Uchaguzi 2020 Jaji Kaijage na Tume yako na TCRA acheni kufungia Vyombo vya Habari

Uhandishi ni taaluma ya mtu hivyo nitakushangaa kuhoji ilo inamaana kuna mtu anajua kila kitu kulikuwa na maana gani kuwa na taaluma tofauti hoji content.

Uhandisi!

Japo mwenzio kakosoa 'uandishi' ila wewe umerukia kwenye 'uhandisi' (taaluma).
 
Uhandisi!

Japo mwenzio kakosoa 'uandishi' ila wewe umerukia kwenye 'uhandisi' (taaluma).
Sijakusoma unamaana kuwa mwanataaluma wa masuala ya peni na karatasi wote awe wa ujenzi,habari na shughuli nyingine huitwa wahandisi.
 
Usikute serikali ime conspire na Clouds kuwa watawafungia na hawatalalamika ili kutishia vyombo vingine vya habari wakati huu.
Serikali hii corruptive inaweza hata kuwafidia.
Clouds na CCM lao moja
 
Uandishi wako tu. MAJANGA

Uhandishi ni taaluma ya mtu hivyo nitakushangaa kuhoji ilo inamaana kuna mtu anajua kila kitu kulikuwa na maana gani kuwa na taaluma tofauti hoji content.

Sijakusoma unamaana kuwa mwanataaluma wa masuala ya peni na karatasi wote awe wa ujenzi,habari na shughuli nyingine huitwa wahandisi.

Ukitaka kunielewa rejea hapo juu, mimi ndo nimeingilia hapo.

Mdau kasema tu 'uandishi' wako ni majanga, wewe ukashuka maelezo ya taaluma uliyoiita 'uhandishi' ambayo kiukweli haipo... basi mimi nikajua ulikusudia kuelezea 'uhandisi' nashangaa hunielewi tena!!

Je, ni uandishi, uhandisi, au uhandishi!!
 
Usikute serikali ime conspire na Clouds kuwa watawafungia na hawatalalamika ili kutishia vyombo vingine vya habari wakati huu.
Serikali hii corruptive inaweza hata kuwafidia.
Clouds na CCM lao moja

Nimewaza hivi pia!
 
Umeandika ukweli kabisa, kidogo kwenye uhuru wa kujieleza umeonyesha kupwaya katika maelezo yako.
Mwanzo nilipo quote thread yako nilisema mimi si mpingaji na ninakubaliana na Rais kwa 40% utendaji mzuri na 60% utendaji usiofaa
1. Umeme, Barabara, Reli miundo mbinu kwa ujumla hapa apongezwe amefanya vyema sina shaka JPM anayo nia ya dhati kuona TANZANIA inabadilika na kuwa na maendeleo makubwa TATIZO ni approach anayotumia katika juhudi za kuleta maendeleo haziwezi kufanikiwa.

2.Kwenye maisha ya mtu mmoja mmoja JPM ameshindwa kwa sababu anatumia sera za kijamaa kutatua shida za ubepari kitu ambacho haiwezekani kabisa.

>>>>>KILIMO ndio uti wa mgongo 85% ya watanzania wanategemea kilimo tumeshindwa kuboresha kilimo bora
}}} MFANO. Gharama tulizotumia kununua ndege ambazo hazina faida yoyote kwa jamii ya wanyonge tungewekeza katika kilimo hizo pesa trilioni 3 tungewezesha kilimo cha uhakika na chenye tija na hii ingegusa mamilioni ya wa Tanzania ingeleta tija katika kupunguza umasikini na kuongeza walipa kodi,

××××××ELIMU hapa tukefeli kwasababu bado tuna elimu ya kipuuzi isiyo na msaada kwa vijana ndio maana vijana wanaomaliza shule kuanzia kidato cha 4- hadi chuo kikuu hawajui msitakabari wa maisha ya kesho yao, kwasababu elimu wanayojifunza haiwafanyi kuwa faida kwa taifa bali huwafanya kuwa mzigo wa misumari kwa taifa lakini kama tungekuwa na elimu iliyo bora tungeepuka msongamano wa vijana kutafuta ajira wangejiajiri hatuna sera rafiki.

++++++AFYA Hatuna sera rafiki ya afya kwa mnyonge wa taifa hili sera zipo kwa ajili ya matajiri na viongozi na watumishi wa umma huku katika hospitali za serikali hakuna chochote ni majengo hakuna dawa hakuna madaktari, hakuna wauguzi hali ni mbaya bado safari ni ndefu mno kama hatuna juhudi za makusudi hatuwezi kusogea hata kidogo

Tuipende Tanzania ni yetu sote sisi wenyewe ndio tutaijenga au tutaibomoa viongozi wasiogope ukweli hili litawasaidia kufahamu mapungufu yao na kufanyia kazi ila wakiwa miungu watu hawatoleta mabadiliko yoyote, la watazidisha mafarakano na umasikini utazidi

Mungu ibariki Tanganyika
 
"amna kitu" badala ya "hamna kitu"
Tayari ukiona uandishi wa aina hii unagundua ni mtu mpu..avu aliye ingilia mjadala wa wenye akili.
zithromax unapoambiwa una haki ya kuishi, haimaanishi ni kila mahali bali kwenye kundi lako huko
Kimbia upesi ofisi za tume kamuwekee pingamizi
 
Hizo asilimia 70% za wasio na elimu (CCM) zimesababishwa na nani/chama gani na je tuendelee tu kubakia na hizo asilimia au tuwatumie hao 20% (wapinzani) wenye elimu ili kuleta mageuzi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…