Uchaguzi 2020 Jaji Kaijage na Tume yako na TCRA acheni kufungia Vyombo vya Habari

Uchaguzi 2020 Jaji Kaijage na Tume yako na TCRA acheni kufungia Vyombo vya Habari

Uhandishi ni taaluma ya mtu hivyo nitakushangaa kuhoji ilo inamaana kuna mtu anajua kila kitu kulikuwa na maana gani kuwa na taaluma tofauti hoji content.

Uhandisi!

Japo mwenzio kakosoa 'uandishi' ila wewe umerukia kwenye 'uhandisi' (taaluma).
 
Uhandisi!

Japo mwenzio kakosoa 'uandishi' ila wewe umerukia kwenye 'uhandisi' (taaluma).
Sijakusoma unamaana kuwa mwanataaluma wa masuala ya peni na karatasi wote awe wa ujenzi,habari na shughuli nyingine huitwa wahandisi.
 
TCRA inavitisha vyombo vya habari, na kwa sababu vyombo vya habari vya Tanzania ni YATIMA, basi ni vya kuhurumia mno. Tasnia isiyo na umoja lazima iwe dhaifu na ni rahisi mno kuishughulikia.

Umoja ni kitu muhimu mno kuwa na kauli moja kama tasnia - hata wakulima wa nyanya Iringa wana umoja Imara - why vyombo vya habari? mnakwama wapi?

Leo mwenzao katwangwa adhabu, wengine wanashangilia shangilia na vijembe juu ati kufa kufaana.
Usikute serikali ime conspire na Clouds kuwa watawafungia na hawatalalamika ili kutishia vyombo vingine vya habari wakati huu.
Serikali hii corruptive inaweza hata kuwafidia.
Clouds na CCM lao moja
 
Uandishi wako tu. MAJANGA

Uhandishi ni taaluma ya mtu hivyo nitakushangaa kuhoji ilo inamaana kuna mtu anajua kila kitu kulikuwa na maana gani kuwa na taaluma tofauti hoji content.

Sijakusoma unamaana kuwa mwanataaluma wa masuala ya peni na karatasi wote awe wa ujenzi,habari na shughuli nyingine huitwa wahandisi.

Ukitaka kunielewa rejea hapo juu, mimi ndo nimeingilia hapo.

Mdau kasema tu 'uandishi' wako ni majanga, wewe ukashuka maelezo ya taaluma uliyoiita 'uhandishi' ambayo kiukweli haipo... basi mimi nikajua ulikusudia kuelezea 'uhandisi' nashangaa hunielewi tena!!

Je, ni uandishi, uhandisi, au uhandishi!!
 
Usikute serikali ime conspire na Clouds kuwa watawafungia na hawatalalamika ili kutishia vyombo vingine vya habari wakati huu.
Serikali hii corruptive inaweza hata kuwafidia.
Clouds na CCM lao moja

Nimewaza hivi pia!
 
Kama ndivyo wewe unataka kuniambia kuwa yeye aliyekuja na sera ya elimu bila malipo haitatui changamoto ya wajinga,na sera ya kupata umeme uoni kuwa itasaidia kupunguza gharama ya uzalishaji ivyo kupunguza gharama za manunuzi,na uoni mtazamo wake wa ufufuaji viwanda utakuza ununuzi wa mazao nchini,na kuhusu Uhuru upo ndio maana zamani kipindi cha kikwete na maraisi wengine walikuwa wanawazuia watu kutoa hoja au malalamiko kwenye ziara zao lakini magu anaruhusu watu kusikilizwa na kutoa ushauri tofauti na uhuru wanaouzungumzia watu wengi wa kutukana kubeza na kufanya mambo ambayo hayawezi kuleta tija kwa jamii na wakati mwingine yanavuruga maadili katika jamii,tukisema turuhusu vijana wafanye watakayo tutapotea kwa kuwa uelewa wetu wa mambo ni mdogo kumbuka jamii nyingi nchini wazazi wao hawajasoma na elimu uanzia nyumbani sasa kama ,leo tunajaribu mpaka kuwashtaki wazazi kwa kutopeleka watoto shule je?itakuwaje pale mtoto huyu ambaye hapendi shule,wenzetu wanamiaka 200 nyuma ya vizazi vilivyopata elimu sisi hiki ni kizazi cha tatu ambacho ukiangalia takwimu wazazi wa watoto wanaosoma leo darasa la kwanza kati ya 10 wenye elimu ya secondary ni 04 maana yake huyu mzazi hawezi kumfanya mtoto akajifunza kupitia kwa wazazi ni wachache sana watakaopata mimba wakatamani kuendelea kusoma na wachache watakaofeli watatamani kurudia masomo hivyo bado tunaitaji vizazi 06 kukamilisha mzunguko wa jamii yenye uelewa,mfano unaweza kumshauri mwanao madhara ya ngono akiwa tu anafahamu madhara yake na umuhimu wa maisha yake lakini leo hii fuatilia dada zetu wanaojiuza utakuta wote waliacha au walikataa shule,wasanii,madereva,na wengi wanauelewa mdogo wa maisha ya kitaaluma na mipango mizuri ya maendeleo,maendeleo ya kweli yanaanzia kwenye vitu watu wanaraisishiwa maisha kupitia vitu,ila mtu akiwa na njaa maana yake atafute chakula na si chakula kimtafute yeye,misri wao ni jangwa lakini leo kupitia vitu miundombinu wanazalisha sio uhuru wa kuongea,tunatumia nguvu nyingi kuongea sana kuliko matendo sasa tumepata mtendaji mnalilia uhuru,magu anaweka mlango wa kutokea mfano:tungekuwa na viwanda vya nguo na vingine vingi tungeweza kununua bidhaa za wakulima hapa nchini alafu wale wanaohitaji hizo bidhaa wa nje wangenunua kwa bei ya juu sasa ukitegemea mteja kutoka nje ndio masharti yanakuwa mengi sana,ujenzi wa majengo mengi ya serikali kwenye nchi hii sasa yanajengwa kwa ubora na bei harisi na yanajengwa na wazawa anataka tusiwe tegemezi tufanye kila kitu wenyewe ili mali zianze kuwa na soko ndani kwanza .
Umeandika ukweli kabisa, kidogo kwenye uhuru wa kujieleza umeonyesha kupwaya katika maelezo yako.
Mwanzo nilipo quote thread yako nilisema mimi si mpingaji na ninakubaliana na Rais kwa 40% utendaji mzuri na 60% utendaji usiofaa
1. Umeme, Barabara, Reli miundo mbinu kwa ujumla hapa apongezwe amefanya vyema sina shaka JPM anayo nia ya dhati kuona TANZANIA inabadilika na kuwa na maendeleo makubwa TATIZO ni approach anayotumia katika juhudi za kuleta maendeleo haziwezi kufanikiwa.

2.Kwenye maisha ya mtu mmoja mmoja JPM ameshindwa kwa sababu anatumia sera za kijamaa kutatua shida za ubepari kitu ambacho haiwezekani kabisa.

>>>>>KILIMO ndio uti wa mgongo 85% ya watanzania wanategemea kilimo tumeshindwa kuboresha kilimo bora
}}} MFANO. Gharama tulizotumia kununua ndege ambazo hazina faida yoyote kwa jamii ya wanyonge tungewekeza katika kilimo hizo pesa trilioni 3 tungewezesha kilimo cha uhakika na chenye tija na hii ingegusa mamilioni ya wa Tanzania ingeleta tija katika kupunguza umasikini na kuongeza walipa kodi,

××××××ELIMU hapa tukefeli kwasababu bado tuna elimu ya kipuuzi isiyo na msaada kwa vijana ndio maana vijana wanaomaliza shule kuanzia kidato cha 4- hadi chuo kikuu hawajui msitakabari wa maisha ya kesho yao, kwasababu elimu wanayojifunza haiwafanyi kuwa faida kwa taifa bali huwafanya kuwa mzigo wa misumari kwa taifa lakini kama tungekuwa na elimu iliyo bora tungeepuka msongamano wa vijana kutafuta ajira wangejiajiri hatuna sera rafiki.

++++++AFYA Hatuna sera rafiki ya afya kwa mnyonge wa taifa hili sera zipo kwa ajili ya matajiri na viongozi na watumishi wa umma huku katika hospitali za serikali hakuna chochote ni majengo hakuna dawa hakuna madaktari, hakuna wauguzi hali ni mbaya bado safari ni ndefu mno kama hatuna juhudi za makusudi hatuwezi kusogea hata kidogo

Tuipende Tanzania ni yetu sote sisi wenyewe ndio tutaijenga au tutaibomoa viongozi wasiogope ukweli hili litawasaidia kufahamu mapungufu yao na kufanyia kazi ila wakiwa miungu watu hawatoleta mabadiliko yoyote, la watazidisha mafarakano na umasikini utazidi

Mungu ibariki Tanganyika
 
"amna kitu" badala ya "hamna kitu"
Tayari ukiona uandishi wa aina hii unagundua ni mtu mpu..avu aliye ingilia mjadala wa wenye akili.
zithromax unapoambiwa una haki ya kuishi, haimaanishi ni kila mahali bali kwenye kundi lako huko
Kimbia upesi ofisi za tume kamuwekee pingamizi
 
Carlos The Jackal,

Taifa ambalo 70%watu wake hawana elimu ya kujitatulia shida zao za kila siku alafu wakutane na uhuru husio na mipaka ni hatari kubwa hivyo kufungia ni jambo bora kabisa hasa nyakati za uchaguzi ambao taarifa za chuki na uzushi ni nyingi kupita maelezo wamestaili ili wengine wajifunze na huyo ni mtoto wa nyumbani sasa nyie wengine endeleeni kupotosha bani itakuwa ni ya mwaka, sisi kama taifa tunaitaji kuweka misingi ya mipaka ya uhuru ndio maana kuna nchi za ulaya wanatamaduni zao na wasifosi tufanane.
Hizo asilimia 70% za wasio na elimu (CCM) zimesababishwa na nani/chama gani na je tuendelee tu kubakia na hizo asilimia au tuwatumie hao 20% (wapinzani) wenye elimu ili kuleta mageuzi?
 
Back
Top Bottom