanayoshuhudia yanayowatokea huko.

Kufungia vyombo vya habari hakuna athari yoyote kwa wanaotendewa uhuni.

Hii ni kwanini msiache watu washindane? Wananchi wachague Mtu wanayemtaka? Inamaana mnataka kulazimisha mfumo wa chama kimoja?

Kwamba CCM na watu wake ndio wanaojua kujaza fomu? Wanaojua kuweka mapingamizi nakushinda? Kwamba Wakurugenzi ambao ndio chanzo cha haya, hawchukulii hatua bali Vyombo vya Habari? Haya yote ni kwa faida ya nani? Ndio mnataka kumuongezea muhuni wenu muda wa kusalia madarakani?

Kwa dunia ipi? Wajinga nyinyi, Dunia ya leo kuna kiongozi wakubakia salama kwa uhuniuhuni? Nyinyi wapeni watu sababu za kuinuka na kupambania haki zao, alafu ndio mtajua dunia inawatizama, wako wapi walojaribu huu uhuni?

Muhuni wenu huyu, yupo tayari kuona damu ya watanzania inamwaga, kwa sababu ya Uhuni wake wa kudhania kuwa Watanzania milioni 60 wote wanampenda?

Wananchi wanajua kiongozi wao, wanajja nani anawafaa, awe CCM au upinzani kama wananchi hawakuitaji, hawakuitaji tu na wengi wape.

Kwamba Mzee Nyerere alikua mpuuzi sana kukubali mfumo wa vyama vingi na mikataba yake? Mzeee Kikwete, na wewe umekaaa kimyaa, umeungana na CCM na uhuni wake kuikomoa Demokrasia?

Nina Mengi ya kuandika, ila fahamuni haya, mimi Carlos The Jackal , msukuma na daktari kijana Msomi na makini, nisiye na njaa, haitotokea hata siku moja kuielewa CCM na Uhuni wake.

Na hili lazima liheshimiwe katika hiyo Order, hayo madege, mareli, mabarabara, na uovyo ovyo wenu hauwezi nifanya hata siku moja kua kipofu hata nisione Uovu mnaowafanyia wapinzani wenu, Kuua watu, kuteka watu, makesi ya hovyohovyo, ukandamizaji , mateso na manyanyaso.

Nyinyi mtaendelea kupata kura za wanyonge matahira, na waliojitoa ufahamu, wenye njaaa za buku saba, masikini wanaonunuliwa lakini sio mimi na vijana wengine wote walio makini.

Mkuu kasome kanuni na sheria za uchaguzi utagundua Clouds walikosea sana ..........: utakiwi kutoa takwimu au kutangaza matokeo wenye jukumu hilo ni NEC pekee
 
Kwanza ni kukate kauli, mimi siyo muhangaikaji nina uhakika wa kula kulala na ninafanyaya mambo ya kimaendeleo yanayo changia kodi kwa zaidi ya million 300 kwa mwaka mimi ni tofauti na wewe maana mtizamo wangu si wa uvyama.

Kwanza kabisa nikiri kuwa nakubaliana na Raisi Magufuli kwa 40% katika njia za kuleta maendeleo
Na sikubaliani na Magufuli kwa 60% katika njia anayotumia kuleta maendeleo ikiwa ni pamoja na kuminya uhuru wa watu.

Sensa ya mwaka 2014 Tanzania ilikuwa na wastani wa raia million 44.7
Takwimu za vifo na vizazi mpaka 31.desemba.2019 54.9
Makadirio mpaka mwezi wa huu inakadiriwa tupo million 57

Maendeleo huletwa na watu walioelimika katika nyanja ya kielimu ili kubuni njia sahihi katika kuondoa umaskini.
Sekta muhimu
1.Elimu
2.Kilimo
3.Afya
Huwezi kujenga miundombinu wakati una watu maskini ukategemea maendeleo haiwezekani ongezeko la watu ni kubwa halishabihiani na maendeleo ya uchumi, na elimu
Kilimo kipo mahututi hatuna mipango thabiti ya kuondoa umaskini na kilimo ndio uti wa mgongo wa taifa hili tuna wakulima 80% hatuwezi kupata maendeleo kama tuna mzigo wa wajinga wengi na umasikini ni mzigo mkubwa kwa serikali.
Afya ipo mahututi nenda zahanati hata panadol hakuna.
Kama ndivyo wewe unataka kuniambia kuwa yeye aliyekuja na sera ya elimu bila malipo haitatui changamoto ya wajinga,na sera ya kupata umeme uoni kuwa itasaidia kupunguza gharama ya uzalishaji ivyo kupunguza gharama za manunuzi,na uoni mtazamo wake wa ufufuaji viwanda utakuza ununuzi wa mazao nchini,na kuhusu Uhuru upo ndio maana zamani kipindi cha kikwete na maraisi wengine walikuwa wanawazuia watu kutoa hoja au malalamiko kwenye ziara zao lakini magu anaruhusu watu kusikilizwa na kutoa ushauri tofauti na uhuru wanaouzungumzia watu wengi wa kutukana kubeza na kufanya mambo ambayo hayawezi kuleta tija kwa jamii na wakati mwingine yanavuruga maadili katika jamii,tukisema turuhusu vijana wafanye watakayo tutapotea kwa kuwa uelewa wetu wa mambo ni mdogo kumbuka jamii nyingi nchini wazazi wao hawajasoma na elimu uanzia nyumbani sasa kama ,leo tunajaribu mpaka kuwashtaki wazazi kwa kutopeleka watoto shule je?itakuwaje pale mtoto huyu ambaye hapendi shule,wenzetu wanamiaka 200 nyuma ya vizazi vilivyopata elimu sisi hiki ni kizazi cha tatu ambacho ukiangalia takwimu wazazi wa watoto wanaosoma leo darasa la kwanza kati ya 10 wenye elimu ya secondary ni 04 maana yake huyu mzazi hawezi kumfanya mtoto akajifunza kupitia kwa wazazi ni wachache sana watakaopata mimba wakatamani kuendelea kusoma na wachache watakaofeli watatamani kurudia masomo hivyo bado tunaitaji vizazi 06 kukamilisha mzunguko wa jamii yenye uelewa,mfano unaweza kumshauri mwanao madhara ya ngono akiwa tu anafahamu madhara yake na umuhimu wa maisha yake lakini leo hii fuatilia dada zetu wanaojiuza utakuta wote waliacha au walikataa shule,wasanii,madereva,na wengi wanauelewa mdogo wa maisha ya kitaaluma na mipango mizuri ya maendeleo,maendeleo ya kweli yanaanzia kwenye vitu watu wanaraisishiwa maisha kupitia vitu,ila mtu akiwa na njaa maana yake atafute chakula na si chakula kimtafute yeye,misri wao ni jangwa lakini leo kupitia vitu miundombinu wanazalisha sio uhuru wa kuongea,tunatumia nguvu nyingi kuongea sana kuliko matendo sasa tumepata mtendaji mnalilia uhuru,magu anaweka mlango wa kutokea mfano:tungekuwa na viwanda vya nguo na vingine vingi tungeweza kununua bidhaa za wakulima hapa nchini alafu wale wanaohitaji hizo bidhaa wa nje wangenunua kwa bei ya juu sasa ukitegemea mteja kutoka nje ndio masharti yanakuwa mengi sana,ujenzi wa majengo mengi ya serikali kwenye nchi hii sasa yanajengwa kwa ubora na bei harisi na yanajengwa na wazawa anataka tusiwe tegemezi tufanye kila kitu wenyewe ili mali zianze kuwa na soko ndani kwanza .
 
"amna kitu" badala ya "hamna kitu"
Tayari ukiona uandishi wa aina hii unagundua ni mtu mpu..avu aliye ingilia mjadala wa wenye akili.
zithromax unapoambiwa una haki ya kuishi, haimaanishi ni kila mahali bali kwenye kundi lako huko
Usimlaumu mwandishi ilaumu serikali iliyoshindwa kutoa elimu bora, nenda kwenye shule usikie kiswahili cha walimu, utachoka.
Jambo moja ni kuwa habari husika ilitangazwa na msimamizi wa tume, Clouds na vyombo vingine wakatangaza, ila Clouds peke yao wameadhibiwa kwa kutangaza tangazo halali.
 
Usimlaumu mwandishi ilaumu serikali iliyoshindwa kutoa elimu bora, nenda kwenye shule usikie kiswahili cha walimu, utachoka.
Uhandishi ni taaluma ya mtu hivyo wapo watu wa ambao wanaweza kutoa hoja yenye mashiko lakini akashindwa kupangilia kama anavyosema lissu kuwa katika watu wanaojua sheria ya uchaguzi yeye yumo mbona wewe hukutajwa kila taaluma ina mtu anayeielewa zaidi sasa inawezekana wewe una phd ya kiswahili .
 
TCRA inavitisha vyombo vya habari, na kwa sababu vyombo vya habari vya Tanzania ni YATIMA, basi ni vya kuhurumia mno. Tasnia isiyo na umoja lazima iwe dhaifu na ni rahisi mno kuishughulikia.

Umoja ni kitu muhimu mno kuwa na kauli moja kama tasnia - hata wakulima wa nyanya Iringa wana umoja Imara - why vyombo vya habari? mnakwama wapi?

Leo mwenzao katwangwa adhabu, wengine wanashangilia shangilia na vijembe juu ati kufa kufaana.
 
Msukima wa Bariadi ndani ndani hebu elekeza tuje kusalimia na kuyajenga.

Busiga bunonu baghosa niyo buli na mhama.
Kiyongoyongu kunumba lya matumbati
 
Uhandishi ni taaluma ya mtu hivyo wapo watu wa ambao wanaweza kutoa hoja yenye mashiko lakini akashindwa kupangilia kama anavyosema lissu kuwa katika watu wanaojua sheria ya uchaguzi yeye yumo mbona wewe hukutajwa kila taaluma ina mtu anayeielewa zaidi sasa inawezekana wewe una phd ya kiswahili .
Lo, hii ni shida! Tukio la kutangazwa lilitokea ndani ya ofisi ya tume na gazeti la Uhuru na mengine yaliandika habari hiyo, kwanini Clouds waadhibiwe kwa kutoa taarifa halali? Kwanini gazeti la Uhuru limeachwa kuadhibiwa?
 
Back
Top Bottom